Vifurushi vya mitandao ya Simu vimepunguziwa ujazo, bei zimepanda zaidi, hali ni chungu

Vifurushi vya mitandao ya Simu vimepunguziwa ujazo, bei zimepanda zaidi, hali ni chungu

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hata kwa elf 2 huwezii kununua Gb utaambulia MB, vifurushi vimepanda mno

Kwa hali iliyopo Sasa kumetokea mabadiliko yanayoongeza ukali wa maisha kiuchumi kwenye kuvimudu vifurushi, mitandao ya Simu imepunguza ujazo wa vifurushi na kuvifanya viwe ghali zaidi.

niliwahi kusema hivi vifurushi kuna kipindi GB 1 itakuja kuuzwa elf 3 na Kwa hali hii inayoendelea ni swala la miezi tutafika huko.

Mbaya zaidi wananchi hatuthaminiki, sheria zipo kinadharia tu lakini kiutendaji ni sifuri, Hata hatujuzwi chochote kuhusu mabadiliko, ni umafia wa hali ya juu...

IMG_20221026_233211.jpg
 
Kila Jambo ambalo unalihitaji na linakufirahisha wanajaribu kutunyima. .

Huku kwetu sijui Kuna mgao maji hayajayoka siku ya tatu hii. Sijaoga toka Jana. Kwetu Rombo mito hutiririsha maji mda wote sijui nirudi home sielew.
 
Kuna watu wanajichotea tu mihela wala hawajali nchi inavyofirisika
 
Waziri Nape anaendelea na majukumu yake ya kutolea ufafanuzi suala hili

IMG_20221027_085639.jpg
 
serikali kama imeamua kuwakomoa wanaofanya kazi online
 
Back
Top Bottom