Vifurushi vya simu vyapanda kimya kimya

Vifurushi vya simu vyapanda kimya kimya

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Mitandao ya simu nchini Tanzania hatimaye imepandisha vifurushi vyake kimyakimya bila kutoa taarifa kwa wateja wake.

Awali mitandao hiyo ilitangaza kubadilisha vifurushi lakini walighairi baada ya muda. Ila kwasasa wameamua kupandisha kimyakimya!

Vifurushi vilivyobadilika hasa ni vile vya intaneti ambapo mabando yamepunguzwa sana! Nafikiri Waziri mpya ameingia na kasi kubwa, yetu macho sasa👀
 
Kumekucha
Hivi Ukiwa Borders Kama Ngara Holili Mkinga Namanga Manyovu Huwezi Kutumia La Nchi Jirani Bundle
 
Wacha tusema na UN kuwa tunachangamoto za Chanjo
Hizo changamoto zingine zilizo za mwanachi mwenyewe.
 
serikali bila kuweka mtandao wao wa TTLc tutaendela kuteseka sana
 
Back
Top Bottom