johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hawa hapaKifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.
Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?
Nawatakia Pasaka njema.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... hao ni nyamwiru bwashee!alichosahau ni kuwataja rangi ni ya kijani
Huko Ufipa hakuna vifutu wale covido kumi na tisa?!!
Bulendu ameingiaje hapo?Alexander Mnyeti, Paul Makonda, Bashiru Ally, Dotto Bulendo, Albert Chalamila, Lengai ole Sabaya,
Aaaah! Wapo wengi itoshe kusema n.k
Mwingine huyu hapaHuko Ufipa hakuna vifutu wale covido kumi na tisa?!!
Nani aliwahi kusema "enyi kizazi cha nyoka"?Askofu mzima anawaita watu majina ya mipasho.
Covid 19 ni wanachama watiifu wa CCM.Huko Ufipa hakuna vifutu wale covido kumi na tisa?!!
Nadhani wa kwanza ni wewe JoKifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.
Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?
Nawatakia Pasaka njema.
Maendeleo hayana vyama!
Ushindwe na uleger bwashee!Nadhani wa kwanza ni wewe JoView attachment 1743673