Vifutu anaowasema Askofu Dr Shoo ndio akina nani?

Vifutu anaowasema Askofu Dr Shoo ndio akina nani?

Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
 
Askofu mzima anawaita watu majina ya mipasho.
Wewe utakuwa ulikimbia umande. Kwenye somo la Kiswahili, kwenye fasihi andishi/simulizi tulifundishwa kuhusu matumizi ya lugha ya picha, ishara na tamathali.
Kuna kitu pia tulifundishwa ambapo wanyama walipewa uwezo wa kibinadamu, mfano unakuta sehemu inasimuliwa kuwa sungura akavaa majani ya mgomba, sungura akamwambia mfalme nk.
 
Yeye ni kifutu nambari wani wa kanisa lake
 
Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Huyajui maandiko wewe.

Mungu alimwumba mwanadamu kwa mfano wake lakini shetani alimharibu mwanadamu. Ndiyo maana leo tuna vifutu, kizazi cha nyoka, mbwa mwitu, na watiifu wake wanaoitwa kondoo.

"Mimi ni mchungaji mwema, na kondoo wangu huisikia sauti yangu"

"Nawatuma ninyi kati ya mbwa mwitu"

"Enyi kizazi cha nyoka"

"Bwana wa shamba alipanda mbegu iliyo njema lakini shetani akaja usiku akapanda magugu"
 
Huyajui maandiko wewe.

Mungu alimwumba mwanadamu kwa mfano wake lakini shetani alimharibu mwanadamu. Ndiyo maana leo tuna vifutu, kizazi cha nyoka, mbwa mwitu, na watiifu wake wanaoitwa kondoo.

"Mimi ni mchungaji mwema, na kondoo wangu huisikia sauti yangu"

"Nawatuma ninyi kati ya mbwa mwitu"

"Enyi kizazi cha nyoka"

"Bwana wa shamba alipanda mbegu iliyo njema lakini shetani akaja usiku akapanda magugu"
Kuna gharama za kutukana hasa watawala na kuwaita majina mabaya

Yohana mbatizaji alimeita jina baya Herode .Herode akamkata kichwa chake

Yesu aliita watawala kizazi cha nyoka na mbwa mwitu wakamsulubisha na kumuua

As long ad kio gozi yeyote wa dini yuko tayari kubeba gharama kama waliomtanguñia waliporomoshea mitusi watawala sina tatizo aendelee tu kuporomodhea mitusi watawala

Lakini kila kiongozi mporomoshea mitusi watawala lazims afahamu kuwa iko gharama kama hao waliomtangulia walipiromoshea mitusi watawala bila uoga akini mwisho wa siku wañilipa gharama
 
Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
[emoji23][emoji23][emoji23] pale unapojitoa ufaham na kujifanya hujaelewa statement.
 
Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Hata wewe ni kifutu
JamiiForums-147249035.jpg
 
Vifutu ni kama hao wanaouishi msemo wa maendeleo hayana chama..

Halafu mfalme akifika Tunduma anasema msinichanganyie ,mkichagua mpinzani sireti maji.
 
Kifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.

Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?

Nawatakia Pasaka njema.

Maendeleo hayana vyama!
Bado Samia atabaki kuwa rais tu
 
Kifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.

Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?

Nawatakia Pasaka njema.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo ni askofu wa chadema. Huku kkkt anavaa kanzu yetu bure tutamvua siku ikifika.
 
Back
Top Bottom