Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa ulikimbia umande. Kwenye somo la Kiswahili, kwenye fasihi andishi/simulizi tulifundishwa kuhusu matumizi ya lugha ya picha, ishara na tamathali.Askofu mzima anawaita watu majina ya mipasho.
vifutu katika ubora wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushindwe na uleger bwashee!
Kifutu kingine hiki hukuBiblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Hili ni lilevi la wapi tena
Chadema bwashee...Kifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.
Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?
Nawatakia Pasaka njema.
Maendeleo hayana vyama!
Huyajui maandiko wewe.Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Kuna gharama za kutukana hasa watawala na kuwaita majina mabayaHuyajui maandiko wewe.
Mungu alimwumba mwanadamu kwa mfano wake lakini shetani alimharibu mwanadamu. Ndiyo maana leo tuna vifutu, kizazi cha nyoka, mbwa mwitu, na watiifu wake wanaoitwa kondoo.
"Mimi ni mchungaji mwema, na kondoo wangu huisikia sauti yangu"
"Nawatuma ninyi kati ya mbwa mwitu"
"Enyi kizazi cha nyoka"
"Bwana wa shamba alipanda mbegu iliyo njema lakini shetani akaja usiku akapanda magugu"
[emoji23][emoji23][emoji23] pale unapojitoa ufaham na kujifanya hujaelewa statement.Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Hata wewe ni kifutuBiblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Nimekuelewa bwashee!Biblia inasema kuwa Mungu alimuumba binadamu kwa mfano na sura yake sio kwa mfano wa kifutu huyo Askofu ni mpagani
Hahahaaaa.......!Chadema bwashee...
Sir Buyer?!!Hata yule Ole Kifutu wa Hai pia yumo.
Shoo Ni kiongozi wa walutheri zaidi ya milioni sita Hana shida ya kuwakilisha watu elfu kumiInaonekana kamanda baba askofu shoo kaanza kampeni mapema; sijui atagombe ubunge jimbo gani?
Bado Samia atabaki kuwa rais tuKifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.
Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?
Nawatakia Pasaka njema.
Maendeleo hayana vyama!
Issue siyo idadi ya watu unaowaongoza, issue ni ukamanda.Shoo Ni kiongozi wa walutheri zaidi ya milioni sita Hana shida ya kuwakilisha watu elfu kumi
Huyo ni askofu wa chadema. Huku kkkt anavaa kanzu yetu bure tutamvua siku ikifika.Kifutu ni aina fulani ya nyoka ambao ni wafupi na wanene.
Ndio najiuliza hao vifutu aliowataja askofu Shoo kwamba wakumbuke hii ni awamu ya 6, ni akina nani hao?
Nawatakia Pasaka njema.
Maendeleo hayana vyama!