Katika pitapita huko mtandaoni nimeona taarifa ya operesheni anayoiendesha Mkuu wa wilaya ya Ubungo,Mh Hassan Bomboko ya kutokomeza biashara ya ukahaba. Takribani miezi miwili amekuwa akiendesha kampeni ya kamata kamata wanawake anaodai ni madada poa na vilevile wanaume wanaodaiwa ni wanunuzi wa makahaba na kama hiyo haitoshi amekuwa akizigungia hadi bar mbalimbali zilizoko Ubungo na Sinza kwa madai ya kwamba zinawahifadhi makahaba.
Swali langu tu, Je anatumia vigezo gani kuingilia faragha za watu ndani ya nyumba za kulaza wageni kama vile lodge? Katika video iliyorushwa na Millard Ayo imeonesha akivamia lodge inayofahamika kama PR na kufungua vyumba vyote na kuwatoa watu katika faragha zao kwa madai kuwa ni makahaba na wanunuzi. Je hii ni sawa?
Pia amekuwa akizifungia lodges, je anataka wamiliki wa lodges wawe wanafanya kazi ya polisi kuhoji kazi ya kila mtu anayekwenda kuhitaji kupatiwa chumba cha kulala?
Vp ikiwa mtu amekwenda kupata faragha na mwenza wake katika hizo lodge halafu yeye anavamia na kuwaita watu ni makahaba na wanunuzi wa makahaba?
Kwa hali hii amefungia hadi Bar mbalimbali Sinza kwa kigezo cha kutopuga marufuku makahaba, je hawa wamiliki wanahusika vipi na masuala ya kufahamu kazi za watu?
Haoni kama anawatafutia hasara za kimapato hao wamiliki wa bar na lodges kutokana na kufungia biashara "halali" zinazoingizia Mapato serikali ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.?
Wangekuwa wanapiga doria halmashauri kucheki Kama Kodi zetu zunatumika sawa. Ile report ya cag ingekuwa unafuatiliwa Ila wao wamekaa sijui wanataka wapate hongo
Waliofungua lodges na bar nao wakafanye biashara gani? Unaenda kukamata malaya barabarani halafu unamsingizia mwenye bar kuwa ndiye anayewafuga? Does it make sense
Wangekuwa wanapiga doria halmashauri kucheki Kama Kodi zetu zunatumika sawa. Ile report ya cag ingekuwa unafuatiliwa Ila wao wamekaa sijui wanataka wapate hongo
Kuna sehem wilaya ya ubungo barabara zake ni mashimo na kuna changamoto kibao lakini mkuu wa wilaya anahangaika na malaya.Wazee wa upwiru anataka wakabake ama anataka wamnyatie wife wamle ndo atajua umuhim wa dada poa
Hapo shida ni mahamani huwezi kuprove kwamba hao makahaba maana kawakuta gesti.....hiyo PR z ni lodge ipo hapo sinza meeda mara nyingi watu wakinunuana wanaenda PR kulipia chumba....
Mwenye PR yeye hajui hao wateja wamepatanaje maana ni wateja tu hiyo pr
Bei zao ni 10000tsh tu
So wakienda mahamakani hapo kesi jamhuri kushinda ni ngumu labda watumie force kisheria hapo hata hao malaya wanatoka maana kawakuta bar na lodge....
Lakini pia itabid approve kwamba walipokea hela ya kujiuzA jambo ambalo nalo ni gumu .....hizo kesi huwa ngumu sana
Hapo shida ni mahamani huwezi kuprove kwamba hao makahaba maana kawakuta gesti.....hiyo PR z ni lodge ipo hapo sinza meeda mara nyingi watu wakinunuana wanaenda PR kulipia chumba....
Mwenye PR yeye hajui hao wateja wamepatanaje maana ni wateja tu hiyo pr
Bei zao ni 10000tsh tu
So wakienda mahamakani hapo kesi jamhuri kushinda ni ngumu labda watumie force kisheria hapo hata hao malaya wanatoka maana kawakuta bar na lodge....
Lakini pia itabid approve kwamba walipokea hela ya kujiuzA jambo ambalo nalo ni gumu .....hizo kesi huwa ngumu sana