Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?

Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?

Hii biashara haramu ina watetezi wengi sana! Tafuta kazi halali ufanye acha kuuza mbunye!

Tafuta kazi ya halali MUNGU atakubaliki! Hata kama utapata kidogo lakini kina baraka za Mola!
Vipi kama hawaamini Mungu??
Mbona biashara za pombe, sigara na kitimoto zinaruhusiwa??
 
Hapo shida ni mahamani huwezi kuprove kwamba hao makahaba maana kawakuta gesti.....hiyo PR z ni lodge ipo hapo sinza meeda mara nyingi watu wakinunuana wanaenda PR kulipia chumba....

Mwenye PR yeye hajui hao wateja wamepatanaje maana ni wateja tu hiyo pr

Bei zao ni 10000tsh tu

So wakienda mahamakani hapo kesi jamhuri kushinda ni ngumu labda watumie force kisheria hapo hata hao malaya wanatoka maana kawakuta bar na lodge....

Lakini pia itabid approve kwamba walipokea hela ya kujiuzA jambo ambalo nalo ni gumu .....hizo kesi huwa ngumu sana
Hukumu ya kahaba kwa Tanzania ikoje kisheria?
 
Habari zenu wana jamvi,

Katika pitapita huko mtandaoni nimeona taarifa ya operesheni anayoiendesha Mkuu wa wilaya ya Ubungo,Mh Hassan Bomboko ya kutokomeza biashara ya ukahaba. Takribani miezi miwili amekuwa akiendesha kampeni ya kamata kamata wanawake anaodai ni madada poa na vilevile wanaume wanaodaiwa ni wanunuzi wa makahaba na kama hiyo haitoshi amekuwa akizigungia hadi bar mbalimbali zilizoko Ubungo na Sinza kwa madai ya kwamba zinawahifadhi makahaba.

Swali langu tu ,Je anatumia vigezo gani kuingilia faragha za watu ndani ya nyumba za kulaza wageni kama vile lodge ? Katika video iliyorushwa na Millard Ayo imeonesha akivamia lodge inayofahamika kama PR na kufungua vyumba vyote na kuwatoa watu katika faragha zao kwa madai kuwa ni makahaba na wanunuzi. Je hii ni sawa?

Pia amekuwa akizifungia lodges , je anataka wamiliki wa lodges wawe wanafanya kazi ya polisi kuhoji kazi ya kila mtu anayekwenda kuhitaji kupatiwa chumba cha kulala?

Vp ikiwa mtu amekwenda kupata faragha na mwenza wake katika hizo lodge halafu yeye anavamia na kuwaita watu ni makahaba na wanunuzi wa makahaba?

Kwa hali hii amefungia hadi Bar mbalimbali Sinza kwa kigezo cha kutopuga marufuku makahaba, je hawa wamiliki wanahusika vipi na masuala ya kufahamu kazi za watu?

Haoni kama anawatafutia hasara za kimapato hao wamiliki wa bar na lodges kutokana na kufungia biashara "halali" zinazoingizia Mapato serikali ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.?

Chanzo: Millard AyoTv


View: https://m.youtube.com/watch?v=x4XCJyVLQ7E

Anawakamata kwani malaya wana kosa gani? Wanavunja sheria ipi ya nchi?
 
Prostitution is a social problem but not a legal problem. Awe makini ni operation za namna hiyo. Nifupa mgumu Sana sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono. Makanisa,misikiti, ustawi wa jamii, makundi Rika, ndugu na jamaa, ukoo, wazazi wataliweza vizuri zaidi hili tatizo
 
Habari zenu wana jamvi,

Katika pitapita huko mtandaoni nimeona taarifa ya operesheni anayoiendesha Mkuu wa wilaya ya Ubungo,Mh Hassan Bomboko ya kutokomeza biashara ya ukahaba. Takribani miezi miwili amekuwa akiendesha kampeni ya kamata kamata wanawake anaodai ni madada poa na vilevile wanaume wanaodaiwa ni wanunuzi wa makahaba na kama hiyo haitoshi amekuwa akizigungia hadi bar mbalimbali zilizoko Ubungo na Sinza kwa madai ya kwamba zinawahifadhi makahaba.

Swali langu tu ,Je anatumia vigezo gani kuingilia faragha za watu ndani ya nyumba za kulaza wageni kama vile lodge ? Katika video iliyorushwa na Millard Ayo imeonesha akivamia lodge inayofahamika kama PR na kufungua vyumba vyote na kuwatoa watu katika faragha zao kwa madai kuwa ni makahaba na wanunuzi. Je hii ni sawa?

Pia amekuwa akizifungia lodges , je anataka wamiliki wa lodges wawe wanafanya kazi ya polisi kuhoji kazi ya kila mtu anayekwenda kuhitaji kupatiwa chumba cha kulala?

Vp ikiwa mtu amekwenda kupata faragha na mwenza wake katika hizo lodge halafu yeye anavamia na kuwaita watu ni makahaba na wanunuzi wa makahaba?

Kwa hali hii amefungia hadi Bar mbalimbali Sinza kwa kigezo cha kutopuga marufuku makahaba, je hawa wamiliki wanahusika vipi na masuala ya kufahamu kazi za watu?

Haoni kama anawatafutia hasara za kimapato hao wamiliki wa bar na lodges kutokana na kufungia biashara "halali" zinazoingizia Mapato serikali ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.?

Chanzo: Millard AyoTv


View: https://m.youtube.com/watch?v=x4XCJyVLQ7E

Ukiona hivyo huyu hana anachokiweza kwenye uongozi aliopewa sasa ili angalau aonekane anafanya kazi ndipo hapo anapofanya haya madudu anayoyafanya kinyume na hapo atakosa cha kufanya kwenye uongozi aliopewa.
 
Hivi wanajuaje tofauti kati ya mtu alieenda hapo lodge na kahaba na yule alieenda na mpenzi wake kwenda kujipumzisha? Au hao wote wanakamatwa kwa kosa la "kujiuza?"

Unathibitisha vipi mahakamani kwamba huyu mtu tumemkamata gesti akiwa anajiuza? Umejuaje anajiuza?
 
Haya sasa
 

Attachments

  • Screenshot_20240615-195630_Instagram.jpg
    Screenshot_20240615-195630_Instagram.jpg
    469.6 KB · Views: 5
Huyu ni mfano wa utaahira wa kuchanganya dini na siasa, yaani hapo limejiona ndio liislam safi eti.., akina Slaa na Makonda wanatafua migogoro lenyewe linaharibu uchumi na kuingilia faragha za watu..,

Viongozi wa kiislam ni laana kwenye nchi hii
Wengi tunamlaumu lakini si kwa sababu ya Uislamu wake si vyema kuingiza udini kwenye mada zisizohusu udini.
 
Anafanya kazi nzuri ila kwa huo mji wenu wa kishetani hawezi kuwa supported. Naona mwamba soon atapelekwa ileje akatulie huko maana mji ushamshinda.
 
Back
Top Bottom