Acha umbea weweOy Moderator unaona hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha umbea weweOy Moderator unaona hii?
Viongozi wa kiislam huwa wanashindwa kutofautisha dini na uongozi, chunguza utajua..,Wengi tunamlaumu lakini si kwa sababu ya Uislamu wake si vyema kuingiza udini kwenye mada zisizohusu udini.
Habari zenu wana jamvi,
Katika pitapita huko mtandaoni nimeona taarifa ya operesheni anayoiendesha Mkuu wa wilaya ya Ubungo,Mh Hassan Bomboko ya kutokomeza biashara ya ukahaba. Takribani miezi miwili amekuwa akiendesha kampeni ya kamata kamata wanawake anaodai ni madada poa na vilevile wanaume wanaodaiwa ni wanunuzi wa makahaba na kama hiyo haitoshi amekuwa akizigungia hadi bar mbalimbali zilizoko Ubungo na Sinza kwa madai ya kwamba zinawahifadhi makahaba.
Swali langu tu ,Je anatumia vigezo gani kuingilia faragha za watu ndani ya nyumba za kulaza wageni kama vile lodge ? Katika video iliyorushwa na Millard Ayo imeonesha akivamia lodge inayofahamika kama PR na kufungua vyumba vyote na kuwatoa watu katika faragha zao kwa madai kuwa ni makahaba na wanunuzi. Je hii ni sawa?
Pia amekuwa akizifungia lodges , je anataka wamiliki wa lodges wawe wanafanya kazi ya polisi kuhoji kazi ya kila mtu anayekwenda kuhitaji kupatiwa chumba cha kulala?
Vp ikiwa mtu amekwenda kupata faragha na mwenza wake katika hizo lodge halafu yeye anavamia na kuwaita watu ni makahaba na wanunuzi wa makahaba?
Kwa hali hii amefungia hadi Bar mbalimbali Sinza kwa kigezo cha kutopuga marufuku makahaba, je hawa wamiliki wanahusika vipi na masuala ya kufahamu kazi za watu?
Haoni kama anawatafutia hasara za kimapato hao wamiliki wa bar na lodges kutokana na kufungia biashara "halali" zinazoingizia Mapato serikali ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.?
Chanzo: Millard AyoTv
View: https://m.youtube.com/watch?v=x4XCJyVLQ7E
Kabisa yani, kuna mambo mengi ya msingi ya kushughulikia hivi mkuu wa wilaya unaenda kukagua gesti kweli? hivi amekosa kabisa shughuli nyingine za kufanya ?Hayo mafuta wanayotumia kwenda lodge wangeongezea kwenye budget ya ambulance ya wilaya ingefaa sana
Sasa kama hao Viongozi wenyewe wanateuliwa kwa kuangaliana kuwa ulikuwa mtoto wa kiongozi gani pasipo kuzingatia uwezo, unadhani wanaweza kuwa na mawazo ambayo ni productive? Hao ma DC wengi ni baba kantuma hakuna viongozi humo.Hivi ni kwanini hata asingemtafuta Mwanasheria wa Manispaa ya Ubungo classmate wangu Wakili Msomi Coletha ampe ABC za kisheria kuhusu ukahaba?
Kwanini viongozi wa umma wanajidhalilisha?
Kwanini hata asingepita humu JF akasoma kisa cha RC wa Dar 1985 bwana Joseph Rwegasira na suala la kupambana na ukahaba na wosia aliopewa na Nyerere?
Ni wavivu na kupenda sifa aonekane km hivyo kwenye media mama amuone anapiga kazi, si ajifunze kwa DC makini na mchapa kazi NICKSON SIMONKabisa yani, kuna mambo mengi ya msingi ya kushughulikia hivi mkuu wa wilaya unaenda kukagua gesti kweli? hivi amekosa kabisa shughuli nyingine za kufanya ?
Ametokea Ukerewe DC. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Hamasa wa Chipukizi wa UVCCM.Anatafuta sifa za kijinga wakati wilaya ina changamoto kibao. Sasa hiyo inawasaidia nini wananchi wa eneo lake?? Hawa ma DC mizigo, kuna vyeo vilitakiwa kufutwa.
Hawa wengi waliteuliwa kwa vimemo kulingana na nyadhifa walizokuwa nazo baba, mama, wajomba zao, kwa hali hii ya kuteuwa pasipo kuangalia uwezo wa mtu, bado tutaendelea kuwa nchi ya Ahadi miaka yote.Anatafuta sifa za kijinga wakati wilaya ina changamoto kibao. Sasa hiyo inawasaidia nini wananchi wa eneo lake?? Hawa ma DC mizigo, kuna vyeo vilitakiwa kufutwa.
Hata kama aisee. Too low to think!Sasa kama hao Viongozi wenyewe wanateuliwa kwa kuangaliana kuwa ulikuwa mtoto wa kiongozi gani pasipo kuzingatia uwezo, unadhani wanaweza kuwa na mawazo ambayo ni productive? Hao ma DC wengi ni baba kantuma hakuna viongozi humo.
Ushamba na sifa zimemzidiAmetokea Ukerewe DC. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Hamasa wa Chipukizi wa UVCCM.
DC huyu aisee!
Na ndio tatizo hiloHawa wengi waliteuliwa kwa vimemo kulingana na nyadhifa walizokuwa nazo baba, mama, wajomba zao, kwa hali hii ya kuteuwa pasipo kuangalia uwezo wa mtu, bado tutaendelea kuwa nchi ya Ahadi miaka yote.
NDIO TATIZO LA VYEO VYA KUPEANA BAADA YA KUPIGA KAZI KWA AJILI YA KUIJENGA CV YAKO, WEWE UNA FANYA KAZI ILI KAMERA ZIKUONE SASA KWA AKILI YAKE AMEWAKAMATA ATAWASHITAKI KWA SHERIA IPI?Ametokea Ukerewe DC. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Hamasa wa Chipukizi wa UVCCM.
DC huyu aisee!
Viongozi hawana maarifa hawataki wakosolewe wanafanya kazi kwa sifaKabisa yani, kuna mambo mengi ya msingi ya kushughulikia hivi mkuu wa wilaya unaenda kukagua gesti kweli? hivi amekosa kabisa shughuli nyingine za kufanya ?