Vigezo Gani vilitumika kuajili mwandishi wa aina hii?

Vigezo Gani vilitumika kuajili mwandishi wa aina hii?

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Yaani Kuna makosa ya kibinadamu ambayo binadamu huwa ni kawaida kukosea lakini kwa hapa nimeona huyu mwandishi hajaona kama amekosea kuandika ila ndivyo alivyoona ni sahihi hii sentensi ipangiliwe hivyo. Eti "sijui kama Kuna joto dar". Vijana tuache uvivu , hili ni kosa dogo lakini linaharibu brand ya kampuni.

Baba levo unafeli wapi mbona vijana wapo wengi sana mtaani na hawana kazi Tena unawalipa mshahara unataka wewe lakini unaokidhi angalau Kodi na kula yao.
Screenshot_20250210-234149.jpg
 
Kakosea wapi, Mimi sijaona makosa hapo
Yaani uende pale habari Leo, mwananchi, nipashe halafu wakupe sentensi uipangilie na uandike hivyo ndyo kichwa Cha habari? Halafu useme wamekuonea ,walikuwa na watu wao?
 
Kwanza ulimsikiliza Ahmed alivyoongea?
Mwandishi amemnukuu bila kuongeza wala kupunza neno
Kasikilize upya,alisema "sijui kama dar Kuna joto" rudia Tena kusikiliza
 
Yaani Kuna makosa ya kibinadamu ambayo binadamu huwa ni kawaida kukosea lakini kwa hapa nimeona huyu mwandishi hajaona kama amekosea kuandika ila ndivyo alivyoona ni sahihi hii sentensi ipangiliwe hivyo. Eti "sijui kama Kuna joto dar". Vijana tuache uvivu , hili ni kosa dogo lakini linaharibu brand ya kampuni.

Baba levo unafeli wapi mbona vijana wapo wengi sana mtaani na hawana kazi Tena unawalipa mshahara unataka wewe lakini unaokidhi angalau Kodi na kula yao. View attachment 3232697
Sifa za kijinga
 
Sifa za kijinga
Mkuu syo sifa , ni katika Hali ya kurekebishana tu. Ningekuwa naweza kuonana na aliyeandika ningemwambia ila hili kosa kiuandishi ni kubwa mno. Imagine title kama hii ukutane nayo pale Nipashe asubuhi, utaridhika kununua gazeti hilo kweli?
 
Yaani Kuna makosa ya kibinadamu ambayo binadamu huwa ni kawaida kukosea lakini kwa hapa nimeona huyu mwandishi hajaona kama amekosea kuandika ila ndivyo alivyoona ni sahihi hii sentensi ipangiliwe hivyo. Eti "sijui kama Kuna joto dar". Vijana tuache uvivu , hili ni kosa dogo lakini linaharibu brand ya kampuni.

Baba levo unafeli wapi mbona vijana wapo wengi sana mtaani na hawana kazi Tena unawalipa mshahara unataka wewe lakini unaokidhi angalau Kodi na kula yao. View attachment 3232697
Baba levo mwenyewe hamna kitu!!!
 
Yaani uende pale habari Leo, mwananchi, nipashe halafu wakupe sentensi uipangilie na uandike hivyo ndyo kichwa Cha habari? Halafu useme wamekuonea ,walikuwa na watu wao?
Ndio watakuwa wamenionea maana niko sahihi
 
Mkuu syo sifa , ni katika Hali ya kurekebishana tu. Ningekuwa naweza kuonana na aliyeandika ningemwambia ila hili kosa kiuandishi ni kubwa mno. Imagine title kama hii ukutane nayo pale Nipashe asubuhi, utaridhika kununua gazeti hilo kweli?
Sasa nisinunue gazette kwa nini wakati kuna kichwa cha habari cha kuvutia kama hicho
 
Yaani Kuna makosa ya kibinadamu ambayo binadamu huwa ni kawaida kukosea lakini kwa hapa nimeona huyu mwandishi hajaona kama amekosea kuandika ila ndivyo alivyoona ni sahihi hii sentensi ipangiliwe hivyo. Eti "sijui kama Kuna joto dar". Vijana tuache uvivu , hili ni kosa dogo lakini linaharibu brand ya kampuni.

Baba levo unafeli wapi mbona vijana wapo wengi sana mtaani na hawana kazi Tena unawalipa mshahara unataka wewe lakini unaokidhi angalau Kodi na kula yao. View attachment 3232697
Tuanze na kichwa cha post yako mwenyewe;

Vigezo Gani vilitumika kuajili mwandishi wa aina hii?​

Kuna makosa mangapi ya kiuandishi hapo kabla hujambeza mwenzio? Wewe ni mbovu zaidi.
 
Back
Top Bottom