muhuni mpya
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 300
- 166
yeyote anayefahamu vigezo vyao vikuu kabisa ili uweze kujiunga na jeshi la wananchi Tanzania JWTZ, napenda sana hii kazi
ASANTN
ASANTN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo nguo umezitoa wapi ? ngoja waje wanadhimu wa jwtz humu wakudake
La kwanza kabisa uwe hai.Mengine wataongeza wakuu.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa hapa tetesi ni ipi mkuu?
Hivi mnakuwa mmevuta bangi ndio mnaanzisha mada au?
Inategemea tangazo la msimu/intake hiyo linahitaji nini!Iyo najua yaan me namaanisha sifa wazfa wako
Let him be boss wangu.Ni mgeni huyu.
Sasa hapa tetesi ni ipi mkuu?
Hivi mnakuwa mmevuta bangi ndio mnaanzisha mada au?
Bwana mdogo kuwa askari Wa jwtz si lelemama unatakiwa ujitoe kweli kufa au kupona ....yeyote anayefahamu vigezo vyao vikuu kabisa ili uweze kujiunga na jeshi la wananchi Tanzania JWTZ, napenda sana hii kazi
ASANTNView attachment 1076585
Hahahahahaaa! Sawa mkuu.Aende na familia yake kabisa.Acha kumtisha mwenzio kuna mastaa duu kibao jeshini hadi mashoga wapo humo..
kufa ilo niachie jambo lakawaida tuu ajar kazinBwana mdogo kuwa askari Wa jwtz si lelemama unatakiwa ujitoe kweli kufa au kupona ....
umepatiaLet him be boss wangu.Ni mgeni huyu.
Vigezo vikuu uwe mwenye afya njema Na mtiifuuuu.
hivyo ndiyo vigezo viguuu vingine mbwembwe tu.
Hahahahahaaa! Sawa mkuu.Aende na familia yake kabisa.
Duuuuu.. Mashoga hakuna. Wewe uliwaona wapi kijana. Afya nzuri. Usiwe na kilema. Akili nzuri. Uzalendo. Mtanzania. Umri 18/25. Ujaoa wala kuolewa. Utapimwa vizuri Sana. Kuangalia kama Wee Ni safi. Utainama kuangalia kama wewe ni shoga au laaAcha kumtisha mwenzio kuna mastaa duu kibao jeshini hadi mashoga wapo humo..
Acha ubishi mkuu mm pia nilibisha kama wewe hatupo salama kwenye hizo mambo ya ajabu ajabu hadi huko kwenye mabaka yapo mtaani tunao hao.Duuuuu.. Mashoga hakuna. Wewe uliwaona wapi kijana. Afya nzuri. Usiwe na kilema. Akili nzuri. Uzalendo. Mtanzania. Umri 18/25. Ujaoa wala kuolewa. Utapimwa vizuri Sana. Kuangalia kama Wee Ni safi. Utainama kuangalia kama wewe ni shoga au laa
Wanatambulika kisheria au walipenya na kuingia "geshi" kwa ujanjaujanja na mbinu tu?Acha ubishi mkuu mm pia nilibisha kama wewe hatupo salama kwenye hizo mambo ya ajabu ajabu hadi huko kwenye mabaka yapo mtaani tunao hao.