covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Sasa hapo ndio tujiulize maana tunaambiwaga wanaoingia huko wote wanainamishwa kupimwa ika cha ajabu bado watu design hiyo wamo humohumo.Wanatambulika kisheria au walipenya na kuingia "geshi" kwa ujanjaujanja na mbinu tu?
sasa sijui walijibana kipindi wwnakaguliwa kuingia "geshi".