Sasa hapo ndio tujiulize maana tunaambiwaga wanaoingia huko wote wanainamishwa kupimwa ika cha ajabu bado watu design hiyo wamo humohumo.Wanatambulika kisheria au walipenya na kuingia "geshi" kwa ujanjaujanja na mbinu tu?
So bure.Kuna lililoendelea hapo.Mbinu au udanganyifu.Sasa hapo ndio tujiulize maana tunaambiwaga wanaoingia huko wote wanainamishwa kupimwa ika cha ajabu bado watu design hiyo wamo humohumo.
sasa sijui walijibana kipindi wwnakaguliwa kuingia "geshi".
Aisee kwa afya cheki kama hii, shoga anapitia wapi? Nasikiaga kule wanachunguza mwili wako full kwa kila defect, na ukiwa mbovu unatemwa tena kwa aibu. Kijana kuwa serious.Acha kumtisha mwenzio kuna mastaa duu kibao jeshini hadi mashoga wapo humo..
Kweli kabisa. Kabla ya Kwanza Kodi. Unachekiwa hile mbayaHuko katika Jeshi la Marekani ndio utakuta hao homosexual, lakini ndani ya TPDF hakuna huo uchafu
Kweli kabisa. Kabla ya Kwanza Kodi. Unachekiwa hile mbaya
1, mvua nguo. Unaambiwa kutoka mkataim Kwa mada kama Dakika 10. Alafu anaambiwa kuhoa Mara 3. Then unaambiwa vijana Hili kuangalia kama watu wanakula tigo
2. Kama ni msichana hivyo hivyo na wanakamua matiti.
Nikweli kabisaUandishi wa hovyo
AsanteElimu ya darasa la 7 mbaka shahada ya uZamivu.
Haaaaaaah haaaaah dahLa kwanza kabisa uwe hai.Mengine wataongeza wakuu.
yeyote anayefahamu vigezo vyao vikuu kabisa ili uweze kujiunga na jeshi la wananchi Tanzania JWTZ, napenda sana hii kazi
ASANTNView attachment 1076585
Mbona madukani nyingi tuu
Inategemea tangazo la msimu/intake hiyo linahitaji nini!
-Utimamu wa mwili kiafya
-Utimamu wa mwili katika viungo(ulemavu hawana)
-Mwili safi kama unaenda kupokea sakramenti(hauna mamichoro,makovu makubwa wala tattoo(yawezekana ndiyo michoro)
-vyeti halali vya taaluma vinavyohitajika kwa wakati huo
-Mtanzania(hasa wa kuzaliwa) tena mzalendo
-usiwe na vitendo hatarishi k.m utumiaji madawa ya kulevya na ushoga(uhusiano wa jinsi moja)
-usiwe una majukumu ya ndoa(au uyakane na ubebe msalaba wako wa majukumu utakayopewa)hadi utakaporuhusiwa
-uwe binadamu(hilo ni muhimu)
Zingatia hayo mzalendo wangu.Mengine utayakuta hukohuko.
Imo mumo kwa pale!Rudia kusoma.Malizia awe hajawahi kutoa "sega"
Nipe odda unapatiwaWapi mkubwa tofauti na duka la jeshi
Tuko TSJ. STD VIIUandishi wa hovyo