Vigezo vya kupata mkopo bodi ya mkopo elimu ya juu

Vigezo vya kupata mkopo bodi ya mkopo elimu ya juu

Chimile

Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
11
Reaction score
2
Ndugu zangu Watanzania, moja ya kigezo kwa mujibu wa maelekezo ya bodi ya mikopo nikuwa BODI itatoa mikopo kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2010-2012....
Jaman vipi sisi watoto wa wakulima tuliomaliza miaka ya nyuma na tunahitaji kuendelea kwa sasa
 
Ndugu zangu Watanzania, moja ya kigezo kwa mujibu wa maelekezo ya bodi ya mikopo nikuwa BODI itatoa mikopo kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2010-2012....
Jaman vipi sisi watoto wa wakulima tuliomaliza miaka ya nyuma na tunahitaji kuendelea kwa sasa[/QUOTE
sasa wewe ulikua loan board ungewauliza hukohuko wangekupa jibu la kueleweka
 
Back
Top Bottom