Uchaguzi 2020 Vigezo vya mgombea kuenguliwa na NEC viko kwenye fomu aliyochukua NEC

Uchaguzi 2020 Vigezo vya mgombea kuenguliwa na NEC viko kwenye fomu aliyochukua NEC

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
NEC kazi yake ya kwanza ni kutoa fomu kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani.

Wengi wanajiuliza kama hufai kwanini wasiache kukupa fomu?

Jibu rahisi, Kisheria unatakiwa wewe unayeomba ujibu hayo yaliyomo kwenye fomu unapojaza maelezo yako.

Ukiirudisha Tume Baada ya Tume kujiridhisha beyond reasonable doubt kisheria ndio wanakutangaza mgombea.

Hivyo kuchukua fomu si kupitishwa, unapewa ukajaze maelezo binafsi na wadhamini.

Sasa wewe ukijichukulia kuwa tayari ni mgombea ukaanza kuchoma pesa zako kama umeshateuliwa hayo yako hayahusiani na tume
ndio maana hata Magufuli fomu yake anatembeza kimya kimya.

Wagombea wengine eleweni hilo. Fomu ukipewa ni kwenda kujaza personal particulars tu wadhamini tu hakuhitaji mbwembwe sababu uteuzi wa NEC bado.
 
Anatembeza kimya kimya kivipi Rais anaweza kwenda mahali kimya kimya bila vyombo vya dola na waandishi wa habari sema yeye wanasimamia makada wendake.

Hata hivyo sifa za mgombea zipo kisheria zimetoka kwenye sheria ndipo zikawekwa kwenye form kabla ya kwenda kuchukuwa form kila mtu anapotia Sifa na kujiridhisha kama anazo Sifa.

Sidhani kama hii hoja ya kutaka kuengua baadhi ya wagombea inakubalika katika hatua yoyote ile.
 
Anatembeza kimya kimya kivipi Rais anaweza kwenda mahali kimya kimya bila vyombo vya dola na waandishi wa habari sema yeye wanasimamia makada wendake.

Hata hivyo Sifa za mgombea zipo kisheria zimetoka kwenye sheria ndipo zikawekwa kwenye form kabla ya kwenda kuchukuwa form kila mtu anapotia Sifa na kujiridhisha kama anazo Sifa. Sidhani kama hii hoja ya kutaka kuengua baadhi ya wagombea inakubalika katika hatua yoyote ile.
Sio Kweli ukisharudisha fomu yako ndio wanapitia maelezo mfano ulishawahi fungwa jela chama chako waweza ficha hiyo taarifa wakakuteua mgombea wao.Ukirudisha fomu ukaandika hujawahi fungwa wanahakiki na mahakama na magereza wakijua ulifungwa wanakupiga chini.

Hiyo fomu Sio final
 
Ni hivi utaanzisha mada zote unazozijua ww, lakini kila mtu kajionea kuwa anachokifanya Magufuli cha kutumia madaraka yake kuikweza ccm, sio kwa ridhaa ya umma, bali ni kwa shuruti kupitia madaraka yake.

Na hata wakimuengua Lisu, imejionyesha watu bado wana imani sana na upinzani. Kama mliamini watu watababaika na madaraja, sijui ndege, sijui bwawa, basi hapo mmeukalia.
 
😁😁😁😁 eti Magufuli wadhamini anatafuta kimya kimya! Lissu anawahenyesha kweli kweli!
Kwenye mpira mnaitwaga akina “kufungwa tumefungwa lakini chenga twawala “.
 
😁😁😁😁 eti Magufuli wadhamini anatafuta kimya kimya! Lissu anawahenyesha kweli kweli!
Magufuli Hana haja ya Kujitangaza kuwa nakuja kutafuta wadhamini fomu yake inatembezwa juu kwa juu yeye Bila kutoka jasho kukodi bodaboda kupigwa picha za visimu vya mitumba selfie na kutoa vihotuba Koko vya kujikomba ili ajaziwe fomu na wadhamini
 
Magufuli Hana haja ya Kujitangaza kuwa nakuja kutafuta wadhamini fomu yake inatembezwa just kwa juu yeye Bila kutoka jasho kukodi bodaboda kupigwa picha za visimu vya mitumba selfie na kutoa vihotuba Koko vya kujikomba iki ajaziwe fomu na wadhamini
Mwambieni safari hii sio push up tu kuomba kura, aruke mpaka kichura chura kutushawishi
 
Mnasema upinzani umekufa ila NEC wanaagizwa na CCM kufanya kazi za CCM, Siku hizi naona amekuwa kimya hata kuropoka hovyo kapunguza ,dawa inawaingia polepole mtakufa kwa presha
 
NEC kazi yake ya kwanza ni kutoa fomu kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani.

Wengi wanajiuliza kama hufai kwanini wasiache kukupa fomu?

Jibu rahisi kisheria unatakiwa wewe unayeomba ujibu hayo yaliyomo kwenye fomu unapojaza maelezo yako.

Ukiirudisha Tume Baada ya Tume kujiridhisha beyond reasonable doubt kisheria ndio wanakutangaza mgombea.

Hivyo kuchukua fomu si kupitishwa, unapewa ukajaze maelezo binafsi na wadhamini.

Sasa wewe ukijichukulia kuwa tayari ni mgombea ukaanza kuchoma pesa zako kama umeshateuliwa hayo yako hayahusiani na tume
ndio maana hata Magufuli fomu yake anatembeza kimya kimya.

Wagombea wengine eleweni hilo. Fomu ukipewa ni kwenda kujaza personal particulars tu wadhamini tu hakuhitaji mbwembwe sababu uteuzi wa NEC bado.
so mkuu kama vigezo viko kwenye form walizochukua wagombea ,na si zinaeleweka sasa inawezaje tokea mtu mwenye akili timamu akachukue au atie nia halihali anajua hana vigezo vya kua mgombea?

SO wanaosema wagombea wote waliochukua form wana sifa wako sahii maana kugombea ni process so wanajua wanakidhi vigezo thats wakatia nia na bado wakafuata form tume na bado wanaendele kusaka wadhamini so mambo murua na halihijaji kiwango kikubwa cha elim kufikilia
 
so mkuu kama vigezo viko kwenye form walizochukua wagombea ,na si zinaeleweka sasa inawezaje tokea mtu mwenye akili timamu akachukue au atie nia halihali anajua hana vigezo vya kua mgombea ? SO wanaosema wagombea wote waliochukua form wana sifa wako sahii maana kugombea ni process so wanajua wanakidhi vigezo thats wakatia nia na bado wakafuata form tume na bado wanaendele kusaka wadhamini so mambo murua na halihijaji kiwango kikubwa cha elim kufikilia
Sharti la fomu hata wewe ukitaka hata usiwe na vigezo mradi chama kimekupitisha wanakpa ila hawakujui vizuri wao watakupa fomu ukajaze na utafute wadhamini ambao pia watahakikiwa ili usije weka wadhamini hewa!! Wanaokujua
Ukiirudisha ndio wanaanza kuangalia kimoja Baada ya kingine

Hivyo hii process ya kwanza simply Ni kujaza tu form na wadhamini na kurudisha tume

Hiyo fomu Ni Kama barua tu ya maombi kwa tume ya kuomba kuteuliwa na tume Kama mgombea Kama zilivyo barua tu za kuomba kazi ambazo mwajiri akizipata huzipitia kuona Kama unastahili ili upewe

Hizo fomu ndio kazi yake ila wagombea wengine malimbukeni wanadhani hizo fomu ni.kama tayari mtu kateuliwa!!! Au wanadanganywa na wachukua fomu kuwatapeli kuwa tayari Mimi nimeteuliwa ili wawalambe pesa za michango .

Uteuzi bado sherehe na mbwembwe zinatakiwa zifanyike Baada ya kuteuliwa. Mgombea na tume

Anyway ninachofanya Ni kuwastua wapenzi wa wagombea msianze kuchomolewa pesa kwa mtu.kuchukua fomu .Abiria chunga mfuko wako uteuzi bado
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti Magufuli wadhamini anatafuta kimya kimya! Lissu anawahenyesha kweli kweli!
Magufuli hatafuti wadhamini kwa mbwembwe kama kichaa yuleeee. Nimemdhamini na wala sikuonana naye majina yametumwa tu
 
NEC kazi yake ya kwanza ni kutoa fomu kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani.

Wengi wanajiuliza kama hufai kwanini wasiache kukupa fomu?...
Tundu Lissu mtu pekee wa kuikomboa tanzania. T.Lissu rais wa JMT.
 
NEC kazi yake ya kwanza ni kutoa fomu kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani.

Wengi wanajiuliza kama hufai kwanini wasiache kukupa fomu?...
Zote hizo ni fix zenu mkimuangalia lissu na njia ya kuitumuia ili mumkate.

Mnamuogopa Lissu kama mnavyoogopa kinyesi chenu.
 
Ulipomgusia jiwe kuwa anapita kimya kimya nishakujua wewe rangi ya kijani, hopeless kabisa wewe
NEC kazi yake ya kwanza ni kutoa fomu kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani.

Wengi wanajiuliza kama hufai kwanini wasiache kukupa fomu?

Jibu rahisi kisheria unatakiwa wewe unayeomba ujibu hayo yaliyomo kwenye fomu unapojaza maelezo yako.

Ukiirudisha Tume Baada ya Tume kujiridhisha beyond reasonable doubt kisheria ndio wanakutangaza mgombea.

Hivyo kuchukua fomu si kupitishwa, unapewa ukajaze maelezo binafsi na wadhamini.

Sasa wewe ukijichukulia kuwa tayari ni mgombea ukaanza kuchoma pesa zako kama umeshateuliwa hayo yako hayahusiani na tume
ndio maana hata Magufuli fomu yake anatembeza kimya kimya.

Wagombea wengine eleweni hilo. Fomu ukipewa ni kwenda kujaza personal particulars tu wadhamini tu hakuhitaji mbwembwe sababu uteuzi wa NEC bado.
 
Back
Top Bottom