Vigodoro ndio chanzo kikuu cha maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI uswahilini

Vigodoro ndio chanzo kikuu cha maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI uswahilini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1575208533046.jpg


Ugumu wa maisha umefanya familia nyingi za uswahilini kushindwa kuelekeza maadili mema kwa watoto wao, watoto wanaishi kama watoto wa kuku aliyeanza kutetea, hili ni jambo linalofichwa, halielezwi wazi wazi.

FB_IMG_1575208252311.jpg


Tukitaka kuadhimisha siku ya Ukimwi ni lazima tuanzie ngazi ya chini kabisa, ni lazima tuhakikishe mila za kishenzi kama hizi za vigodoro zizimwe kabisa, bila hivi Ukimwi hauwezi kukoma.
 
Mkuu iko cha kwenye picha kilikua viwanja gani hapa jijini? Inafaa niende kuwapa somo juu ya Ukimwi huko huko.
 
Wengi wa wachezaj kwenye vigodoro ni wanaojiuza ama wana hizo elements
Hivyo hata ukizuia kigodoro hujazuia maambukiz ya ukimwi kwa vile wanaendelea na shughuli yao katika mazingira mengine
 
Wengi wa wachezaj kwenye vigodoro ni wanaojiuza ama wana hizo elements
Hivyo hata ukizuia kigodoro hujazuia maambukiz ya ukimwi kwa vile wanaendelea na shughuli yao katika mazingira mengine
wanaojiuza ni wengine na wacheza vigodoro ni wengine
 
Hiyo miziki ya vigoma Ina zidi kupata umaarufu siku hizi club ina siku zake kwajili ya Vibao kata,vigoma vya ulugwai,matalumbeta mtu ana dela jepesi Ndani hakuna kitu
 
Uzuri wa hao huwa beki hazikabi hela yako tu....

Uzuri wa mademu wa uswahilini wanajua mambo, wanajituma hadi unaweza kimbia show
 
Kweli kabisa mademu wa uswahilini wanajua sana yale mambo yetu. Mabaharia tunawaita "kuku wa kienyeji " ni watamu sana [emoji39]
Uzuri wa hao huwa beki hazikabi hela yako tu....

Uzuri wa mademu wa uswahilini wanajua mambo, wanajituma hadi unaweza kimbia show
 
Nawahurumiaga sana watoto wa uswahilini. Wanaishi katika ulimwengu mgumu sana na wa hovyo.

Maisha wanayatazama kwenye scope ndogo mno, ile inayowazunguka!
 
Na wao wanakuja kuwa hivyo hivyi na wanaongoza kuzaa umri mdogo.
Usiombe wakusute utahama mtaa
Nawahurumiaga sana watoto wa uswahilini. Wanaishi katika ulimwengu mgumu sana na wa hovyo.

Maisha wanayatazama kwenye scope ndogo mno, ile inayowazunguka!
 
Back
Top Bottom