Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbagala rangi tatuMkuu iko cha kwenye picha kilikua viwanja gani hapa jijini? Inafaa niende kuwapa somo juu ya Ukimwi huko huko.
Kabisa !!Na mikesha ya mwenge
wanaojiuza ni wengine na wacheza vigodoro ni wengineWengi wa wachezaj kwenye vigodoro ni wanaojiuza ama wana hizo elements
Hivyo hata ukizuia kigodoro hujazuia maambukiz ya ukimwi kwa vile wanaendelea na shughuli yao katika mazingira mengine
Uzuri wa hao huwa beki hazikabi hela yako tu....
Uzuri wa mademu wa uswahilini wanajua mambo, wanajituma hadi unaweza kimbia show
Ohooooo!!!!Uzuri wa hao huwa beki hazikabi hela yako tu....
Uzuri wa mademu wa uswahilini wanajua mambo, wanajituma hadi unaweza kimbia show
Ukimwi bado upoKweli kabisa mademu wa uswahilini wanajua sana yale mambo yetu. Mabaharia tunawaita "kuku wa kienyeji " ni watamu sana [emoji39]
Ukimwi bado upo
πππUkimwi unasababishwa na sisi kuvamia kama twakomoa. Ukilainisha ile kitu na ukatumia ndomu na usiikomoe hauwezi pata ukimwi
tena hasa , wauza miili hawapotezi muda kwenye vigodoro ambako wanaume walioko hawana kitu
Nawahurumiaga sana watoto wa uswahilini. Wanaishi katika ulimwengu mgumu sana na wa hovyo.
Maisha wanayatazama kwenye scope ndogo mno, ile inayowazunguka!