Vigodoro ndio chanzo kikuu cha maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI uswahilini

wanaojiuza ni wengine na wacheza vigodoro ni wengine
Uko sahihi kwa kiasi fulani.

Hawa wa vigodoro market yao ni waume za watu na vijana wajanja wajanja wa mitaani!

Wale wanaojiuza barabarani wanapita na yeyote anayelipia huduma kwa bei tajwa.
 
Kyela na Makete hakuna vigodoro lakini ni kati ya wilaya zilizotamalaki kwa Ukimwi, tunashukuru kwa kutukumbusha
 
Kyela na Makete hakuna vigodoro lakini ni kati ya wilaya zilizotamalaki kwa Ukimwi, tunashukuru kwa kutukumbusha
Kyela ni hatari nadhani kuliko Makete , hakuna Vigodoro lakini kuna miparano na ifilingo
 
Kwani vigodoro vinafanyikia ufichoni?

Kwenye kadamnasi waweza kufanyaje hayo maambukizi?

Ama unazungumzia sanaa ya mauno 'inavoita'?

Sasa mauno ya show, yanahusiana vipi na ngono uzembe, hauelewi hayo ni mazoezi kwa ajili ya afya za wachezaji na watazamaji?

Kuna mawili: mambo ya temptetion yalivyo, yawezakuwa, mleta mada anatamani hivyo viuono feni, lakini hana jinsi kutokana na mazingira yake hayamruhusu, ama alijaribu yeye mwenyewe kuingia ngomani acheze vikamshinda.

Haiwezekani tamaduni za watu tuje tuanze kuzisasambua Jf.

Maana waAfrika tulivyo wanafiki, tunapenda sana kulaani vitu vinavyotutamanisha na kuvifanya, tunalaani ili wengine 'wasijanjaruke' ama tuna laani vitu au mambo tuliyojaribu yakatushinda period
 
ni dhahiri hujawahi kushiriki vigodoro
 
Ukimwi unasababishwa na sisi kuvamia kama twakomoa. Ukilainisha ile kitu na ukatumia ndomu na usiikomoe hauwezi pata ukimwi


Mmnh?!

Wanasema sumu haipimwi kwa kuonja!

Na kwamba na cha maji hakipimwi kwa mguu
Ni hatari vibaya waweza zama mazima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…