Uko sahihi kwa kiasi fulani.wanaojiuza ni wengine na wacheza vigodoro ni wengine
Kabisa [emoji16][emoji16][emoji16]Na wao wanakuja kuwa hivyo hivyi na wanaongoza kuzaa umri mdogo.
Usiombe wakusute utahama mtaa
ππππNa wao wanakuja kuwa hivyo hivyi na wanaongoza kuzaa umri mdogo.
Usiombe wakusute utahama mtaa
Kyela na Makete hakuna vigodoro lakini ni kati ya wilaya zilizotamalaki kwa Ukimwi, tunashukuru kwa kutukumbushaView attachment 1278527
Ugumu wa maisha umefanya familia nyingi za uswahilini kushindwa kuelekeza maadili mema kwa watoto wao, watoto wanaishi kama watoto wa kuku aliyeanza kutetea, hili ni jambo linalofichwa, halielezwi wazi wazi.
View attachment 1278556
Tukitaka kuadhimisha siku ya Ukimwi ni lazima tuanzie ngazi ya chini kabisa, ni lazima tuhakikishe mila za kama hizi za vigodoro zizimwe kabisa, bila hivi Ukimwi hauwezi kukoma.
Kyela ni hatari nadhani kuliko Makete , hakuna Vigodoro lakini kuna miparano na ifilingoKyela na Makete hakuna vigodoro lakini ni kati ya wilaya zilizotamalaki kwa Ukimwi, tunashukuru kwa kutukumbusha
Kwani vigodoro vinafanyikia ufichoni?View attachment 1278527
Ugumu wa maisha umefanya familia nyingi za uswahilini kushindwa kuelekeza maadili mema kwa watoto wao, watoto wanaishi kama watoto wa kuku aliyeanza kutetea, hili ni jambo linalofichwa, halielezwi wazi wazi.
View attachment 1278556
Tukitaka kuadhimisha siku ya Ukimwi ni lazima tuanzie ngazi ya chini kabisa, ni lazima tuhakikishe mila za kishenzi kama hizi za vigodoro zizimwe kabisa, bila hivi Ukimwi hauwezi kukoma.
Utakimbiaje jambo ulilolitaka?Uzuri wa hao huwa beki hazikabi hela yako tu....
Uzuri wa mademu wa uswahilini wanajua mambo, wanajituma hadi unaweza kimbia show
ni dhahiri hujawahi kushiriki vigodoroKwani vigodoro vinafanyikia ufichoni?
Kwenye kadamnasi waweza kufanyaje hayo maambukizi?
Ama unazungumzia sanaa ya mauno 'inavoita'?
Sasa mauno ya show, yanahusiana vipi na ngono uzembe, hauelewi hayo ni mazoezi kwa ajili ya afya za wachezaji na watazamaji?
Kuna mawili: mambo ya temptetion yalivyo, yawezakuwa, mleta mada anatamani hivyo viuono feni, lakini hana jinsi kutokana na mazingira yake hayamruhusu, ama alijaribu yeye mwenyewe kuingia ngomani acheze vikamshinda.
Haiwezekani tamaduni za watu tuje tuanze kuzisasambua Jf.
Maana waAfrika tulivyo wanafiki, tunapenda sana kulaani vitu vinavyotutamanisha na kuvifanya, tunalaani ili wengine 'wasijanjaruke' ama tuna laani vitu au mambo tuliyojaribu yakatushinda period
Ukimwi unasababishwa na sisi kuvamia kama twakomoa. Ukilainisha ile kitu na ukatumia ndomu na usiikomoe hauwezi pata ukimwi