VIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma