Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kigogo" anayetakiwa kufurushwa huko Ikulu ni mmoja tu; hao wengine ni uonevu unaofanyika.VIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza je Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa je naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa? Tatu Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari je naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Hakuna lolote ni kuwa huyu mama hajui anachokifanya, WANAWAKE WAIPEWE MADARAKA MAKUBWA, AMEWAANGUSHA WANAWAKE SANAVIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Nimecheka kifalaYule msaga sumu kupelekwa kuwa DC wilayani kwetu tunamuangalia akileta za kuleta tunamshusha mshipa awe na mizigo miwili juu kibiyongo chini mshipa.
Na ntaiomba hiyo nafasiIvi Mshauri wa rais Vijana yupo? Kama hayupo itangazwe hiyo fursa naona inahitaji mtu..... watu
Usimdharau jamaa yuko ft martial arts anapiga ngumi za hatarii huyooo. Hadi anayo blackbelt.Yule msaga sumu kupelekwa kuwa DC wilayani kwetu tunamuangalia akileta za kuleta tunamshusha mshipa awe na mizigo miwili juu kibiyongo chini mshipa.
Hakuna hata mmoja aliyefukuzwaVIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Apone wapi!!! 🤣 🤣 🤣 🤣Yule aliyepiga picha ya Watanzania 29 wanajadiliana na Wakorea 4 tu kapona?
Hakuna kucheka na nyani!
Kumbuka tu, vetting za Ikulu ni endelevu.VIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Mshauri wa raisi rasilimali amebaki salamaVIGOGO watatu ambao ni watu wa Karibu sana na Rais Samia wote wamefurushwa Ikulu siku ya jana ambao ni Mshauri wa Rais Sheria, Mshauri wa Rais Siasa na Mshauri wa Rais Habari na Mawasiliano.
Uamuzi huu mgumu huenda kuna jambo kubwa tusilolijua hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa 2025, lakini maswali ya kiujiuza ni:
Je, Huyu Mshauri wa Rais Sheria aliweza kutekeleza vizuri majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya kisheria?
Mshauri wa Rais Siasa - je, naye katika kipindi chote alichokuwa Ikulu aliweza kutekeleza majukumu yake ya kumshauri Rais kwenye mambo ya siasa?
Tatu, Mshauri ya Rais Mawasiliano na Habari - je, naye aliweza kumshauri vizuri Rais kwenye eneo la mawasiliano na habari?
Pia soma
Hapana..ni kwamba alipotumbua watu ilionekana anawaonea hadi nilidhania mama hatotumbua mtu...kumbe Marais wote Wana madaraka yaleyaleUnamtetea hata alivyokua kaburini...MMM bana? Hujachoka