Tetesi: Vigogo 7 wakubwa kutoka CCM kujiunga na Upinzani kufikia Januari 2019

Tetesi: Vigogo 7 wakubwa kutoka CCM kujiunga na Upinzani kufikia Januari 2019

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Kuna taarifa zisizo rasmi ambazo baadaye nahisi zitathibishwa na wahusika nimezinyaka kutoka pande za upinzani kwmba kuna maandalizi ya siri kuwapokulea vigogo 7 kutoka Chama utawala ambapo 4 ni wastaafu wa nyadhifa mbali mbali serikali na chama, 3 in viongozi hivi sasa kwenye taasisi za UVCCM na Jumuiya ya Wazee. Kufikia Januari mapokezi hayo yatakua yamekamilika.

Mnyetishaji wa hii stori anadai hawa viongozi wanaojipanga kuhamia upinzani kufikia Januari wanachofanya hivi sasa wanazungumza na kushauri namna ya upinzani kuunganisha nguvu na kua kitu kimoja kabla ya chaguzi za serikali za mitaa 2019 ambapo ndio utakua muda mzuri wa kuwaandaa wananchi kuwapigia kura 2020.

Hawa makada ni nguli wa siasa za fitina ndani ya CCM wanajipanga kuwashawishi wapinzani namna ya kusimama pamoja kukabiliana na adui yao 2020.

Hizi ni tetesi tu, tusubiri kutimia kwake. Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja.
Namwachia kazi ndugu Cyprian Musiba.
 
9D965014-8D13-45E2-A4C7-A85B111A1949.jpeg
 
Kuna taarifa zisizo rasmi ambazo baadaye nahisi zitathibishwa na wahusika nimezinyaka kutoka pande za upinzani kwmba kuna maandalizi ya siri kuwapokulea vigogo 7 kutoka Chama utawala ambapo 4 ni wastaafu wa nyadhifa mbali mbali serikali na chama, 3 in viongozi hivi sasa kwenye taasisi za UVCCM na Jumuiya ya Wazee. Kufikia Januari mapokezi hayo yatakua yamekamilika.

Mnyetishaji wa hii stori anadai hawa viongozi wanaojipanga kuhamia upinzani kufikia
Januari wanachofanya hivi sasa wanazungumza na kushauri namna ya upinzani kuunganisha nguvu na kua kitu kimoja kabla ya chaguzi za serikali za mitaa 2019 ambapo ndio utakua muda mzuri wa kuwaandaa wananchi kuwapigia kura 2020. Hawa makada ni nguli wa siasa za fitina ndani ya CCM wanajipanga kuwashawishi wapinzani namna ya kusimama pamoja kukabiliana na adui yao 2020.

Hizi ni tetesi tu, tusubiri kutimia kwake. Lisemwalo lipo na kama halipo linakuja.
Namwachia kazi ndugu Cyprian Musiba.
Na mimi nimesikia tetesi Lisu amefanya majadiliano na Prof. Lipumba kwa siri kubwa ili ajitose CUF kabla ya februari mwakani. Hizi ni tetesi tu, bado nazifuatilia kwa ukaribu.
 
Dah...Tena alihama na mwizi mkuu wa kura ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waende tu watakuwa hawana jipya kama Lowassa na Mrema!
Duh?
Kama alihama Lowasa na bado CCM ikashinda sijui kama kuna kigogo mwingine wa saizi ya Edo aliyeko CCM kwa sasa!
Waliobaki wote ni wa kawaida sana!
Mnachekesha sana ... hahahha...lowasa aliwatoa jasho mkaiba na kura ..Leo Membe anawachachafya had sasa humo ndani mnajamba jamba ovyo na mnatafuta wajambaji kumbe ni nyie wenyewe
 
Duh?
Kama alihama Lowasa na bado CCM ikashinda sijui kama kuna kigogo mwingine wa saizi ya Edo aliyeko CCM kwa sasa!
Waliobaki wote ni wa kawaida sana!
Ushindi wa namna gani?
Kama ulikua ni halali woga uliopo Leo usingekuwepo!

Kubalini Demokrasia ya kweli tujenge nchi kama Taifa tuachane na huu ubabaishaji uliopo !!
Kwa sasa nguvu kubwa inatumika kwenye mambo madogo sana.

Watanzania wanaanza kuonana maadui.
Watu waliopigania vyama kwa nusu karne Leo wanaitwa waasi na watu ambao hawajawahi hata kuipenda CCM zaidi .

Tujenge vyama viwili vyenye nguvu vishindane kwa hoja ya kuwaletea wananchi maisha mazuri zaidi ya sasa ambapo CCM ina miaka 50 lakini bado kinatumia nguvu kubwa na dhulma kujijenga badala ya kijenga nchi.
 
Na mimi nimesikia tetesi Lisu amefanya majadiliano na Prof. Lipumba kwa siri kubwa ili ajitose CUF kabla ya februari mwakani. Hizi ni tetesi tu, bado nazifuatilia kwa ukaribu.
Daktari wako ameshauri ukapumzike kwanza na upate usingizi wa kitosha.
 
Back
Top Bottom