Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa “kutafuna “mil 140 ,wadaiwa kuigeuza halmashuri shamba la Bibi.

Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa “kutafuna “mil 140 ,wadaiwa kuigeuza halmashuri shamba la Bibi.

waziri2020

Senior Member
Joined
May 31, 2019
Posts
197
Reaction score
468
Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa kuchota milioni 140 fedha za makusanyo ya ndani.

*Wadaiwa kuigeuza halmashauri “shamba la bibi “

*Yumo mwanasheria,mhasibu,mkaguzi wa fedha za ndani pamoja na mtaalamu wa mfumo wa mashine za kukusanya mapato .

Na,Mwandishi Maalumu

SIRI mbalimbali za matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi zinazoiandama halmashauri ya Siha mkoani Kilimanjaro zimezidi kuwekwa hadharani ambapo aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Ndaki Muhuli ametajwa kuchota zaidi ya kiasi cha sh,140 million.

Ndaki ambaye alihamishwa na kupelekwa halmashauri ya Kakonko mkoani Kigoma katika mabadaliko yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kuchota fedha hizo kati ya mwezi Agosti mwaka jana fedha ambazo zimetajwa zilikuwa ni za makusanyo ya ndani.

Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa muda mfupi baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Valerian Juwal pamoja na aliyekuwa mweka hazina,Frank Maleto aliletwa Ndaki ambapo alianza kusuka mipango ya ulaji wa fedha hizo kwa kushirikiana na aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo,Onesmo Buswelu aliyehamishiwa wilaya mpya ya Tanganyika .

Vyanzo vya uhakika vimeeleza kwamba Ndaki aliandaa mikataba mbalimbali kwa wakusanya mapato wanaotumia mfumo wa POSS ambapo inaelezwa fedha zote za mapato zilizokuwa zikikusanywa zilikabidhiwa kwa Mhasibu aliyetambulika kwa jina moja la Mudi.

“Ndaki alimpanga mhasibu aitwae Mudi kusimamia mapato na akaandaa mikataba kwa wakusanya mapato wamkabidhi yeye fedha zote taslimu badala ya kuzipeleka benki “kilisema chanzo cha habari

Taarifa hizo zilienda mbali zaidi na kueleza kuwa cha ajabu hata mikataba iliyoandaliwa kwa wakusanya mapato haikuwahi kuwasilishwa kwa wakuu wa idara (CMT) wala mbele ya kamati ya fedha bali iliandaliwa na mwanasheria aliyetajwa kwa jina moja la SASSI.

“Fedha nyingi zilichotwa ndani ya mwezi Agosti mwaka jana na hata kabla ya Ndaki kuhamishiwa Kakonko alikomba hela nyingi tu alafu akawaelekeza wakusanya mapato waripoti kwamba mashine ni mbovu “kilifafanua chanzo cha habari

Taarifa za ndani zinadai tayari mhasibu (Mudi)amekiri baada ya kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya uchunguzi kuwa Ndaki alichota fedha hizo kwa kushirikiana na katibu tawala (Mabiti) sanjari na Buswelu ambapo amefichua kuwa fedha nyingi ilipelekwa kuwekezwa kwenye kilimo cha ngano na shamba la miti la West Kilimanjaro.

Baadhi waliotajwa kushiriki kunufaika na uchotaji huo wa fedha ni pamoja na mtaalamu wa mifumo ya mashine za mapato aitwae JOEL sanjari na aliyekuwa kaimu mkaguzi wa ndani wa halmashauri hiyo ,Frank Mbaga.

“ndugu mwandishi hawa watu watatu Buswelu,Ndaki na Mabiti waliunda utatu mtakatifu kwa kuwa wote wanatokea sehemu moja hivyo walikuwa wakijichotea wanavyotaka na kiufupi waliigeuza hii halmashauri kama shamba la bibi “kilisema chanzo cha habari

Baadhi ya watuhumiwa katika kashfa hiyo wametafutwa kwa nyakati tofauti ili kujibu tuhuma hizo lakini hawajawa tayari kujibu lolote juhudi za
kundelea kuwatafuta bado zinaendelea.

Itaendelea..........


Pichani chini ni viongozi waliodaiwa kuunda utatu mtakatifu halmashauri ya Siha,wa kwanza ni aliyekuwa mkurugenzi (Ndaki Muhuli),aliiyekuwa Mkuu wa wilaya (Onesmo Buswelu) pamoja na katibu tawala (Joseph Mabiiti)

B280A3CA-6445-4579-865A-C3DB2A6AABF1.jpeg


321C6B25-3000-47F4-8603-258D9F451706.jpeg


B04CEE00-3CBA-49E9-9839-E374BE7608D5.jpeg
 
Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa kuchota milioni 140 fedha za makusanyo ya ndani.

*Wadaiwa kuigeuza halmashauri “shamba la bibi “

*Yumo mwanasheria,mhasibu,mkaguzi wa fedha za ndani pamoja na mtaalamu wa mfumo wa mashine za kukusanya mapato .

Na,Mwandishi Maalumu

SIRI mbalimbali za matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi zinazoiandama halmashauri ya Siha mkoani Kilimanjaro zimezidi kuwekwa hadharani ambapo aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Ndaki Muhuli ametajwa kuchota zaidi ya kiasi cha sh,140 million.

Ndaki ambaye alihamishwa na kupelekwa halmashauri ya Kakonko mkoani Kigoma katika mabadaliko yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kuchota fedha hizo kati ya mwezi Agosti mwaka jana fedha ambazo zimetajwa zilikuwa ni za makusanyo ya ndani.

Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa muda mfupi baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Valerian Juwal pamoja na aliyekuwa mweka hazina,Frank Maleto aliletwa Ndaki ambapo alianza kusuka mipango ya ulaji wa fedha hizo kwa kushirikiana na aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo,Onesmo Buswelu aliyehamishiwa wilaya mpya ya Tanganyika .

Vyanzo vya uhakika vimeeleza kwamba Ndaki aliandaa mikataba mbalimbali kwa wakusanya mapato wanaotumia mfumo wa POSS ambapo inaelezwa fedha zote za mapato zilizokuwa zikikusanywa zilikabidhiwa kwa Mhasibu aliyetambulika kwa jina moja la Mudi.

“Ndaki alimpanga mhasibu aitwae Mudi kusimamia mapato na akaandaa mikataba kwa wakusanya mapato wamkabidhi yeye fedha zote taslimu badala ya kuzipeleka benki “kilisema chanzo cha habari

Taarifa hizo zilienda mbali zaidi na kueleza kuwa cha ajabu hata mikataba iliyoandaliwa kwa wakusanya mapato haikuwahi kuwasilishwa kwa wakuu wa idara (CMT) wala mbele ya kamati ya fedha bali iliandaliwa na mwanasheria aliyetajwa kwa jina moja la SASSI.

“Fedha nyingi zilichotwa ndani ya mwezi Agosti mwaka jana na hata kabla ya Ndaki kuhamishiwa Kakonko alikomba hela nyingi tu alafu akawaelekeza wakusanya mapato waripoti kwamba mashine ni mbovu “kilifafanua chanzo cha habari

Taarifa za ndani zinadai tayari mhasibu (Mudi)amekiri baada ya kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya uchunguzi kuwa Ndaki alichota fedha hizo kwa kushirikiana na katibu tawala (Mabiti) sanjari na Buswelu ambapo amefichua kuwa fedha nyingi ilipelekwa kuwekezwa kwenye kilimo cha ngano na shamba la miti la West Kilimanjaro.

Baadhi waliotajwa kushiriki kunufaika na uchotaji huo wa fedha ni pamoja na mtaalamu wa mifumo ya mashine za mapato aitwae JOEL sanjari na aliyekuwa kaimu mkaguzi wa ndani wa halmashauri hiyo ,Frank Mbaga.

“ndugu mwandishi hawa watu watatu Buswelu,Ndaki na Mabiti waliunda utatu mtakatifu kwa kuwa wote wanatokea sehemu moja hivyo walikuwa wakijichotea wanavyotaka na kiufupi waliigeuza hii halmashauri kama shamba la bibi “kilisema chanzo cha habari

Baadhi ya watuhumiwa katika kashfa hiyo wametafutwa kwa nyakati tofauti ili kujibu tuhuma hizo lakini hawajawa tayari kujibu lolote juhudi za
kundelea kuwatafuta bado zinaendelea.

Itaendelea..........


Pichani chini ni viongozi waliodaiwa kuunda utatu mtakatifu halmashauri ya Siha,wa kwanza ni aliyekuwa mkurugenzi (Ndaki Muhuli),aliiyekuwa Mkuu wa wilaya (Onesmo Buswelu) pamoja na katibu tawala (Joseph Mabiiti)

View attachment 2054210

View attachment 2054211

View attachment 2054212
Hawa jamaa wote ni Wasukuma. Ni kama vile walipelekwa Siha kuikomo ile Wilaya
 
Mwandishi kashindwa kueleza kiundani hizo milioni 140 zimetoka wapi? Yaani hiyo jumla kaipataje?

Hizo POS huwa zinazingua kama ilivyo mifumo mingine ya kompyuta. Sasa kusema tu kwamba walisingizia mashine mbovu wakati uhalisia ni kwamba kuna wakati POS huzingua, siyo sawa.

Halafu haingii akilini kusema hela zimepigwa bila kutaja na kueleza kwa kina zimepigwa katika chanzo kipi maana Halmashauri huwa na vyanzo vingi na kila chanzo kina makisio/ lengo la makusanyo kwa siku, mwezi, na mwaka.

Sasa hiyo milioni 140 ilikuwa makusanyo ya wapi na siku ngapi? Na wakusanya ushuru ni wangapi? Na yupi pesa yake ilichotwa na kivipi? Kazi ya IT ilikuwaje na alihisikaje?

Halafu ni kawaida sana wakusanya ushuru kusainishwa mikataba, na pia ni kawaida sana kwa wakusanya ushuru kukusanya mapato na kuyakabidhi kwa mhasibu na kisha mhasibu kuzipeleka benki. Sijaona kosa hapo japo Halmashauri nyingine wakusanya ushuru hupeleka pesa benki moja kwa moja.

Hii habari imekaa kiumbea umbea sana
 
Mwandishi kashindwa kueleza kiundani hizo milioni 140 zimetoka wapi? Yaani hiyo jumla kaipataje?

Hizo POS huwa zinazingua kama ilivyo mifumo mingine ya kompyuta. Sasa kusema tu kwamba walisingizia mashine mbovu wakati uhalisia ni kwamba kuna wakati POS huzingua, siyo sawa.

Halafu haingii akilini kusema hela zimepigwa bila kutaja na kueleza kwa kina zimepigwa katika chanzo kipi maana Halmashauri huwa na vyanzo vingi na kila chanzo kina makisio/ lengo la makusanyo kwa siku, mwezi, na mwaka.

Sasa hiyo milioni 140 ilikuwa makusanyo ya wapi na siku ngapi? Na wakusanya ushuru ni wangapi? Na yupi pesa yake ilichotwa na kivipi? Kazi ya IT ipikuwaje na alihisikaje?

Halafu ni kawaida sana wakusanya ushuru kusainishwa mikataba, na pia ni kawaida sana kwa wakusanya ushuru kukusanya mapato na kuyakabidhi kwa mhasibu na kisha mhasibu kuzipeleka benki. Sijaona kosa hapo japo Halmashauri nyingine wakusanya ushuru hupeleka pesa benki moja kwa moja.

Hii habari imekaa kiumbea umbea sana
Nadhani vyombo vya uchunguzi vitatupa picha kamili baada ya uchunguzi lisemwalo lipo na kama halipo linakuja endelea kutetea wezi na mafisadi tunakujua wewe Haikande
 
Huku alitakiwa apelekwe Ole Lengai Sabaya akaitumikie Halmashauri ya Wilaya ya Siha😆
 
Mwandishi kashindwa kueleza kiundani hizo milioni 140 zimetoka wapi? Yaani hiyo jumla kaipataje?

Hizo POS huwa zinazingua kama ilivyo mifumo mingine ya kompyuta. Sasa kusema tu kwamba walisingizia mashine mbovu wakati uhalisia ni kwamba kuna wakati POS huzingua, siyo sawa.

Halafu haingii akilini kusema hela zimepigwa bila kutaja na kueleza kwa kina zimepigwa katika chanzo kipi maana Halmashauri huwa na vyanzo vingi na kila chanzo kina makisio/ lengo la makusanyo kwa siku, mwezi, na mwaka.

Sasa hiyo milioni 140 ilikuwa makusanyo ya wapi na siku ngapi? Na wakusanya ushuru ni wangapi? Na yupi pesa yake ilichotwa na kivipi? Kazi ya IT ipikuwaje na alihisikaje?

Halafu ni kawaida sana wakusanya ushuru kusainishwa mikataba, na pia ni kawaida sana kwa wakusanya ushuru kukusanya mapato na kuyakabidhi kwa mhasibu na kisha mhasibu kuzipeleka benki. Sijaona kosa hapo japo Halmashauri nyingine wakusanya ushuru hupeleka pesa benki moja kwa moja.

Hii habari imekaa kiumbea umbea sana
Naongea na Buswelu au mabiti? Au wewe ndiye ndaki mwenyewe? Mwizi mkubwa wewe!! Hawa wasukuma waliojichimbia kipindi cha magu hawakuwa na nia njema hata kidogo,kote ni kupora tu!!
 
Naongea na Buswelu au mabiti? Au wewe ndiye ndaki mwenyewe? Mwizi mkubwa wewe!! Hawa wasukuma waliojichimbia kipindi cha magu hawakuwa na nia njema hata kidogo,kote ni kupora tu!!
Ni hivi, unapoandika habari uwe makini basi. Maana hata, mfano, mimi ninaweza nikasema umehongwa Ili kuwachafua watu!

Sasa hiyo haitoshi, lazima nieleze kwa kina na nikuhoji.

Embu elezea hizo hela zimepigwa kwenye vyanzo gani na ni kwa njia gani mpaka zikaingia mikononi mwa watu kama unavyodai.

Ukishindwa hapo ujue andiko lakoni uzushi tu
 
Sasa kama baba yao aliweza kukwapua zaidi ya 1.5 T unategemea watoto watajifunza nini.

Kama wao wakisikia wakubwa zao wanajichotea huko juu unafikiri wao wataziacha.

Serikali iboreshe pocho za wafanyakazi na mazingira ya kazi. Tupunguze kazi za ku uwana siasa kwenye taasisi za serikali.
 
Naongea na Buswelu au mabiti? Au wewe ndiye ndaki mwenyewe? Mwizi mkubwa wewe!! Hawa wasukuma waliojichimbia kipindi cha magu hawakuwa na nia njema hata kidogo,kote ni kupora tu!!
Ww kima kweli ushahidi huna!!?
bandiko linasema upigwaji (tuhuma)ulianza mwezi wa nane hiyo ni zaidi ya miezi 5 toka magu afe....
inaonekana una chuki na wasukuma!!
itakuwa walikupiga na kitu kizito chenye ncha kali kwa nyuma
 
Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa kuchota milioni 140 fedha za makusanyo ya ndani.

*Wadaiwa kuigeuza halmashauri “shamba la bibi “

*Yumo mwanasheria,mhasibu,mkaguzi wa fedha za ndani pamoja na mtaalamu wa mfumo wa mashine za kukusanya mapato .

Na,Mwandishi Maalumu

SIRI mbalimbali za matumizi mabaya ya madaraka na ufisadi zinazoiandama halmashauri ya Siha mkoani Kilimanjaro zimezidi kuwekwa hadharani ambapo aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Ndaki Muhuli ametajwa kuchota zaidi ya kiasi cha sh,140 million.

Ndaki ambaye alihamishwa na kupelekwa halmashauri ya Kakonko mkoani Kigoma katika mabadaliko yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kuchota fedha hizo kati ya mwezi Agosti mwaka jana fedha ambazo zimetajwa zilikuwa ni za makusanyo ya ndani.

Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa muda mfupi baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Valerian Juwal pamoja na aliyekuwa mweka hazina,Frank Maleto aliletwa Ndaki ambapo alianza kusuka mipango ya ulaji wa fedha hizo kwa kushirikiana na aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo,Onesmo Buswelu aliyehamishiwa wilaya mpya ya Tanganyika .

Vyanzo vya uhakika vimeeleza kwamba Ndaki aliandaa mikataba mbalimbali kwa wakusanya mapato wanaotumia mfumo wa POSS ambapo inaelezwa fedha zote za mapato zilizokuwa zikikusanywa zilikabidhiwa kwa Mhasibu aliyetambulika kwa jina moja la Mudi.

“Ndaki alimpanga mhasibu aitwae Mudi kusimamia mapato na akaandaa mikataba kwa wakusanya mapato wamkabidhi yeye fedha zote taslimu badala ya kuzipeleka benki “kilisema chanzo cha habari

Taarifa hizo zilienda mbali zaidi na kueleza kuwa cha ajabu hata mikataba iliyoandaliwa kwa wakusanya mapato haikuwahi kuwasilishwa kwa wakuu wa idara (CMT) wala mbele ya kamati ya fedha bali iliandaliwa na mwanasheria aliyetajwa kwa jina moja la SASSI.

“Fedha nyingi zilichotwa ndani ya mwezi Agosti mwaka jana na hata kabla ya Ndaki kuhamishiwa Kakonko alikomba hela nyingi tu alafu akawaelekeza wakusanya mapato waripoti kwamba mashine ni mbovu “kilifafanua chanzo cha habari

Taarifa za ndani zinadai tayari mhasibu (Mudi)amekiri baada ya kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya uchunguzi kuwa Ndaki alichota fedha hizo kwa kushirikiana na katibu tawala (Mabiti) sanjari na Buswelu ambapo amefichua kuwa fedha nyingi ilipelekwa kuwekezwa kwenye kilimo cha ngano na shamba la miti la West Kilimanjaro.

Baadhi waliotajwa kushiriki kunufaika na uchotaji huo wa fedha ni pamoja na mtaalamu wa mifumo ya mashine za mapato aitwae JOEL sanjari na aliyekuwa kaimu mkaguzi wa ndani wa halmashauri hiyo ,Frank Mbaga.

“ndugu mwandishi hawa watu watatu Buswelu,Ndaki na Mabiti waliunda utatu mtakatifu kwa kuwa wote wanatokea sehemu moja hivyo walikuwa wakijichotea wanavyotaka na kiufupi waliigeuza hii halmashauri kama shamba la bibi “kilisema chanzo cha habari

Baadhi ya watuhumiwa katika kashfa hiyo wametafutwa kwa nyakati tofauti ili kujibu tuhuma hizo lakini hawajawa tayari kujibu lolote juhudi za
kundelea kuwatafuta bado zinaendelea.

Itaendelea..........


Pichani chini ni viongozi waliodaiwa kuunda utatu mtakatifu halmashauri ya Siha,wa kwanza ni aliyekuwa mkurugenzi (Ndaki Muhuli),aliiyekuwa Mkuu wa wilaya (Onesmo Buswelu) pamoja na katibu tawala (Joseph Mabiiti)

View attachment 2054210

View attachment 2054211

View attachment 2054212

8D0D3414-F076-408F-BD07-B1233A494237.png
 
Ni hivi, unapoandika habari uwe makini basi. Maana hata, mfano, mimi ninaweza nikasema umehongwa Ili kuwachafua watu!

Sasa hiyo haitoshi, lazima nieleze kwa kina na nikuhoji.

Embu elezea hizo hela zimepigwa kwenye vyanzo gani na ni kwa njia gani mpaka zikaingia mikononi mwa watu kama unavyodai.

Ukishindwa hapo ujue andiko lakoni uzushi tuTaarifa leza
Ni hivi, unapoandika habari uwe makini basi. Maana hata, mfano, mimi ninaweza nikasema umehongwa Ili kuwachafua watu!

Sasa hiyo haitoshi, lazima nieleze kwa kina na nikuhoji.

Embu elezea hizo hela zimepigwa kwenye vyanzo gani na ni kwa njia gani mpaka zikaingia mikononi mwa watu kama p

Ukishindwa hapo ujue andiko lakoni uzushi tulplpp
taarifa iko wazi inaeleza ni fedha za makusanyo ya ndani baptize ploppep
Ni hivi, unapoandika habari uwe makini basi. Maana hata, mfano, mimi ninaweza nikasema umehongwa Ili kuwachafua watu!

Sasa hiyo haitoshi, lazima nieleze kwa kina na nikuhoji.

Embu elezea hizo hela zimepigwa kwenye vyanzo gani na ni kwa njia gani mpaka zikaingia mikononi mwa watu kama unavyodai.

Ukishindwa hapo ujue andiko lakoni uzushi tu

Taarifa inaeleza ni fedha za makusanyo ya ndani zilichotwa mwezi Agosti mwaka jana na badala ya kupelekwa benki Ded Ndaki aliomba kupewa cash unachotaka ni kipi?hii inatosha kabisa Takukuru kufuatilia na kubaini ukweli lakini usijaribu kutaka kujificha kwenye kichaka cha mafisadi turuhusu vyombo vifanye kazi yake tofauti na hapo utakuwa unatetea wezi na mafisadi period
 
Hawa jamaa wote ni Wasukuma. Ni kama vile walipelekwa Siha kuikomo ile Wilaya
Baadhi ya watu kutoka hiyo kanda ambao walilewa madaraka walikula sana shushu
Mtu anafanya uvundo kwakutegemea kwamba aliyemuweka niwakwao.
 
Nashukuru Mungu Sijaona Mchaga hata mmoja lakini utasikia kuna matackle matacle wanaosema sijui Wachaga ni Wezi sijui wapigaji na wakati wote nawaona ni watu wa Kanda nyonyo waliowekwa na Mtakatifu Mwendazake

By the way niko hapa njia panda nmetokea Daslam na Familia napata KITIMOTO na Masanga nikazikusanye Tena hizi ngonjera za Kibaguzi Tupa Kule
 
Back
Top Bottom