Vigogo halmashauri ya Siha wadaiwa “kutafuna “mil 140 ,wadaiwa kuigeuza halmashuri shamba la Bibi.

Chamecha meku
 
Wewe ni mke wa mmoja wao hao wezi?
 
Sukuma gang again
 
Mwendazake aliipanga safu ya wasukuma kila sehemu...hivi mnadhani kwa ukabila aliokuwa nao mwendazake wale wahanga wa ajira msiokuwa wasukuma mnahisi mungetoboa??,,...sidhani ngoma ya suma lee😁😁
 
waziri2020 unawaitaje wenzako mafisadi huku unasema tuache vyombo vya Usalama vifanye kazi? Unajua kabisa usemacho hakina ukweli siyo?

Acheni kuwachafua maafisa wa Serikali kwa ghiliba.
 
Wape salamu hapo kwa mromboo.....
 

Umekaa upande gani hapa njia panda😅😅
 
Yawezekana nawe pia ni mnufaika
 
TUKISEMA TUWE NA KATIBA MPYA YENYE KANUNI MPYA ZA UTUMISHI WA UMMA, KUSHUGHULIKA NA WAHUJUMU UCHUMI, NK.
UNAONA TATIZO NI GAIDI MBOWE NA CHADEMA SIO?
 
Mwendazake aliipanga safu ya wasukuma kila sehemu...hivi mnadhani kwa ukabila aliokuwa nao mwendazake wale wahanga wa ajira msiokuwa wasukuma mnahisi mungetoboa??,,...sidhani ngoma ya suma lee[emoji16][emoji16]
INGETOKA HAKUNAGA AJIRA REMIX SUMA FT SUKUMA GANG [emoji23][emoji23][emoji38] Ila Huyu Mungu Nyie
 
INGETOKA HAKUNAGA AJIRA REMIX SUMA FT SUKUMA GANG [emoji23][emoji23][emoji38] Ila Huyu Mungu Nyie
Wacha mungu aitwe fundi bro...mimi ndio maana kuna watu nikiwaangalia huwa na relax halafu naishia kucheka tu...suma jkt feat sukuma gang 😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…