Vigogo Somba SC Washikiliwa Polisi

Vigogo Somba SC Washikiliwa Polisi

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,120
Taarifa zilizopo hewani ni kuwa Aveva na wenzie wako mbaroni......

Stay tuned for more
 
Teh Teh Teh Teh Teh asee iyo timu hata mim ndo kwanza leo nasikia asee somba sc ya wap sijui au ipo kibaigwa
 
Taarifa zilizopo hewani ni kuwa Aveva na wenzie wako mbaroni......

Stay tuned for more
Duh, sasa comrade Aveva...sijui itakuwaje...Hii ni dalili mbaya kwa viongozi wa soka nchini...Naona utumbuaji umeanza...sasa wakienda huko TFF sijui mwavuli wa FIFA, utasaidia kweli??? sina hakika, maana hata huko FIFA nao walitumbuliwa...yaani hao akina Blatter...Ni afadhali utumbuaji ufike TFF, kwani uozo ulioko huko unatisha...rushwa kila kona ya soka...kuna watu wanajiita eti 'Watu wa Mpira'....hawana lolote rushwa tu na wizi wa gate collection...matokeo karibu yote yanapangwa....
 
Sasa naanza kuona mwanga kwanini Mo Dewji alikuwa ana wekewa zengwe, Watu walisha pakua mzigo(fedha za Okwi na Samata) wakajua mabadiliko yataleta makabidhiano ya ofisi na pengine ukaguzi wa akaunti ambazo kumbe tayari wanaume walisha ziswafi kiasi cha kukosa hata Fedha za usajili ika onekana ili kukwepa kuumbuka ni lazima kumzuia mwekezaji asiingie ila nina shaka lililo bainisha haya ni pale TRA walipo taka kodi yao kutokana na hayo mapato Dah!Hatari sana na hawa ndio wanao itwa Marafiki wa Simba.
 
Mkubwa si urekebishe maana mpaka sasa inasomeka SOMBA!!.

Sina uwezo huo. Waombe Mods kama unakereka bado. Muhimu umeelewa. Ina maana ukimwona mlemavu utamkejeli mungu poa? Kwani wewe hufanyi makosa japo madogo kama hilo?
 
Duh! Kweli maneno yanaumba matukio halisi

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom