chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.
Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.
Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.
Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.