Pre GE2025 Vigogo wa CHADEMA Arusha wasema tusishangae Lema akimfata Msigwa, wadai Lema hufanya vikao vya siri na Gambo, Makonda na Msigwa

Pre GE2025 Vigogo wa CHADEMA Arusha wasema tusishangae Lema akimfata Msigwa, wadai Lema hufanya vikao vya siri na Gambo, Makonda na Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
 
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
Migambo wanaruka na kukanyagana dah 🐒
 
Waache wakajipigie pesa huko kwa wajinga......vya mjinga

Hao watanzania wenyewe wakupambania wako wapi?

hata Lissu akitaka kujipigia hela za Abdul apige tu akapumzikw zake huko Kanada.
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
 
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
Mkuu kwenye siasa hilo ni jambo la kawaida sana.

Kama Lowasa na sumaye wa chama tawala CCM, tena waliwahi kuwa mawaziri wakuu, waliwahi kuhamia Chadema na maisha ya kisiasa yaliendelea kama kawaida ndani ya CCM sembuse Lema wa Chadema!

Tuambie Kuhama kwa misgwa kwenda CCM kumeadhiri vipi Chadema kisiasa???
 
Mkuu kwenye siasa hilo ni jambo la kawaida sana.

Kama Lowasa na sumaye wa chama tawala CCM, tena waliwahi kuwa mawaziri wakuu, waliwahi kuhamia Chadema na maisha ya kisiasa yaliendelea kama kawaida ndani ya CCM sembuse Lema wa Chadema!

Tuambie Kuhama kwa misgwa kwenda CCM kumeadhiri vipi Chadema kisiasa???
Ndio mkuu
 
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
Toaneni roho tuu kwani mnafaida gani Sasa
 
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
MAKONDA ANASEMA TANGIA MWAKA 2010 WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO NA SLAA NA MBOWE ILA WAKIMFICHA LISSU SASA LEMMA KUFANYA VIKAO NA MAKONDA NA GAMBO NI TATIZO?
 
Vigogo wa CHADEMA mkoa wa Arusha wamesema ni suala la muda tu Lema atamfuafa Msigwa.

Vigogo Hao wamesema kwamba Lema hufanya vikao vya siri na Makonda na Mrisho Gambo. Katika kujiandaa na hilo, Lemma alijiapiza hatagombea cheo chochote kanda ya kaskazini.

Wakati Msigwa akikitifua ndani ya chadema, mmoja wa watu walkomuunga mkono ni Lema na Lissu.
Tunadili na Lema mlalo mlalo.
Sako kwa Bako.
 
Mkuu kwenye siasa hilo ni jambo la kawaida sana.

Kama Lowasa na sumaye wa chama tawala CCM, tena waliwahi kuwa mawaziri wakuu, waliwahi kuhamia Chadema na maisha ya kisiasa yaliendelea kama kawaida ndani ya CCM sembuse Lema wa Chadema!

Tuambie Kuhama kwa misgwa kwenda CCM kumeadhiri vipi Chadema kisiasa???
Kuhamia Ccm katikati ya mtanziko wa kiuongozi Cdm, wasidhani kuna mtu wanamkomoa, wanajishushia sana hadhi zao kufanywa madodoki ya Ccm.

Mfano wa kuwalinganisha hawa viongozi vizabizabina ni kama mke wa ndoa anayerubuniwa na hawara, avunje mji wake ili akaolewe naye.

Akishakuvunja mji wake, haoleki tena, anabaki na hadhi ya mtumwa wa ngono maisha yake yote, ndiyo hao akina Msigwa na Lema sasa.

Lema naye alaghaike ili aongezwe kwenye orodha ya viongozi Cdm wanaowindwa kunyamazishwaa kwenye ulimwengu wa kisiasa, huko Ccm hakuna la maana atakalolipata.

Kama anajiona yeye ni hot cake wa kisiasa, si angesasajili chama chake sasa?

Ukiona mtu kila siku anadandia usafiri kwa watu, elewa hana uwezo wa kumiliki chombo cha usafiri.
 
Back
Top Bottom