Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nikajua wamenyofoa ubongo tu , kumbe hata macho yamenyofolewa ?Mbona siwaoni watu wazito hapo ? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
Ndio vyema Allah amjaliye wamitulinga na taasisi yake,wakimbizi nao ndani ya nyumba!Uzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa , ambako watu wengi maarufu na wenye Ushawishi wamealikwa .
Vigogo wa Chadema ni miongoni mwa watu wazito wa Nchi hii walioonekana Ukumbini humo
View attachment 2838983
Watapimwa na Mizani gani kujua ni Wazito?Mbona siwaoni watu wazito hapo ? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
Unaambiwa vigogo wa Chadema wameteka shoo , Lema kutema verse moja Jukwaani , Patamu hapo !Ndio vyema Allah amjaliye wamitulinga na taasisi yake,wakimbizi nao ndani ya nyumba!
Hilo ndio lilobaki siasa wamuachie zitto!Unaambiwa vigogo wa Chadema wameteka shoo , Lema kutema verse moja Jukwaani , Patamu hapo !
Nimeona twita (x) umesahau kuzima akaunti ukapost picha kwenye akaunti yako feki πππ. Vijana wanasema umepaisha penati.Uzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa , ambako watu wengi maarufu na wenye Ushawishi wamealikwa.
Vigogo wa Chadema ni miongoni mwa watu wazito wa Nchi hii walioonekana Ukumbini humo
View attachment 2838983
Zitto huyuhuyu ambaye chama chake kilimpisha Samia kwenye mazishi ya Hanang , yaani heshima inakuelekeza usishiriki msiba kwa vile wenye vyeo wapo ! ila wewe uende keshokutwa kuona makaburi !Hilo ndio lilobaki siasa wamuachie zitto!
Wewe mpaka uone wenye matumbo makubwa ndiyo unajua ni wazito?Mbona siwaoni watu wazito hapo? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
Wazito wako makwao hawana habari na tukio hiliMbona siwaoni watu wazito hapo? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
ππππWewe mpaka uone wenye matumbo makubwa ndiyo unajua ni wazito?
Mtu mzito ni yeyote ambaye mchango katika ustawi wa jamii unaonekana na kutambulika. Huyo Prof. Jay ni mzito hasa. Maana kama ameanzisha Foundation ya kuokoa maisha ya watu, akifanikiwa, huyo ni mzito pia.
Mbona siwaoni watu wazito hapo? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
Zito Huyuhiyu Muha wa KigomaHilo ndio lilobaki siasa wamuachie zitto!
πππππZito Huyuhiyu Muha wa Kigoma
Hili ni jambo jemaUzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa
Kwahiyo Lema ni mtu mzito? Ahahahahaha! Ahahahahaha! Uuuuuuuwwww!!!Nikajua wamenyofoa ubongo tu , kumbe hata macho yamenyofolewa ?