Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui unachoongea.Hilo ndio lilobaki siasa wamuachie zitto!
Nabii ni mtu mzito.Kwahiyo Lema ni mtu mzito? Ahahahahaha! Ahahahahaha! Uuuuuuuwwww!!!
Chama chenye watu wenye maonoUzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa kwenye ukumbi wa Mlimani City , DSM , ambako watu wengi maarufu na wenye Ushawishi wamealikwa.
Vigogo wa Chadema ni miongoni mwa watu wazito wa Nchi hii walioonekana Ukumbini humo
View attachment 2838983
Acha wivu.....kamuulize Magu ndio utajua ni mzito au MwepesiKwahiyo Lema ni mtu mzito? Ahahahahaha! Ahahahahaha! Uuuuuuuwwww!!!
Mjinga kama huyu mzee CANADA eti nae ni kigogoUzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa kwenye ukumbi wa Mlimani City , DSM , ambako watu wengi maarufu na wenye Ushawishi wamealikwa.
Vigogo wa Chadema ni miongoni mwa watu wazito wa Nchi hii walioonekana Ukumbini humo
View attachment 2838983
Kilichomkimbiza enzi za Mwamba ni nini?Acha wivu.....kamuulize Magu ndio utajua ni mzito au Mwepesi
Ongea wewe!Hujui unachoongea.
Wameshindwa hata kujenga ofisi ya chama ndio maono yenyeweChama chenye watu wenye maono
Chama ni ideology sio majengoWameshindwa hata kujenga ofisi ya chama ndio maono yenyewe
Bila kumuona Samia au Tulia huwezi amini kama kuna watu wazito? Bora ukose nguo watu watakuchangia kuliko kushikiliwa akili.Mbona siwaoni watu wazito hapo? Au picha yao bado hujaweka ya hao watu wazito?
Ni mzito kwa wapuuzi wanaongozi kutoa lugha za kishenzi kwenye mitandaoKwahiyo Lema ni mtu mzito? Ahahahahaha! Ahahahahaha! Uuuuuuuwwww!!!
Erythrocyte anapenda sana mapambo ya kitapeli 😃😃😃Mjinga kama huyu mzee CANADA eti nae ni kigogo