Vigogo wa CHADEMA wahudhuria Uzinduzi wa Profesa J Foundation

Vigogo wa CHADEMA wahudhuria Uzinduzi wa Profesa J Foundation

Uzinduzi wa Taasisi hiyo ya kusaidia wenye magonjwa ya figo inazinduliwa kwenye ukumbi wa Mlimani City , DSM , ambako watu wengi maarufu na wenye Ushawishi wamealikwa.

Vigogo wa Chadema ni miongoni mwa watu wazito wa Nchi hii walioonekana Ukumbini humo

View attachment 2838983
Mjinga kama huyu mzee CANADA eti nae ni kigogo
 
Screenshot_2023-12-11-13-43-29-1.png
 
Back
Top Bottom