VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA), Makumba Kimweri na Richard Maliyaga walioruhusu ujenzi wa jengo linalochungulia Ikulu wamehukumiwa kwenda jela miaka 9 kila mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni 15 kila mmoja na Hakimu Sundi Fimbo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar!
Chanzo: Globalpublishers
Hii ni haki kweli? Inawezekanaje hawa kuwa na maamuzi makubwa na ya risky namna hiyo? Mh!!!!!!
Chanzo: Globalpublishers
Hii ni haki kweli? Inawezekanaje hawa kuwa na maamuzi makubwa na ya risky namna hiyo? Mh!!!!!!