fungo prosper
Member
- Jun 29, 2013
- 8
- 0
mmiliki wa jengo yupo ikulu so hamna shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushauri wa bure tu hilo gorofa upande wa juu wote wachukue family ya wana usalama wa taifa
Kwa nini Liyumba hakupewa option ya kulipa faini? Haki iko wapi mahakama?
Itakapokuja sheria ya kupigwa risasi hadharani ndio nchi hii watu wataacha kutumia vibaya madaraka yao wakiwemo majaji, hivi baada ya miaka 9 jengo hilo halitakuwa na madhara ya kuchungulia Ikulu? Au tunawaumiza lkn wenye jengo wanabaki? Basi liwe la Ikulu hilo jengo!
huyu hakimu huyu ana matatizo sana..hukumu zake ni za kipuuzi sana huyu...hii nihukumu ya pili anaitoa ya kipumbafu..inaanza ile ya kajala then hii
huyu hakimu huyu ana matatizo sana..hukumu zake ni za kipuuzi sana huyu...hii nihukumu ya pili anaitoa ya kipumbafu..inaanza ile ya kajala then hii
Hiyo 15m ni tone la maji tu out of what they earned , nadhani kifungo jela ndo ingekuwa fundisho
ushauri wa bure tu hilo gorofa upande wa juu wote wachukue family ya wana usalama wa taifa
Kwani I.k.u.l.u kuna nini mpaka muogope kuchunguliwa?