VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA) wahukumiwa kifungo

VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA) wahukumiwa kifungo

ushauri wa bure tu hilo gorofa upande wa juu wote wachukue family ya wana usalama wa taifa

Bajeti nzima ya Wizara watalamba wao, ni sawa kukodisha vyumba 4 Kempisk kila siku/familia au in 5 stars Hotel.

God Bless
 
Itakapokuja sheria ya kupigwa risasi hadharani ndio nchi hii watu wataacha kutumia vibaya madaraka yao wakiwemo majaji, hivi baada ya miaka 9 jengo hilo halitakuwa na madhara ya kuchungulia Ikulu? Au tunawaumiza lkn wenye jengo wanabaki? Basi liwe la Ikulu hilo jengo!

Hapo sasa ndipo sheria inakosa mashiko, unamfunga mtu miaka 9 jela wakati tatizo alosababisha afungwe linaendelea kuwepo, basi kama ni kufungwa kwanza jengo lingebomolewa maana ikulu hsitaki kuchunguliwa, je wakifungwa hao jamaa ikulu itakoma kuchunguliwa? Hapa lazima kuna fitina na chuki binafsi.
 
huyu hakimu huyu ana matatizo sana..hukumu zake ni za kipuuzi sana huyu...hii nihukumu ya pili anaitoa ya kipumbafu..inaanza ile ya kajala then hii

Mmhhhh !!! Mi nahisi hili lilikuwa juu ya uwezo wake,hata angekuwa jaji bado angetoa hukumu aliyoandaliwa.
 
Hao wakiruhusu na walioliona linajengwa mpka linafanyiwa finishing wako kimya wakiwemo usalama wa taifa na hao inakuwaje?
 
Kwani I.k.u.l.u kuna nini mpaka muogope kuchunguliwa?
 
sheria za nchi zimezingatiwa, mwenye hela anakidhi masharti ya dhamana milioni 12 cash, huku wenzake wakisekwa rumande, na kweye kesi nyingine washitakiwa wawili waachiwa huru baada ya kulipa faini ya tsh.milioni 15 kila mmoja!
 
Jela kwa africa wanaingia masikin tu sababu kukiwa na option ya fine mtu mwenye pesa anatoa kisha anakuwa uraiani.

Ndio maana natafuta sana pesa
 
Hapa kuna kila dalili ya kuwepo kwa rushwa ama baadhi ya vigogo kuwa nyuma ya hiyo scandle, it is unbelievable
 
so wakifungwa hao wote ndio hiyo risk itakuwa imeondoka ama???
 
Back
Top Bottom