Vigogo waliopo nyuma ya Mawakili waliofungua kesi kupinga mkataba wa bandari mkoani Mbeya

Vigogo waliopo nyuma ya Mawakili waliofungua kesi kupinga mkataba wa bandari mkoani Mbeya

Wapo watu wameiweka mifukoni bandari yetu !,
Ugoigoi hunufaisha giant traders,
Ikiendeshwa kwa ufanisi,upo uwezekano Icds zisihitajike tena,which is big loss to giants!
Tafiti zinaonyesha kwenye icd,ndipo mipango mingi ya ukwepaji kodi hufanyika!
Kweli, ndiyo huwa nasema kiongozi mmoja huwezi pambana na ma- giant wa nchi hii, lazima utaomba poo ref (Magu).
 
C&P,
From;-
#Kigogo! a.k.a mzushi.

Taarifa za kuaminika kutoka chanzo chetu ndani ya mahakama kuu ni kuwa kesi ya ubabaishaji iliyofunguliwa na kundi la mawakili wakiongozwa na Boniface Mwabukusi inayotegemewa kutolewa hukumu hivi karibuni IMEFYEKELEWA MBALI kwa kukosa vigezo na hoja zake hazijakidhi vigezo vya kuwa kesi ya kikatiba na kuonekana haina mashiko na ni usumbufu na kupotezea mida mahakama tukufu.

Kesi hiyo iliyofadhiliwa na kundi la watu wanaopinga uwekezaji bandarini wakiwemo GSM na Al Hushoom na kutoa kiasi cha 400m TZS ili kufunguliwa kwa kesi hii , imepata kipigo hicho baada ya hoja zao zote kutupwa kufuatia umahiri wa timu ya upande wa serikali ukiongozwa na mwendesha mashtaka mahiri wa serikali msomi Edson Mweyungee kuzifafanya na kuzijibu kwa ustadi mkubwa sana.

Kutupiliwa mbali kwa kesi hiyo kunadhihirisha uovu wa kikundi kidogo cha watu hasa wamiliki wa ICDs ambao kwa hila wanataka mchakato wa uwekezaji bandarini uvurugike ili waendelee kulinyonya hili taifa na kunufaika wao kupitia kampuni yao na mshirika wao TICTS

Ikumbukwe kuwa TICTS na Karamagi wameendesha bandari ya Dar Es Salaam kwa miaka 27 bila mafanikio ya maana kwa taifa na watanzania hii ikijumuisha kuingia mkataba wa hovyo uliogubikwa na rushwa wa miaka 15 ambao bunge liliazimia ufutwe mwaka 2008 lakini kwa kuwa rushwa ilitawala waliachwa mpaka sasa mkataba wao ulipoisha na kupewa mkono wa kwaheri jambo ambalo bado hawataki kuondoka na wameamua kufadhili vurugu.

Tunasubiri uamuzi wa mahakama kwa hamu sana ili tusonge mbele na uwekezaji wenye tija na faida kwa watanzania ufanyike na siyo kikundi cha wachache kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo 27.
N.B,IKUMBUKWE HUKUMU YA SHAURI HILI LILIHAIRISHWA.
Serikali ina timu mahiri ya wanasheria au mimi ndio sijaelewa?..hahahahaha...
 
C&P,
From;-
#Kigogo! a.k.a mzushi.

Taarifa za kuaminika kutoka chanzo chetu ndani ya mahakama kuu ni kuwa kesi ya ubabaishaji iliyofunguliwa na kundi la mawakili wakiongozwa na Boniface Mwabukusi inayotegemewa kutolewa hukumu hivi karibuni IMEFYEKELEWA MBALI kwa kukosa vigezo na hoja zake hazijakidhi vigezo vya kuwa kesi ya kikatiba na kuonekana haina mashiko na ni usumbufu na kupotezea mida mahakama tukufu.

Kesi hiyo iliyofadhiliwa na kundi la watu wanaopinga uwekezaji bandarini wakiwemo GSM na Al Hushoom na kutoa kiasi cha 400m TZS ili kufunguliwa kwa kesi hii , imepata kipigo hicho baada ya hoja zao zote kutupwa kufuatia umahiri wa timu ya upande wa serikali ukiongozwa na mwendesha mashtaka mahiri wa serikali msomi Edson Mweyungee kuzifafanya na kuzijibu kwa ustadi mkubwa sana.

Kutupiliwa mbali kwa kesi hiyo kunadhihirisha uovu wa kikundi kidogo cha watu hasa wamiliki wa ICDs ambao kwa hila wanataka mchakato wa uwekezaji bandarini uvurugike ili waendelee kulinyonya hili taifa na kunufaika wao kupitia kampuni yao na mshirika wao TICTS

Ikumbukwe kuwa TICTS na Karamagi wameendesha bandari ya Dar Es Salaam kwa miaka 27 bila mafanikio ya maana kwa taifa na watanzania hii ikijumuisha kuingia mkataba wa hovyo uliogubikwa na rushwa wa miaka 15 ambao bunge liliazimia ufutwe mwaka 2008 lakini kwa kuwa rushwa ilitawala waliachwa mpaka sasa mkataba wao ulipoisha na kupewa mkono wa kwaheri jambo ambalo bado hawataki kuondoka na wameamua kufadhili vurugu.

Tunasubiri uamuzi wa mahakama kwa hamu sana ili tusonge mbele na uwekezaji wenye tija na faida kwa watanzania ufanyike na siyo kikundi cha wachache kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo 27.
N.B,IKUMBUKWE HUKUMU YA SHAURI HILI LILIHAIRISHWA.
Ukimsoma hivi sasa ndiyo unaelewa jinsi watanzania walivyokua mazumbukuku kipindi kile, kwa kumuamini kwa kila alichokua akiwalisha na kuwanywesha.
Tundu Lissu ndiye Mtanzania aliyefanikiwa kumsambaratisha huyu jamaa na kupelekea aonekane mwepesi na Mzushi. Martin Maranja Masese akammalizia. Nikashangaa Kigogo anaanza kubembeleza urafiki na akina Sufiani😃
 
Hivi Tatizo ni Mwekezaji au Mkataba??
 
C&P,
From;-
#Kigogo! a.k.a mzushi.

Taarifa za kuaminika kutoka chanzo chetu ndani ya mahakama kuu ni kuwa kesi ya ubabaishaji iliyofunguliwa na kundi la mawakili wakiongozwa na Boniface Mwabukusi inayotegemewa kutolewa hukumu hivi karibuni IMEFYEKELEWA MBALI kwa kukosa vigezo na hoja zake hazijakidhi vigezo vya kuwa kesi ya kikatiba na kuonekana haina mashiko na ni usumbufu na kupotezea mida mahakama tukufu.

Kesi hiyo iliyofadhiliwa na kundi la watu wanaopinga uwekezaji bandarini wakiwemo GSM na Al Hushoom na kutoa kiasi cha 400m TZS ili kufunguliwa kwa kesi hii , imepata kipigo hicho baada ya hoja zao zote kutupwa kufuatia umahiri wa timu ya upande wa serikali ukiongozwa na mwendesha mashtaka mahiri wa serikali msomi Edson Mweyungee kuzifafanya na kuzijibu kwa ustadi mkubwa sana.

Kutupiliwa mbali kwa kesi hiyo kunadhihirisha uovu wa kikundi kidogo cha watu hasa wamiliki wa ICDs ambao kwa hila wanataka mchakato wa uwekezaji bandarini uvurugike ili waendelee kulinyonya hili taifa na kunufaika wao kupitia kampuni yao na mshirika wao TICTS

Ikumbukwe kuwa TICTS na Karamagi wameendesha bandari ya Dar Es Salaam kwa miaka 27 bila mafanikio ya maana kwa taifa na watanzania hii ikijumuisha kuingia mkataba wa hovyo uliogubikwa na rushwa wa miaka 15 ambao bunge liliazimia ufutwe mwaka 2008 lakini kwa kuwa rushwa ilitawala waliachwa mpaka sasa mkataba wao ulipoisha na kupewa mkono wa kwaheri jambo ambalo bado hawataki kuondoka na wameamua kufadhili vurugu.

Tunasubiri uamuzi wa mahakama kwa hamu sana ili tusonge mbele na uwekezaji wenye tija na faida kwa watanzania ufanyike na siyo kikundi cha wachache kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo 27.
N.B,IKUMBUKWE HUKUMU YA SHAURI HILI LILIHAIRISHWA.
Sasa wewe lete source za habari zako zisizo aminika!
 
Muda utaongea...
Watu wako kazini, na kazi wanayoifanya ni ya tonge Nene,lazima ujitoe ufahamu kwanza.
MZUSHI KIGOGO ANAZIDI KUUMWAGA UHARO WAKE,
IMG_20230808_111835_370.jpg
IMG_20230808_112417_549.jpg
 
Wewe umesema kwamba mahakama imetupilia mbali shauri Hilo alipaswi kuwa shauri la kikatiba inamana majibu yameshatoka lakini mwisho unakuja kujikataa Tena eti tusubiri maamuzi ya mahakama hivi unajielewa kwelii
 
Inasemekana pia kuwa majaji wote watatu wanaosikiliza kesi hii wameitwa asubuhi ya leo ikulu ndogo ya kanda ya Mbeya kuonana na mh rais
 
Kesi hiyo iliyofadhiliwa na kundi la watu wanaopinga uwekezaji bandarini wakiwemo GSM na Al Hushoom na kutoa kiasi cha 400m TZS ili kufunguliwa kwa kesi hii , imepata kipigo hicho baada ya hoja zao zote kutupwa kufuatia umahiri wa timu ya upande wa serikali ukiongozwa na mwendesha mashtaka mahiri wa serikali msomi Edson Mweyungee kuzifafanya na kuzijibu kwa ustadi mkubwa sana.
Acha uzushi kwani hawa ndio waliosaini ule mkataba mbovu??
 
C&P,
From;-
#Kigogo! a.k.a mzushi.

Taarifa za kuaminika kutoka chanzo chetu ndani ya mahakama kuu ni kuwa kesi ya ubabaishaji iliyofunguliwa na kundi la mawakili wakiongozwa na Boniface Mwabukusi inayotegemewa kutolewa hukumu hivi karibuni IMEFYEKELEWA MBALI kwa kukosa vigezo na hoja zake hazijakidhi vigezo vya kuwa kesi ya kikatiba na kuonekana haina mashiko na ni usumbufu na kupotezea mida mahakama tukufu.

Kesi hiyo iliyofadhiliwa na kundi la watu wanaopinga uwekezaji bandarini wakiwemo GSM na Al Hushoom na kutoa kiasi cha 400m TZS ili kufunguliwa kwa kesi hii , imepata kipigo hicho baada ya hoja zao zote kutupwa kufuatia umahiri wa timu ya upande wa serikali ukiongozwa na mwendesha mashtaka mahiri wa serikali msomi Edson Mweyungee kuzifafanya na kuzijibu kwa ustadi mkubwa sana.

Kutupiliwa mbali kwa kesi hiyo kunadhihirisha uovu wa kikundi kidogo cha watu hasa wamiliki wa ICDs ambao kwa hila wanataka mchakato wa uwekezaji bandarini uvurugike ili waendelee kulinyonya hili taifa na kunufaika wao kupitia kampuni yao na mshirika wao TICTS

Ikumbukwe kuwa TICTS na Karamagi wameendesha bandari ya Dar Es Salaam kwa miaka 27 bila mafanikio ya maana kwa taifa na watanzania hii ikijumuisha kuingia mkataba wa hovyo uliogubikwa na rushwa wa miaka 15 ambao bunge liliazimia ufutwe mwaka 2008 lakini kwa kuwa rushwa ilitawala waliachwa mpaka sasa mkataba wao ulipoisha na kupewa mkono wa kwaheri jambo ambalo bado hawataki kuondoka na wameamua kufadhili vurugu.

Tunasubiri uamuzi wa mahakama kwa hamu sana ili tusonge mbele na uwekezaji wenye tija na faida kwa watanzania ufanyike na siyo kikundi cha wachache kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo 27.
N.B,IKUMBUKWE HUKUMU YA SHAURI HILI LILIHAIRISHWA.
Kabla ya kuposti kitu washa data kichwani mwako kwanza.
 
WAPUMBAVU CHEZEENI NCI TU KAMA YENU SIKU INAKUJA HATUTAJALI KAMA KUNA MIKATABA....HAO WAPUMBAVU WENU WAWEKE MELI YA DHARURA YA KUKIMBIA NCHI SIKU NJITI IKIWASHWA
 
Back
Top Bottom