Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

Vigogo wengi walikuwa na Clinic zao za magonjwa sugu nchi za nje mipaka imefungwa hawana pa kukimbilia tena ndio maana wanateketea

You nail it Mkuu ,hawaboreshi Hospital zetu kwa Sababu hawatibiwi hapa.Hawa boreshi Elimu kwa Sababu hawa someshi Watoto wao humu.Sasa hii kitu imekuja kwa njia nyingine kuwa kumbusha hawa miungu Watu.
Sawa kabisa,waswahili wana msemo wao "mtegemea cha ndugu hufa masikini". Walikuwa wanategemea hospitali za nje ya nchi leo hakuendeki mwisho wa siku tarehe za kukutana na madakitari wao bingwa (kiliniki) wanaowaamini zimefika inabidi watibiwe hapa nchini kusikoaminika kuanzia hospitali,vifaa,madakitari na hata wauguzi.
Hili ni funzo na kama viongozi wetu hawatajifunza kupitia janga hili kwa kuimarisha mfumo wa elimu na afya kupitia bajeti basi jua hatuna viongozi bali ni waganga njaa wanaokuja kwa sura ya uongozi ili wajinufaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza pole kwa kifo cha baba yako,
Pili yaweza kuwa umetekwa na story za vijiweni na kuanza kumlaumu huyo CO bila kujua,tatizo la heart failure maana yake moyo unashindwa kusukuma damu kuweza kutimiza mahitaji ya mwili kwa sababu hyo ya moyo kushindwa kusukuma damu fluids huwa zinajazamana kwenye mapafu,tumboni,miguuni nk kwa sababu moyo umeshindwa kusukuma,katika hali hyo tunatoa dawa Amby itatoa hzo fluid ili mgonjwa apate nafuu ambyo ni hyo loop diuretics,
Katika scenario hyo Huyo clinical officer alikuwa sahihi kabixa inawezekana baba alifariki tyr akiwa na already ongoing complication,

Hvo don't judge just ask wanaojua watakuona mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nasikitika mtu unapoongea kitu serious unatukanwa jamaa ww umeniuzi sn hata kama umesoma umekariri haujui kabisa physiology, pharmacology, hata diseases management haujui umekariri na kama na ww ni daktari basi nina uhakika umeshaua wengi sana kwa kutokujua au kuifunga akili yako
 
Mipaka imefungwa wanafariki. Walishazoea matibabu ghali na makini nje. Sasa hakuna..wanapuputika. Anyway, Mola awarehemu waja wake.
 
Hawa nyang'au walikuwa hawawaamini ma-doc wa hapa nyumbani hasa kwanza matendo yao kwao hayakuwa mazuri!unasahau kuna wakati waligoma wakidai stahiki zao ziboreshwe na mazingira yao ya kazi yaboreshwe wakaishia kumng'oa meno na kucha kiongozi wao na wao wakiambiwa wakatafute kazi wanakoona kuna maslahi zaidi?

Sasa mtu unajua kabisa system uliyopo haimlipi vizuri na umeshindwa kutetea kwa nafasi yako ili alipwe vizuri utamkabidhi vipi afya yako?na unajua kikundi chenu kinaweza kukufanyia mpango ukaenda kutibiwa kwa madaktari wanaolipwa vizuri na wenye vifaa stahili kuendana na afya ya mwanadamu,Mungu anawafundisha adabu wale waliokuwa wanajisahau kuwaboreshea wananchi mambo ya msingi wakijiona kwamba wao haiko siku watatakiwa waingizwe humo.

Corona siyo tajiri,siyo maskini sijui kiongozi ikikupata hapo ulipo utajisaidia kwa mazingira uliyojitengenezea no matter what kama ni mazuri utakufa au hutakufa kama ni mabaya ndo itakuwa balaa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu hawakuwaamini wataalam....
kitu kikubwa unajua taarifa za mgonjwa ni siri
kwa mujibu wa ethics/maadili yao....
lkn bongo baadhi ya taarifa za wagonjwa huvujishwa
ndio maana watu wenyenazo wanaona bora waende mbali huko...
 
Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa

Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi

Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors

Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi kwako

Kwa mfano mtu mwenye Heart failure ejection fraction ya below 40℅ ukimpa dawa ya kushusha pressure lazima afe.

Nakumbuka baba yangu alikuwa na shida ya Heart failure nilikuwa namfuatilia kila siku
.
Nilijua dawa gani inafaa na dawa gani haimfai lilikuwa kosa moja tu alipojisikia kuumwa akaenda hospitali akakutana na mwanafunzi Clinical officer alipogoogle dawa na kumpa ya loop diuretics haikumchukua hata Massa mawili

Tuwalinde vulnerable people bila kujali jinsia umri rangi chama dini na kabila
Asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You nail it Mkuu ,hawaboreshi Hospital zetu kwa Sababu hawatibiwi hapa.Hawa boreshi Elimu kwa Sababu hawa someshi Watoto wao humu.Sasa hii kitu imekuja kwa njia nyingine kuwa kumbusha hawa miungu Watu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani wengi wanakufa sababu wengi walikuwa wakienda India kwa matibabu kwa maelfu hadi kukaanzishwa kitu kinaitwa medical tourism mmarekani akiomba visa kuingia India alikuwa akijaza reason for travel medical toursism wengi walikuwa na private doctors na clinics India lockdown inawamaliza sababu maelfu hawezi access good cheap health facility za India wanazoweza afford tofauti na expensive za marekani

Wamatekani wengi wana bima za afya za India ambazo kwao no cheap aliumwa tu apanda ndege mbio India sasa safari hata za ndege Hanna wengi watakufa marekani lockdown itaua wengi
 
Namuhurumia sana Ndu gay
Ukifika kwa daktari kuna kitu kinaitwa Historia ya mgonjwa

Mgonjwa kumtibu lazima ujue historia yake in detail ili ikusaidie kumpa tiba sahihi

Ndio maana watu wengi wenye uwezo wana family Doctors

Family and private Doctors anasaidia kujua akupe dawa gani na anajua dawa mbaya na hatarishi kwako

Kwa mfano mtu mwenye Heart failure ejection fraction ya below 40℅ ukimpa dawa ya kushusha pressure lazima afe.

Nakumbuka baba yangu alikuwa na shida ya Heart failure nilikuwa namfuatilia kila siku
.
Nilijua dawa gani inafaa na dawa gani haimfai lilikuwa kosa moja tu alipojisikia kuumwa akaenda hospitali akakutana na mwanafunzi Clinical officer alipogoogle dawa na kumpa ya loop diuretics haikumchukua hata Massa mawili

Tuwalinde vulnerable people bila kujali jinsia umri rangi chama dini na kabila
 
Back
Top Bottom