Elections 2010 Vihehere wapo wapi? Mbona Si wasikii? Wamekata Tamaa?

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za kuchakachua?
 
Mkuu asante Kwa jina jipya! Hahahaaaaa.
Baada ya zomea zomea na kuandamwa n vyombo vya habari, naona Wamerudi Kwa ajili ya kurenew security kutoka Kwa shehe nanihii.
 
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za kuchakachua?


Watanzania wakikosa uongozi bora ndani ya CCM watautafuta nje ya CCM..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…