Elections 2010 Vihehere wapo wapi? Mbona Si wasikii? Wamekata Tamaa?

Elections 2010 Vihehere wapo wapi? Mbona Si wasikii? Wamekata Tamaa?

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za kuchakachua?
 
Mkuu asante Kwa jina jipya! Hahahaaaaa.
Baada ya zomea zomea na kuandamwa n vyombo vya habari, naona Wamerudi Kwa ajili ya kurenew security kutoka Kwa shehe nanihii.
 
Baada ya watu kuongelea saana kuhusu Kihehere1, 2 and 3 naona kampeni zao zime poa? kulikoni? wamekataa tamaa au nimi mimi kukosa mawasiliano nao/magazeti/redio au wanajadiliana kwanza. hatua za kuchakachua?


Watanzania wakikosa uongozi bora ndani ya CCM watautafuta nje ya CCM..
 
Back
Top Bottom