mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Taratibu Khantwe mi nimesema nilijua mkoaniUkajua kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu Khantwe mi nimesema nilijua mkoaniUkajua kwenu?
Okay tutafanya upembuzi yakinifu namna ya kukuelimisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa nimekuelewa kiutu uzima
Nilijua hilo mwendazake ndio jina la dogo aliyekufa.Marehemu ni mtu aliyekufa natural death. Mwendazake ni mwili wa mtu aliyejiua.
Wakati anakukuruka, wenzake walidhani ni sehemu ya maelekezo, hivyo wakaendelea kuangalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo hao wenzake wakawa wanamuangalia tu mwenzao anakata roho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaniWakati anakukuruka, wenzake walidhani ni sehemu ya maelekezo, hivyo wakaendelea kuangalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Wakenya kutokuwa na akili ni asili yao toka tumboniWakaazi wa kaunti ya Vihiga eneo la Keyonzo wameachwa kwa mshangao baada ya kijana wa miaka 14 kufariki aklipokuwa anawaonyesha wenzake namna ya kujitia kitanzi.
Kulingana na taarifa,mwendazake alikuwa na marafiki wake wa karibu wakati alipochukua kamba ili kuwaonyesha wenzake namna mtu anavyoweza kujiuwa kwa urahisi.
Akidhibitisha tukio hilo,chifu wa eneo hilo Esther Vidijaha amesema kuwa tukio hilo limewaacha wakaazi wa mitaa kwa mshangao na kujiuliza maswali kuhusiana na kilichopelekea kijana huyo kujinyonga.
“We have reported an incident where a 14-year-old boy lost his life after he tried to demonstrate to his friends how people commit suicide.Unfortunately, the boy hanged himself in the process of the demonstrations,” Vidijah.
Vidija amesema kuwa mwili wa mwendazake sasa umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya Vihiga huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.
Credits: radio jambo
Aha!Marehemu ni mtu aliyekufa natural death.
Mwendazake ni mwili wa mtu aliyejiua
Mko na vidio tuone?Wakaazi wa kaunti ya Vihiga eneo la Keyonzo wameachwa kwa mshangao baada ya kijana wa miaka 14 kufariki alipokuwa anawaonyesha wenzake namna ya kujitia kitanzi.
Kulingana na taarifa,mwendazake alikuwa na marafiki wake wa karibu wakati alipochukua kamba ili kuwaonyesha wenzake namna mtu anavyoweza kujiuwa kwa urahisi.
Akidhibitisha tukio hilo,chifu wa eneo hilo Esther Vidijaha amesema kuwa tukio hilo limewaacha wakaazi wa mitaa kwa mshangao na kujiuliza maswali kuhusiana na kilichopelekea kijana huyo kujinyonga.
“We have reported an incident where a 14-year-old boy lost his life after he tried to demonstrate to his friends how people commit suicide.Unfortunately, the boy hanged himself in the process of the demonstrations,” Vidijah.
Vidija amesema kuwa mwili wa Mwendazake sasa umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya Vihiga huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.
Credits: radio jambo
😂 😂 si walikuwa wanathibitisha hadi tokeo la mwisho inakuajeKwa hiyo hao wenzake wakawa wanamuangalia tu mwenzao anakata roho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] si walikuwa wanathibitisha hadi tokeo la mwisho inakuaje
huo ndo mfano dhahiliWakaazi wa kaunti ya Vihiga eneo la Keyonzo wameachwa kwa mshangao baada ya kijana wa miaka 14 kufariki alipokuwa anawaonyesha wenzake namna ya kujitia kitanzi.
Kulingana na taarifa,mwendazake alikuwa na marafiki wake wa karibu wakati alipochukua kamba ili kuwaonyesha wenzake namna mtu anavyoweza kujiuwa kwa urahisi.
Akidhibitisha tukio hilo,chifu wa eneo hilo Esther Vidijaha amesema kuwa tukio hilo limewaacha wakaazi wa mitaa kwa mshangao na kujiuliza maswali kuhusiana na kilichopelekea kijana huyo kujinyonga.
“We have reported an incident where a 14-year-old boy lost his life after he tried to demonstrate to his friends how people commit suicide.Unfortunately, the boy hanged himself in the process of the demonstrations,” Vidijah.
Vidija amesema kuwa mwili wa Mwendazake sasa umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya Vihiga huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.
Credits: radio jambo
Gugo ni nini? Magoti ya ngamia?Mimi pia nimezama gugo nimeliona
Usishushe kwa nyuma, nyumba itanuka ushuziMy God! Nilijua mkoani.... Kumbe Kenya ngoja nishushe pumzi
Gwa kumyitu, comment zako huwa zinaniacha hoi sana.Marehemu ni mtu aliyekufa natural death.
Mwendazake ni mwili wa mtu aliyejiua
Ole gwa kugu nkhamu?Gwa kumyitu, comment zako huwa zinaniacha hoi sana.
Sumu Haijaribiwi Kwa KuilambaKajaribu Sumu kwa kuilamba. R.I.P