Wajinga sana hawa!
Hii mitandao imefunua tabaka kubwa sana la wajinga na wajuaji wasiojua kitu!
Tranka haliwezi kuwa sanduku la aibu kiasi hicho mpaka kufikia hatua ya kudhalilisha hawa wanafunzi!
Actually, mimi mwenyewe nina tranka ofisini kwangu kubwa kama jeneza na nalipenda mno maana hakuna panya anayesogea humo! Nikiweka documents nina uhakika ziko salama mpaka yesu anarudi!
Oooh chuo kikuu...chuo kikuu my ass!
Hawa ndio aina ya watu wakifika vyuoni wanaolewa na madume wenzao kwa kupenda kuishi maisha fulani ya maigizo!