Vihoja wanavyofanya mwaka wa kwanza pindi wanapoingia chuoni kwa mara ya kwanza

Vihoja wanavyofanya mwaka wa kwanza pindi wanapoingia chuoni kwa mara ya kwanza

Huko chuoni kuna nini hasa cha mno?

Watoto wenyewe wa masikini hawa mnataka kuwalazimisha waishi maisha ya viwango fulani?

Sioni kama tranka ni sanduku la aibu kiasi hicho!
Ingekuwa si kitu cha aibu wangemaliza nayo chuo ila cha kushangaza baada ya semester tu kuisha huyaoni tena.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]awa wanao leta povu kwani wame lazimishwa wapitie u uzi...ni wale wale tu nao walio enda na tranker walipo kua first year
 
hivi hao hawapigishwagi simu kwa kutumia kiatu kinachonukaaaaaa ? kama njuka? (form one)
 
Wajinga sana hawa!

Hii mitandao imefunua tabaka kubwa sana la wajinga na wajuaji wasiojua kitu!

Tranka haliwezi kuwa sanduku la aibu kiasi hicho mpaka kufikia hatua ya kudhalilisha hawa wanafunzi!

Actually, mimi mwenyewe nina tranka ofisini kwangu kubwa kama jeneza na nalipenda mno maana hakuna panya anayesogea humo! Nikiweka documents nina uhakika ziko salama mpaka yesu anarudi!

Oooh chuo kikuu...chuo kikuu my ass!

Hawa ndio aina ya watu wakifika vyuoni wanaolewa na madume wenzao kwa kupenda kuishi maisha fulani ya maigizo!
Wala hata usishangae. Aina ya watu hawa wanaowacheka hawa watoto wana ulimbukeni flani na wana inferiority complex ya ushamba, kwahiyo lazima wajitutumue kwamba wao sio washamba kwa kuwadhalilisha wenzao.
 
Mimi kioja changu wakati naripoti Nimetoka kunywa hapo mjini ilikuwa SAA 7 baada ya bia zangu kadhaa nikaita bodaboda mpaka sua na begi langu nyuma nikafika nikaenda sehemu ya usajili na begi langu la mgongoni sikulifunga nyuma vzur nikaishia kudondosha vitu kadhaa huko njiani sina habari


Kwenye usajili nilikuwa naongea pumba mdomo unatoa harufu ya pombe hata kweny ile hospital yetu ambapo unaenda Pima afya wakati naenda walijua kabisa huyu kanywa nurse mmoja pale akamuita auxiliary police wale walinzi wetu sua anisaidie kidogo nimalizie usajili ukwel yule mzee alicheka sana akaniambia kijana wewe sio mzima sipo makini akaniambia umeletwa kozi gan nkamwambia agricultural engineering akasema engineer mlevi we kweli umalizi chuo nkacheka nkamwambia sawa mzee


Nashkuru nilimaliza usajili ndani ya siku 3 ela nilitumia vibaya kwenye pombe ilinibidi niwe nanunua ukoko plus yule mama kibandani alinizoea nikawa ananijazia
 
Ha ha ha inachekesha ila hao wenye tranka nadhani wametoka vijijini hawana uelewa wowote na mambo ya chuo ni kuwasaidia tu
 
Wala hata usishangae. Aina ya watu hawa wanaowacheka hawa watoto wana ulimbukeni flani na wana inferiority complex ya ushamba, kwahiyo lazima wajitutumue kwamba wao sio washamba kwa kuwadhalilisha wenzao.
Kuna moja naliona mitandaoni limemrekodi binti yuko na chakula kabeba kwenye mifuko, linacheka hovyo na lafudhi yake ya kisukuma!

Mara zote nasema hii mitandao imefunua tabaka kubwa sana la wajinga, wapuuzi na watoto!

Hata kubeba chakula tunaambiwa na "watoto wa mjini" kuwa ni mwiko. Ati ni jambo la aibu!

Wakati mama zao huko majumbani wanaishi maisha magumu ya kuokota mabaki ya vyakula migahawani!
 
Waafrica ni shida sana sasa kama huo ndo uwezo wake unataka abebe nini? afu ni zuri kwa ulinzi wa vitu vyake ,first year wako real na ilipaswa waremain hivyo ,kwa ujumla wanachuo ni watu wa hali ya chini a bunch of dependants wote ningekuwa mimi ndo muamuzi wanachuo wote
1.Kwanza wavae sare yenye muonekano kama kombati za kijeshi
2.Asubuhi sio ombi kila mwanachuo anapaswa kukimbia lisaa limoja ,unless anasababu za kiafya
3.Marufuku kuingia na smart phone lecture rooms
4.Kila jumatatu hauingii chuo bila kupimwa alcohol test getini
Hizi mambo za kuandaa wajenzi wa taifa nyoronyoro hazifai kabisaa
 
Back
Top Bottom