Mkuu sijasema wafunzwe siraha nasema wafanywe wakakavu,sijasema wasiwe kabisa na smartphone wasiingie nazo lecture room,leo mtoto anaenda chuo akimaliza anarudi na kitambi,kajifunza ulevi,ana poor saving behavior ,anachagua kazi za mati tai ,ni kwa sababu mnawaharibu kimtu kinaishi kwa boom (pesa ya wananchi wasioweza kula milo mitatu) afu anacheka mtu ambae hajawahi kula mshahara kutumia dekaHicho ni chuo au kambi ya jkt
Na pia kutokuwa na smartphone unaturudisha miaka ya 1921
Halafu mbona Udom ni wengi..UDOM wanazingua sasaView attachment 1246472
(udom) Huyu amereport na sare za shule kabisa utafikiri anaenda chato secondary form five B HGE
Well saidHuko chuoni kuna nini hasa cha mno?
Watoto wenyewe wa masikini hawa mnataka kuwalazimisha waishi maisha ya viwango fulani?
Sioni kama tranka ni sanduku la aibu kiasi hicho!
Wana ulimbukeni wa kitoto!Bongo utawaweza watu mkuu
Hao wanaowacheka madogo wamesoma na ma tranka o level mpak high school wakati sisi hatukutumia ma tranka tulienda na bags na hatukuwacheka
Ingekuwa si kitu cha aibu wangemaliza nayo chuo ila cha kushangaza baada ya semester tu kuisha huyaoni tena.
Shida hawa vijana wanabadilika kila kitu kuanzia mavazi mpka lifestly vijana wengi wa chuo wanaongoza kwa kuigiza maisha.Mmeyafanya yawe ya aibu kwa kuwachamba na kuwapiga picha za kudhalilisha kama hizi. Vinginevyo hayana aibu yoyote. Ulimbukeni wa watu kama hawa na nyie unayafanya yaonekane ya aibu. Vinginevyo sanduku la chuma shuleni na jeshini ndio sehemu yake.
Ndio kijana kama jinsi nilivyokomenti[emoji23]Wewe ndio una uelewa na mambo ya mjini!??
Don't take it seriously,,,,,, unaelewa nini maana ya utani ?????? acha tufurahi maisha yaendeShame All of you
Hawa youngsters wengine wametoka mbali na kwenye Maisha magumu sana,
Bidii yao imewafikisha hapo na wanakumbuka walikotoka na wanajua wanakotaka kwenda na GOD BLESS watafika
Ningekuwa na uwezo, ningesimama getini chouni na kumpongeza mmoja mmoja
Na hawa ndio wanamalizaga chou mpaka mwisho
Hivi sanduku la chuma limekuwa kitu cha aibu sana??
Mimi nilijua sanduku la chuma linafaa sana katika mazingira ya chuo kwa ajili ya wizi na panya?
Huko vyuoni huwa hakuna wizi na mapanya?
Hapa ofisini kwangu nimenunua sanduku kubwa sana la chuma ninatunzia documents na nyaraka za muhimu!
Duuh! inawezekana mimi ni mshamba sana!
Huyo jamaa aliyekuja na mfuko wa SHANGAZI KAJA ndio kaua kabisa aisee hata Profesa Ndalichako angekuwepo hapo angecheka nusu afeFirst year wamekuwa wakifanya vimbwanga mbalimbali pale tu wanaopenda kufanya usajili mimi nimevinyaka hivi kwa first year wanaoingia chuoni kufanya usajili mwaka huu.
Navibandika hapa na wewe bandika vyako hapo chini tuongezea angalau siku za kuishi.
View attachment 1245104View attachment 1245105View attachment 1245106View attachment 1245109
View attachment 1245103
Mimi nikiwa na vitu vingi vya kubeba ambavyo havitosho kwenye bag huwa ninatumia shangazi kaja ile kubwa na huwa sina aibu hata kidogo sababu najua ninachokifanyaHuyo jamaa aliyekuja na mfuko wa SHANGAZI KAJA ndio kaua kabisa aisee hata Profesa Ndalichako angekuwepo hapo angecheka nusu afe
halafu we jamaa inaonekana ni mse**ge sana, unapata wapi muda wa kukaa unarekodi watu? huna kazi za kufanya? stupid.View attachment 1247758
First year wazama na magunia ya vyakula chuoni wanaonekana wakiranda randa navyo wakati wa usajili