GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,286 Reaction score 6,736 Jul 3, 2021 #1 Sasa itakuwaje kwa wale waliokata tiketi mechi ya kwanza? Zile pesa zilipelekwa wapi?
technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 12,706 Reaction score 52,355 Jul 3, 2021 #2 Mmepigwa Halafu kiingilio ni elf 11 wakati walisema elf 7 Hii nchi upigaji hautakaa uishe
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 3, 2021 #3 Zile pesa wamelipana posho kwenye vikao vya kujadili miongozo ya namna ya kuzitumia hizo pesa...