ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Kama haujasoma Cuba huwezi kuelewa MkuuKupikwaje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haujasoma Cuba huwezi kuelewa MkuuKupikwaje mkuu
Sijasoma Cuba ndio mkuuKama haujasoma Cuba huwezi kuelewa Mkuu
This is the way to go...bravoBaada ya mafunzo watarudi Tanzania kueneza ujuzi huo Kwa wenzao Kwa Kuanzisha mashamba darasa.
=====
DAR ES SALAAM
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Israel wameendelea na jitihada za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya kilimo, ambapo takribani vijana 260 wanapelekwa nchini Israel kupata mafunzo ya kilimo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga vijana wanaotarajiwa kwenda nchini Israel kuhudhuria mafunzo ya kilimo cha kisasa, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu amesema vijana hao watakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo kwa vitendo.
Amesema fursa hiyo imepatikana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Israel ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa ajili ya kujenga uwezo wa vijana kwenye sekta ya kilimo
Prof. Katundu amewasihi vijana hao kuitumia elimu wanayoipata nchini humo, ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuwa chachu katika jamii na Taifa kwa ujumla.
Imeandaliwa na Lovin Keffa-Habari Leo
=====
My Take
Bado Rais Samia anaendelea Kuonesha dira na njia ya Vijana kupita.
Vijana msipotoka awamu hii ya Rais Samia kwenye Kilimo hamtatoboa tena.
Nenda ukasome CubaSijasoma Cuba ndio mkuu
Wapi tuna applyNenda ukasome Cuba
Safi sana mabalozi wetu wengine nchi zilizoendelea huko wajifunze kitu hapo tunatamani vijana wengine waende china wakajifunze biashara huko wengine usa na ulaya wakajifunze technologies huko wakirudi huku serikali iwawezeshe kwa manufaa ya nchi yetu..Baada ya mafunzo watarudi Tanzania kueneza ujuzi huo Kwa wenzao Kwa Kuanzisha mashamba darasa.
=====
DAR ES SALAAM
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Israel wameendelea na jitihada za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya kilimo, ambapo takribani vijana 260 wanapelekwa nchini Israel kupata mafunzo ya kilimo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga vijana wanaotarajiwa kwenda nchini Israel kuhudhuria mafunzo ya kilimo cha kisasa, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu amesema vijana hao watakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo kwa vitendo.
Amesema fursa hiyo imepatikana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Israel ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa ajili ya kujenga uwezo wa vijana kwenye sekta ya kilimo
Prof. Katundu amewasihi vijana hao kuitumia elimu wanayoipata nchini humo, ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuwa chachu katika jamii na Taifa kwa ujumla.
Imeandaliwa na Lovin Keffa-Habari Leo
=====
My Take
Bado Rais Samia anaendelea Kuonesha dira na njia ya Vijana kupita.
Vijana msipotoka awamu hii ya Rais Samia kwenye Kilimo hamtatoboa tena.
Cuba unaenda tu, utakutana nayo hukohuko mbeleWapi tuna apply
Wengi kama sio wote ni wanafunzi wa kilimo sua ni haki yao na nimkakati wa siku nyingi tu sema sasa idadi imepanda..hawa vijana wamepatikanaje? tunataka mchakato uliotumika tuuone waziwazi. Kwa haya ya DP World na mengine yanavyoendelea nchini bila aibu unaweza kukuta vijana hao wote ni watoto wa makada wa CCM.
Au sio[emoji3][emoji3][emoji3]Cuba unaenda tu, utakutana nayo hukohuko mbele
unamaanisha mpiko upi, ule wa suti nyeusi?Wanaenda " kupikwa" Hao.
spy auBaada ya mafunzo watarudi Tanzania kueneza ujuzi huo Kwa wenzao Kwa Kuanzisha mashamba darasa.
=====
DAR ES SALAAM
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Israel wameendelea na jitihada za kukuza ujuzi kwa vijana kwenye sekta ya kilimo, ambapo takribani vijana 260 wanapelekwa nchini Israel kupata mafunzo ya kilimo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga vijana wanaotarajiwa kwenda nchini Israel kuhudhuria mafunzo ya kilimo cha kisasa, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu amesema vijana hao watakuwa na mafunzo ya darasani lakini pia mafunzo kwa vitendo.
Amesema fursa hiyo imepatikana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu wa Israel ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo kwa ajili ya kujenga uwezo wa vijana kwenye sekta ya kilimo
Prof. Katundu amewasihi vijana hao kuitumia elimu wanayoipata nchini humo, ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuwa chachu katika jamii na Taifa kwa ujumla.
Imeandaliwa na Lovin Keffa-Habari Leo
=====
My Take
Bado Rais Samia anaendelea Kuonesha dira na njia ya Vijana kupita.
Vijana msipotoka awamu hii ya Rais Samia kwenye Kilimo hamtatoboa tena.
sa100 ndio rais wa wasa, na ndio ameruhusu hao waende, kwasababu hapakuwepo technologia nyengine yeyote huko uarabuni. waarabu wamekaa na jangwa hadi leo na wanakula machungwa toka tel aviv ambayo israel amegeuza jangwa kuwa ardhi ya kilimo.Tangia teknolojia bora za kilimo ziwepo huko Isreali na tangia hii nchi iwepo, leo ndo mnakurupuka kwenda kusomesha vijana teknolojia za kilimo cha kisasa, tukisema nchi hii imerogwa au kupigwa laana tutakuwa tumekosea?
AiseeYani wakirudi kilimo chetu kitakuwa na mibaraka tele.
Kikwajuni One adriz Mufti kuku The Infinity Accumen Mo Adiosamigo STRUGGLE MAN Bwana Utam The Boss na mama lao FaizaFoxy