Vijana acheni kuoa wanawake wa mitandaoni

Vijana acheni kuoa wanawake wa mitandaoni

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kuna ka upepo ka Ulimbukeni ambako kanaendelea kuwapitia hawa watoto wa kike.

Kwasababu tu yupo TikTok, IG ana followers wengi n.k, tayari hujiona kichwani kwake anahitajika kuliko chochote, na hili ndio kosa kubwa.

Waschana wa aina hii, suala la Ndoa halipo kichwan kwake, na ukimuona kubali Kuliaa machozi na makamasi, kwanini?

Kwa sababu, Mitandao ya Kijamii huleta utumwa mkubwa wa kiakili na kihisia, atahitaji awapostie wafuasi wake akiwa analamba lips, anabinua tako, anageuza geuza jicho , anacheza n.k mambo hayo Ndani ya Ndoa ni Marufuku. Tayari atajiona humpi Uhuru Tatizo.

Kama hiyo haitoshi, Wanawake wa mitandaoni akili zao zimebebwa na Hawa Mashangazi walojichokea ambao kwao hawana wlaichobakisha. Utasikia alojichokea anadai "Mimi siwezi kumpikia mwanaume ".

Duuhh unachekaa hii!

Kila siku nawaambia, kwenye Kuoa, Oa mwanamke anayeonekana mshamba, mwanamke ambaye unaona kabisa Yuko IG kutangaza Biashara yake ya Vitenge, mwanamke ambaye yuko TikTok anamtunguza Mungu, Mwanamke ambaye atatambua kua we ndio mwanaume mwenye Mamlaka, Nguvu na utawala juu yake, Mwanamke anayempenda Mungu Kwa Moyo, akili na nguvu zake zote.
 
Kuna ka upepo ka Ulimbukeni ambako kanaendelea kuwapitia hawa watoto wa kike.

Kwasababu tu yupo TikTok, IG ana followers wengi n.k , tayari hujiona kichwan kwake anahitajika kuliko chochote, na hili ndio kosa kubwa !!.

Waschana wa aina hii, suala la Ndoa halipo kichwan kwake, na ukimuona kubali Kuliaa machozi na makamasi, kwanini?.

Kwa sababu, Mitandao ya Kijamii huleta utumwa mkubwa wa kiakili na kihisia, atahitaji awapostie wafuasi wake akiwa analamba lips, anabinua tako, anageuza geuza jicho , anacheza n.k mambo hayo Ndani ya Ndoa ni Marufuku... Tayari atajiona humpi Uhuru .....Tatizo.

Kama hiyo haitoshi, Wanawake wa mitandaoni akili zao zimebebwa na Hawa Mashangazi walojichokea ambao kwao hawana wlaichobakisha .... Utasikia alojichokea anadai "Mimi siwezi kumpikia mwanaume ".

Duuhh unachekaa hiiiiiiiiiii!!!


Kila siku nawaambia, kwenye Kuoa, Oa mwanamke anayeonekana mshamba , mwanamke ambaye unaona kabisa Yuko IG kutangaza Biashara yake ya Vitenge , mwanamke ambaye yuko TikTok anamtunguza Mungu, Mwanamke ambaye atatambua kua we ndio mwanaume mwenye Mamlaka, Nguvu na utawala juu yake, Mwanamke anayempenda Mungu Kwa Moyo, akili na nguvu zake zote.
Mkuu kama na wewe umeliona hili itoshe kusema kwa sasa swala la kuoa lina hitaji umakini sana,Wanaume tufungue macho zaidi huko uraiani hali inatisha
 
Kuna ka upepo ka Ulimbukeni ambako kanaendelea kuwapitia hawa watoto wa kike.

Kwasababu tu yupo TikTok, IG ana followers wengi n.k, tayari hujiona kichwani kwake anahitajika kuliko chochote, na hili ndio kosa kubwa.

Waschana wa aina hii, suala la Ndoa halipo kichwan kwake, na ukimuona kubali Kuliaa machozi na makamasi, kwanini?

Kwa sababu, Mitandao ya Kijamii huleta utumwa mkubwa wa kiakili na kihisia, atahitaji awapostie wafuasi wake akiwa analamba lips, anabinua tako, anageuza geuza jicho , anacheza n.k mambo hayo Ndani ya Ndoa ni Marufuku. Tayari atajiona humpi Uhuru Tatizo.

Kama hiyo haitoshi, Wanawake wa mitandaoni akili zao zimebebwa na Hawa Mashangazi walojichokea ambao kwao hawana wlaichobakisha. Utasikia alojichokea anadai "Mimi siwezi kumpikia mwanaume ".

Duuhh unachekaa hii!

Kila siku nawaambia, kwenye Kuoa, Oa mwanamke anayeonekana mshamba, mwanamke ambaye unaona kabisa Yuko IG kutangaza Biashara yake ya Vitenge, mwanamke ambaye yuko TikTok anamtunguza Mungu, Mwanamke ambaye atatambua kua we ndio mwanaume mwenye Mamlaka, Nguvu na utawala juu yake, Mwanamke anayempenda Mungu Kwa Moyo, akili na nguvu zake zote.
Aaah!! Wanawake wamtandaoni ukioa lazima upate jipu la ubongo kudadeq.....
 
Kuna ka upepo ka Ulimbukeni ambako kanaendelea kuwapitia hawa watoto wa kike.

Kwasababu tu yupo TikTok, IG ana followers wengi n.k, tayari hujiona kichwani kwake anahitajika kuliko chochote, na hili ndio kosa kubwa.

Waschana wa aina hii, suala la Ndoa halipo kichwan kwake, na ukimuona kubali Kuliaa machozi na makamasi, kwanini?

Kwa sababu, Mitandao ya Kijamii huleta utumwa mkubwa wa kiakili na kihisia, atahitaji awapostie wafuasi wake akiwa analamba lips, anabinua tako, anageuza geuza jicho , anacheza n.k mambo hayo Ndani ya Ndoa ni Marufuku. Tayari atajiona humpi Uhuru Tatizo.

Kama hiyo haitoshi, Wanawake wa mitandaoni akili zao zimebebwa na Hawa Mashangazi walojichokea ambao kwao hawana wlaichobakisha. Utasikia alojichokea anadai "Mimi siwezi kumpikia mwanaume ".

Duuhh unachekaa hii!

Kila siku nawaambia, kwenye Kuoa, Oa mwanamke anayeonekana mshamba, mwanamke ambaye unaona kabisa Yuko IG kutangaza Biashara yake ya Vitenge, mwanamke ambaye yuko TikTok anamtunguza Mungu, Mwanamke ambaye atatambua kua we ndio mwanaume mwenye Mamlaka, Nguvu na utawala juu yake, Mwanamke anayempenda Mungu Kwa Moyo, akili na nguvu zake zote.
Hahaha
 
Wanawake wa mtandaoni wanatamani kuingia kwenye ndoa wakiwa na uhuru ule ule.
 
Back
Top Bottom