Vijana: Akikupa pesa mpe na wewe, akikupa penzi mpe penzi. Peaneni sio wewe ndio uwe tuu unampa

Vijana: Akikupa pesa mpe na wewe, akikupa penzi mpe penzi. Peaneni sio wewe ndio uwe tuu unampa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Wasije wakakuloga ukawa mtumwa wao.

Wasije wakakudanganya kuwa usipowapa pesa ati hautawapata. Ni uongo.

Ni kosa kubwa wanalofanya vijana wengi kutoa wasipopewa. Kupanda wasipovuna.

Mapenzi ni kitu rahisi na chakawaida kama utatumia kanuni ya nipe nikupe. Tupeane.

Wengi unaosikia wanajiua, wanaua ni wale waliotapeliwa.

Mpe akupavyo.
Muweke kwenye nafasi anayokuweka.

Kama anatafuta wanaume wenye pesa kukuzidi mwambie hata wewe unatafuta wanawake wenye pesa kumzidi.

Kama anatafuta wanaume wenye au mvuto kukuzidi mwambie hata wewe unatafuta wanawake wakali kumzidi.

Mapenzi kupeana.
Ishi kwa vipimo

Wanawake mara nyingi huwaumiza wanaume wanaowapa umuhimu wasiokuwa nao, umuhimu wasiostahili.

Wigi lake lisikusumbue.
Make up yake isikupumbuze.
Madoido na mapzlozi yake yasikuogopeshe.
Elewa Mwanamke asiyejiamini mara nyingi hujificha kwenye madoido na mapozi.
Ni kama wanaume mwenye mikwala ambao asilimia 95 ni waoga na hawakuamini.

Wewe ni mwanaume, ukiwa kama kijana lazima ujue huo ndio umri wa kuonyesha wewe ni mwanaume na unanguvu.

Tafuta Mwanamke anayejua nafasi yake.
Mwanamke anayejua nafasi yake atajua nafasi yako pia.

Sio upelekwe pekee na wanawake waishio kwenye ndoto kama watoto wa alinacha.

Linda jasho lako.
Usikubali lidharauliwe na wanawake wajinga.
Usitumie jasho lako kumfurahisha Mwanamke ambaye hatumii jasho lake kukufurahisha.

Wasije wanawake wajinga na wanyonyaji na wale waliozoea kunyonywa na kunyongwa wàkakuambia wewe ni mwanaume lazima umhudumie huyo binti.
Hao walizoea kudharaulika na kudharàuliwa, na walishajidharau.

Huwezi ukapata heshima kwa kujiumiza kijinga. Huwezi ukapata heshima kwa kujinyonga.

Mpe anayekupa.
Akikupa 10 mpe 30
Akikupa 50 mpe 70

Elewa, Mwanamke hawezi kuwa na uchungu na mtu ambaye hajawahi kumpa chochote.

Uchungu wa kweli upo katika kutoa sio kupokea. Kutoa ndio kipimo cha upendo.

Tafiti zinaonyésha kuwa wanaume wengi wanajiua kisa mapenzi kuliko wanawake. Taikon nakupa sababu kuwa kama wanawake nao wakianza kutoa nao wataanza kujiua au kuua Watu.

Ni bora uwe single kuliko kuishi na mtu anayekufanya mtumwa wake. Anayekunyonya alafu mwisho wa picha uzeeni unachapika.

Elewa, mnayesaidiana naye wakati unanguvu ndiye huyohuyo atakayesaidiana na wewe siku mkizeeka.

Lakini hao wanaowafanya watumwa elewa uzeeni ndio kazi itakuwa nzito zaidi.
Lawama, kukukimbia na kwenda kwa watoto huku wewe ukibaki mkiwa.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
IMG-20240624-WA0544.jpg
 
Uchungu wa kweli upo katika kutoa sio kupokea. Kutoa ndio kipimo cha upendo.
Sikujuaga kuwa yf ana wivu na uchungu mkali juu yangu mpaka siku nime mess up halaf akanifuma nusu (haikua full).
Doohhh, japo hakua na uhakika, ule moto aliouwasha, sidhan hata kama fire unit wangeweza kuuzima.!!😂😂😂.
Ila moyon nikafurah sana 😆
 
Sikujuaga kuwa yf ana wivu na uchungu mkali juu yangu mpaka siku nime mess up halaf akanifuma nusu (haikua full).
Doohhh, japo hakua na uhakika, ule moto aliouwasha, sidhan hata kama fire unit wangeweza kuuzima.!!😂😂😂.
Ila moyon nikafurah sana 😆

Elewa,
Mwanamke hawezi kutoa kwa mwanaume asiyempenda.
Mwanamke hutoa kwa yule wa thamani


Na Mwanamke húumizwa na kuumia kupoteza mwanaume wa thamani.

Ukiona mwanamke anaumia wakati hajawahi kuwa mtoaji kwa huyo mwanaume ujue ana fake
 
Sijasoma yote,lakini uliyosema yanapita kulia yanatokea kushoto.
 
Aisee kweli kuna mwanamke alinipa 12000 zaidi ya mara mbili ndo huyo mpka sasa namuwaza waza awe shemeji yenu.. Wengine wote pamoja na mbwembwe zao tiktok na fb naaa enjoy enjoy tu ila Sina mpango nao.. Huyu hajawah kunilazimisha wala kuniomba mwenyewe kuna siku nikajishtukia nikamtumia 50000
 
Naamini hivyo!
Kwema Wakuu!

Wasije wakakuloga ukawa mtumwa wao.

Wasije wakakudanganya kuwa usipowapa pesa ati hautawapata. Ni uongo.

Ni kosa kubwa wanalofanya vijana wengi kutoa wasipopewa. Kupanda wasipovuna.

Mapenzi ni kitu rahisi na chakawaida kama utatumia kanuni ya nipe nikupe. Tupeane.

Wengi unaosikia wanajiua, wanaua ni wale waliotapeliwa.

Mpe akupavyo.
Muweke kwenye nafasi anayokuweka.

Kama anatafuta wanaume wenye pesa kukuzidi mwambie hata wewe unatafuta wanawake wenye pesa kumzidi.

Kama anatafuta wanaume wenye au mvuto kukuzidi mwambie hata wewe unatafuta wanawake wakali kumzidi.

Mapenzi kupeana.
Ishi kwa vipimo

Wanawake mara nyingi huwaumiza wanaume wanaowapa umuhimu wasiokuwa nao, umuhimu wasiostahili.

Wigi lake lisikusumbue.
Make up yake isikupumbuze.
Madoido na mapzlozi yake yasikuogopeshe.
Elewa Mwanamke asiyejiamini mara nyingi hujificha kwenye madoido na mapozi.
Ni kama wanaume mwenye mikwala ambao asilimia 95 ni waoga na hawakuamini.

Wewe ni mwanaume, ukiwa kama kijana lazima ujue huo ndio umri wa kuonyesha wewe ni mwanaume na unanguvu.

Tafuta Mwanamke anayejua nafasi yake.
Mwanamke anayejua nafasi yake atajua nafasi yako pia.

Sio upelekwe pekee na wanawake waishio kwenye ndoto kama watoto wa alinacha.

Linda jasho lako.
Usikubali lidharauliwe na wanawake wajinga.
Usitumie jasho lako kumfurahisha Mwanamke ambaye hatumii jasho lake kukufurahisha.

Wasije wanawake wajinga na wanyonyaji na wale waliozoea kunyonywa na kunyongwa wàkakuambia wewe ni mwanaume lazima umhudumie huyo binti.
Hao walizoea kudharaulika na kudharàuliwa, na walishajidharau.

Huwezi ukapata heshima kwa kujiumiza kijinga. Huwezi ukapata heshima kwa kujinyonga.

Mpe anayekupa.
Akikupa 10 mpe 30
Akikupa 50 mpe 70

Elewa, Mwanamke hawezi kuwa na uchungu na mtu ambaye hajawahi kumpa chochote.

Uchungu wa kweli upo katika kutoa sio kupokea. Kutoa ndio kipimo cha upendo.

Tafiti zinaonyésha kuwa wanaume wengi wanajiua kisa mapenzi kuliko wanawake. Taikon nakupa sababu kuwa kama wanawake nao wakianza kutoa nao wataanza kujiua au kuua Watu.

Ni bora uwe single kuliko kuishi na mtu anayekufanya mtumwa wake. Anayekunyonya alafu mwisho wa picha uzeeni unachapika.

Elewa, mnayesaidiana naye wakati unanguvu ndiye huyohuyo atakayesaidiana na wewe siku mkizeeka.

Lakini hao wanaowafanya watumwa elewa uzeeni ndio kazi itakuwa nzito zaidi.
Lawama, kukukimbia na kwenda kwa watoto huku wewe ukibaki mkiwa.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Mwenzenu Adam alihonga sehemu ya mwili wake,
Nyie helaaaa tu mpaka mnaanzisha Uzi ??

Utakula kwa jasho

Nitazaa kwa uchungu.

Sisi HATUNA HELA na hatujawahi kuwa nazo
 
Back
Top Bottom