Nasisitiza wanawake waliowengi ni wabinafsi they have nothing to provide for us rather than sex and UTI so jifunze kutuliza shobo kwa wadada na sometimes jifunze kusema No , akikuomba ela sema no , hyo 20k au 30k unayompa ukiiweka UTT au ukanunua cement utafika mbali, sex is not food kusema ukiikosa utakufa , imagine unamtoa demu out unamnunulia pombe , unamnunulia chakula , unalipa room not less than 30k unamaliza unampa pesa ya nauli , yeye hana chochote anachotoa kwako as a material thing wakati Mama yako mzazi hana pesa hata ya Sukari kijijini alafu unajiona mzima. If is that a case bora ukaenda kununua tu kama umezidiwa unatoa 10k unakula kimoko biashara inaishia hapo