Vijana graduates hawana ajira za kueleweka wenyewe wapo kimya

Vijana graduates hawana ajira za kueleweka wenyewe wapo kimya

Vijana graduates pazeni sauti muajiriwe mnakaa kimya serikali inajisahau na nyie mnasahaulika

Imefika point kwa mwaka serikali ina ajiri wastani wa vijana 10,000 tu .

Graduates wengi wana jishughulisha na udalali,uwakala na kazi zenye vipato duni kimya kimya.

Binafsi naumia kuona vijana wana umri wa kua na familia hawana ajira ,hawana hela yani wapo wapo tu .
Vijana watafute pengine sio serikalini. Serikali imejaza kupitia kiasi.
Mshahara na marupurupu ya wafanyakazi wa serikali ina beba zaidi ya nusu ya bajeti. Walipa Kodi asilimia 98 ya watanzania au milioni 59 wanaachiwa masalia ya bajeti kwa huduma na maendeleo. Hili haliwezekani
 
Toka hapo ulipo uwaoneshe mfano. Wakati mwingine tuishi Kwa mifano tusiwe waongeaji tuu.
Vijana watafute pengine sio serikalini. Serikali imejaza kupitia kiasi.
Mshahara na marupurupu ya wafanyakazi wa serikali ina beba zaidi ya nusu ya bajeti. Walipa Kodi asilimia 98 ya watanzania au milioni 59 wanaachiwa masalia ya bajeti kwa huduma na maendeleo. Hili haliwezekani
 
Toka hapo ulipo uwaoneshe mfano. Wakati mwingine tuishi Kwa mifano tusiwe waongeaji tuu.
Wewe ngoja mtu aje akushike mkono akuambie njoo uone mfano hapa.
Mifano imezagaa kila mahali kwenye masoko, mitaa, mtandaoni, ndugu na marafiki. Jiongeze mwenyewe
 
Solo la Ajira ni finyu na ukiangalia na elimu yetu ndo kabisa balaa tupu inabidi tufikirie nje ya box

Degree na elimu ya Tz ni ya kisiasa inaandaa watu wajinga ambao wekariri vitu tu.

MTU kiingereza hajui
Hana exposure
Kasoma theory kibao ambazo hazina maana .

We need to think twice about this damn
 
Kijana! Graduate! Ujitambui? Sasa darasa la saba! Form four/six Graduate 🎓 atasemaje? Ulipofikia hakuna wa kukuambia cha kufanya! Utakufa na tai shingoni! Wewe kama Mkristo! Kipindi cha mfalme Nebukadreza alianzisha chuo kwa muda wa miaka 3! (Daniel 1: 3-21). Baada ya Graduation aliajiri vijana 4(wanne tu) mmoja wapo aliitwa Daniel! Sasa nyie kila mwaka mna graduate zaidi 60,000! Serikali kuwaajiri nyote lazima kila mwaka ifukuze au wafe angalau 75% ya 60,000 ili nyie nyote mpate ajira! Kwa ufupi wengi wenu mmesoma lakini hamna maarifa! Hata mtu akiwaajiri mnawaza ngono! Wizi! Kubeti! Utajiri wa haraka! Pambana na hali zenu!
Vijana laki 6 kila mwaka wakijiajie kwa kifungua vyuo kutakalika humu?
 
Vijana graduates pazeni sauti muajiriwe mnakaa kimya serikali inajisahau na nyie mnasahaulika

Imefika point kwa mwaka serikali ina ajiri wastani wa vijana 10,000 tu .

Graduates wengi wana jishughulisha na udalali,uwakala na kazi zenye vipato duni kimya kimya.

Binafsi naumia kuona vijana wana umri wa kua na familia hawana ajira ,hawana hela yani wapo wapo tu .
Alfu bado HESLB et wanataka pesa yao. Itoke wapi sasa.
 
Back
Top Bottom