Tanzania ni 100% bora kwenye social welfare ukilinganisha na Kenya, tena kwenye usafi ndio usiongee.Mngekua mnafanya hivyo kwa kila mmoja, nchi yenu haingejaa matatizo kila kona, Dar haingekua chafu kama ilivyo kwa leo, taarifa kama hizo za mtu kujitolea kuwafundisha watoto 216 waliokosa mwalimu hazingesikika.....madudu yote mliyonayo hayangekuwepo.
Mkuu umebadili avatar. Imenifanya nikusahau.Mtu mmoja mmoja kujitolea kwa ajili ya jamii, Tanzania sio habari, tena ni vijana wadogo kabisa mpaka wazeeMchimbaji mdogo ajenga madarasa, ofisi ya walimu
Chunya. Mchimbaji mdogo wa dhahabu, Edson Kibusu ameonyesha mfano baada ya kukarabati madarasa mawili, ofisi ya walimu na kujenga choo chenye matundu 18 katika Shule ya Msingi Itumbi.mobile.mwananchi.co.tz
Ooooh! Kumbe unanifuatilia kwa kupitia avatar? πMkuu umebadili avatar.. Imenifanya nikusahau..
Hawatakagi kuamini [emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania ni 100% bora kwenye social welfare ukilinganisha na Kenya, tena kwenye usafi ndio usiongee.
Mngekua wasafi, hamungetajwa kwenye ndani ya mataifa kumi ambayo yanaongoza kwa uchafu duniani...hivi ni kitu gani huwa hamtajwi, sio umaskini, sio uchafu jameni https://listsurge.com/top-10-countries-poor-sanitation-facilities/Tanzania ni 100% bora kwenye social welfare ukilinganisha na Kenya, tena kwenye usafi ndio usiongee.
Umemjibu kiungwana na umeongea point sanaSio lazima unyanyue jembe ukachimbe barabarani, sio lazima ufanye alichokifanya, ila hapo ulipo una kitu unachoweza kukifanya kwenye level yako. Kwa mfano tu, unaweza kuwapa baadhi ya madogo mtaani elimu inayohusiana na utaalam wako, japo ni jukumu la serikali kwa kutumia kodi yako kuwaelimisha. Fanya mentoring kwa vijana au hata kijana mmoja bila kutegemea malipo yoyote, hakikisha kabla hujazikwa, humu duniani kuna vijana kadhaa ambao umeacha wakiendeleza jamii kwa juhudi zako mwenyewe.
Hakuna kitu hunipa fahari kama kuona nimemfanyia mentoring ya kitaalam dogo mpaka anakuja kuoa na kuendelea na maisha.
Tukiishi kwa mtazamo wa kutegemea serikali ifanye kila kitu kisa tunalipa kodi, tutabaki nyuma miaka yote, mji unakua mchafu kila mtu anatupa taka kote eti serikali iwatume watu waje wazoe maana tunawalipa kwa kodi.
Ndio mkuu wengi hili jukwaa nawajua kwa avatar.... Nikiwa napitia post avatar inanipa urahisi wa kumtambua member vzr...sasa nimecheki avatar yako mhh nikajiuliza nan huyu??...kucheki jina kumbe wewe[emoji23]Ooooh! Kumbe unanifuatilia kwa kupitia avatar? π
Ndio mimi nakula saani moja na hizi nyumbu mpaka heshima iwepoNdio mkuu wengi hili jukwaa nawajua kwa avatar.... Nikiwa napitia post avatar inanipa urahisi wa kumtambua member vzr...sasa nimecheki avatar yako mhh nikajiuliza nan huyu??...kucheki jina kumbe wewe[emoji23]
πππ Wanafikiri Tanzania ina cha kujifunza Kenya, Hajui hii nchi ni ya kijamaa mambo kama huyo mzee anayoyafanya huku Tanzania ni zaidi tena sio suala la kujadili.Hawatakagi kuamini [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] Wanafikiri Tanzania ina cha kujifunza Kenya, Hajui hii nchi ni ya kijamaa mambo kama huyo mzee anayoyafanya huku Tanzania ni zaidi tena sio suala la kujadili.
Yaani ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja bila kujali malipo ni kitu Nyerere alifaulu sana Tanzania mpaka saivi kuna maeneo Tanzania bado wananchi wana ule utaratibu wa kujikusanya na kwenda kulima kwa pamoja kwenye shamba la mmoja wao kwa mzunguko mpaka wamalize mashamba yao yote,Unafahamu zile barabara za changarawe, mtaani kwangu huwa wanatenga angalau siku moja kwa mwezi kwa watu wote wa mtaa kuzirekebisha rekebisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mkuu Nakumbuka kipindi cha nyuma unakuta unaombwa mkasaidie kulima, palizi au kuvuna alafu na wewe ikiwa zamu yako wanakusaidiaYaani ushirikiano na kufanya kazi kwa pamoja bila kujali malipo ni kitu Nyerere alifaulu sana Tanzania mpaka saivi kuna maeneo Tanzania bado wananchi wana ule utaratibu wa kujikusanya na kwenda kulima kwa pamoja kwenye shamba la mmoja wao kwa mzunguko mpaka wamalize mashamba yao yote,
Yaani kama mpo mia mnatenga siku mnalima wote kwenye shamba la mwenzenu mmoja baada ya muda mfupi mnamaliza mnahamia kwa mwingine hivyo hivyo mpaka mnamaliza.
Huu utaratibu umeisaidia Tanzania kwa kipindi kirefu kudumu katika shibe ya kutisha mpaka kuuza ziada mataifa jirani yote Tanzania ndio inayalisha toka miaka yote
Baada ya tractors kuwa nyingi sasa ndio kama huu utaratibu unaanza kutoweka kwenye maeneo.
Fact Verse Presents ........ Nakubali sana sauti ya huyo mwamba.Fact Verse ni mabingwa wa kutunga stories wateke tu viewers.
Huu utaratibu kwenye nchi nyingine zote Africa ni muujiza na itachukua maneno mengi sana kumueleza mtu akuelewe ni vipi haya yanawezekana.Ndio mkuu Nakumbuka kipindi cha nyuma unakuta unaombwa mkasaidie kulima, palizi au kuvuna alafu na wewe ikiwa zamu yako wanakusaidia
Kabisa mkuuHuu utaratibu kwenye nchi nyingine zote Africa ni muujiza na itachukua maneno mengi sana kumueleza mtu akuelewe ni vipi haya yanawezekana.
Wewe fikiria tu namna Tanzania inavyolisha nchi majirani wote wanategemea chakula na malighafi kutoka Tanzania, huko Mozambique, Malawi, Zimbabwe, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya, Comoros wote hawa wanalishwa na Tanzania kama ukikaa mipakani ndio utashangaaKabisa mkuu
[Emoji1787]Sawasawa mkuu nakubaliana na wewe..Ndio mimi nakula saani moja na hizi nyumbu mpaka heshima iwepo
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana mkuuWewe fikiria tu namna Tanzania inavyolisha nchi majirani wote wanategemea chakula na malighafi kutoka Tanzania, huko Mozambique, Malawi, Zimbabwe, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya, Comoros wote hawa wanalishwa na Tanzania kama ukikaa mipakani ndio utashangaa
Morogoro kuna gari nyingi sana za Zambia, Zimbabwe zinaenda kusomba mchele na kupeleka nchi nyingi za kusini mwa Afrika, yaani hii Africa sisi ndio tunawalisha halafu unasikia mvuta bange mmoja Bungeni kwao anapayuka upumbavu gani sijui, hajui akigombana na Tanzania ni amegombana na uhai wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukianza angalia video moja kwao, unakuwa addicted nao, waweza jikuta waangalia video nyingine hata 20 kwa muda mmoja.Fact Verse Presents ........ Nakubali sana sauti ya huyo mwamba.