Vijana jeuri ya Chama!

Vijana jeuri ya Chama!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Vijana wenzangu msione aibu kukitetea Chama popote.

1. Kataeni Uraia Pacha "Dual Citizenship" maana watakuja wajuaji kuwastua WAZALENDO wengi. Mfano, eti Mkenya sijui Mpakistani nae awe raia si majanga? Maandamano kila kukicha.

2. Pingeni Katiba mpya maana haina maslahi kwetu.

3. Nunueni mamluki ili kazi ya kuwarubuni iwe nyepesi.
 
Vijana wenzangu msione aibu kukitetea Chama popote.
1. Kataeni Uraia Pacha "Dual Citizenship" maana watakuja wajuaji kuwastua WAZALENDO wengi. Mfano, eti Mkenya sijui Mpakistani nae awe raia si majanga? Maandamano kila kukicha.
2. Pingeni Katiba mpya maana haina maslahi kwetu.
3. Nunueni mamluki ili kazi ya kuwarubuni iwe nyepesi.
Katiba mpya iwe ya kutupendelea chama chetu ili tuendelee kuwachagulia Viongozi Visiwani tukiwa Makao Makuu Idodomya!
 
Vijana wenzangu msione aibu kukitetea Chama popote.
1. Kataeni Uraia Pacha "Dual Citizenship" maana watakuja wajuaji kuwastua WAZALENDO wengi. Mfano, eti Mkenya sijui Mpakistani nae awe raia si majanga? Maandamano kila kukicha.
2. Pingeni Katiba mpya maana haina maslahi kwetu.
3. Nunueni mamluki ili kazi ya kuwarubuni iwe nyepesi.
Akili hizi za vijana wa CCM ndo misingi ya kutupatia akina Nchemba huko mbeleni.

Bure kabisa
 
Chama cha mambuzi na vijana wake vimbuziiii😅👈
 
Back
Top Bottom