Vijana kujua fursa zilizopo kwenye kilimo

Vijana kujua fursa zilizopo kwenye kilimo

Paveki

New Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
2
Reaction score
3
Vijana wengi nchini kwetu Tanzania wanalichukulia suala la kilimo kama ni la kimasikini na lisilo wahusu.

Vijana wengi hasa wasomi tunaomaliza Vyuo Vikuu nchini tunalalamika ajira hakuna ni kweli lakini pia yatupasa sisi kufikiri kwa upana ni kwa namna gani tunaweza kutumia elimu tuliyoipata kwa miaka yote tuliyokaa darasani bila kujali umesomea kitu gani.

Mojawapo wa sekta nyeti na yenye uwanja mpana kwa vijana kuweza kujikita na kufanya makubwa katika taifa letu ni "KILIMO" sekta ambayo vijana ni kama wameiona haina maana lakini inaupana mkubwa na ndio suluhisho kubwa lakujikwamua na ukosefu waajira katika nchi yetu pia kukuza uchumi wetu.

Somo langu kwa vijana wenzangu tuache kubweteka na kuingia kwenye kilimo chenye tija kwakuwa uhitaji wa chakula duniani ni mkubwa na nchi yetu ina ardhi yenye rutuba na hali ya hewa nzuri inayoruhusu kuingia kwenye fursa hii.

Ombi langu kwa Serikali ningeomba ijaribu kuangalia kwa jicho la pili kwa vijana kwenye kilimo ili vijana waweze kupata elimu juu ya tekinolojia zilizopo kwenye kulimo pia kuweka miundombinu rafiki ya kilimo ili vijana waingie ili kupunguza tatizo la ajira pia kukuza uchumi wa taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania ,mungu ibariki Afrika na vijana wanaotegemewa kuendeleza taifa letu.

Asanteni sana.
 
Tabia hutokana na kile mtu huambiwa mara kwa mara,kuona mara kwa mara,na kufanya mara kwa mara. Mifumo yetu ya elimu ni mibovu na ndo chanzo cha matatizo yote.
 
Vijana wengi nchini kwetu Tanzania wanalichukulia suala la kilimo kama ni la kimasikini na lisilo wahusu.

Vijana wengi hasa wasomi tunaomaliza Vyuo Vikuu nchini tunalalamika ajira hakuna ni kweli lakini pia yatupasa sisi kufikiri
 
Msaada tafadhali.
Natafuta machine ya kuweza kupiga na kupepeta mahindi, Alizeti, Dengu, maharage. Kama vile combine iliyosimama ( mobile combine),
 
Vijana wengi nchini kwetu Tanzania wanalichukulia suala la kilimo kama ni la kimasikini na lisilo wahusu.

Vijana wengi hasa wasomi tunaomaliza Vyuo Vikuu nchini tunalalamika ajira hakuna ni kweli lakini pia yatupasa sisi kufikiri kwa upana ni kwa namna gani tunaweza kutumia elimu tuliyoipata kwa miaka yote tuliyokaa darasani bila kujali umesomea kitu gani.

Mojawapo wa sekta nyeti na yenye uwanja mpana kwa vijana kuweza kujikita na kufanya makubwa katika taifa letu ni "KILIMO" sekta ambayo vijana ni kama wameiona haina maana lakini inaupana mkubwa na ndio suluhisho kubwa lakujikwamua na ukosefu waajira katika nchi yetu pia kukuza uchumi wetu.

Somo langu kwa vijana wenzangu tuache kubweteka na kuingia kwenye kilimo chenye tija kwakuwa uhitaji wa chakula duniani ni mkubwa na nchi yetu ina ardhi yenye rutuba na hali ya hewa nzuri inayoruhusu kuingia kwenye fursa hii.

Ombi langu kwa Serikali ningeomba ijaribu kuangalia kwa jicho la pili kwa vijana kwenye kilimo ili vijana waweze kupata elimu juu ya tekinolojia zilizopo kwenye kulimo pia kuweka miundombinu rafiki ya kilimo ili vijana waingie ili kupunguza tatizo la ajira pia kukuza uchumi wa taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania ,mungu ibariki Afrika na vijana wanaotegemewa kuendeleza taifa letu.

Asanteni sana.
Seat ya mbele,wadau njooni huku mchangie Aya madini.
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513]0658 357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima.
Screenshot_20220702-233234.jpg
 
Vijana wengi nchini kwetu Tanzania wanalichukulia suala la kilimo kama ni la kimasikini na lisilo wahusu.

Vijana wengi hasa wasomi tunaomaliza Vyuo Vikuu nchini tunalalamika ajira hakuna ni kweli lakini pia yatupasa sisi kufikiri kwa upana ni kwa namna gani tunaweza kutumia elimu tuliyoipata kwa miaka yote tuliyokaa darasani bila kujali umesomea kitu gani.

Mojawapo wa sekta nyeti na yenye uwanja mpana kwa vijana kuweza kujikita na kufanya makubwa katika taifa letu ni "KILIMO" sekta ambayo vijana ni kama wameiona haina maana lakini inaupana mkubwa na ndio suluhisho kubwa lakujikwamua na ukosefu waajira katika nchi yetu pia kukuza uchumi wetu.

Somo langu kwa vijana wenzangu tuache kubweteka na kuingia kwenye kilimo chenye tija kwakuwa uhitaji wa chakula duniani ni mkubwa na nchi yetu ina ardhi yenye rutuba na hali ya hewa nzuri inayoruhusu kuingia kwenye fursa hii.

Ombi langu kwa Serikali ningeomba ijaribu kuangalia kwa jicho la pili kwa vijana kwenye kilimo ili vijana waweze kupata elimu juu ya tekinolojia zilizopo kwenye kulimo pia kuweka miundombinu rafiki ya kilimo ili vijana waingie ili kupunguza tatizo la ajira pia kukuza uchumi wa taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania ,mungu ibariki Afrika na vijana wanaotegemewa kuendeleza taifa letu.

Asanteni sana.
Nanenane imefika waende kujionea teknolijia zilizopo
 
Back
Top Bottom