CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Ukitembelea mashamba ya Kahawa Kilimanjaro utakutana na Wazee ambao kabisa unaona nguvu zimekata. Hawa wazee do walikuwa wazalishaji wakubwa sana wa Kahawa enzi hizo ila kwa sasa wakati ni ukuta.
Ukitembelea kilimo cha Pamba kanda ya Ziwa habari ni hiyo hiyo shambani wapi wazee ambao nguvu zimeisha.
Siku moja nilibahatika kuhudhuria mkutano wa Wanahisa wa TFA Tanganyika Farmers Association kwa kweli inatia huruma sana kuona mkutano mzima wamo wazee tupu ambao ndo wanachama wa TFA na ndo walikuwa wakulima wakubwa wa Kahawa, Shayri, Pamba na kadhalika.
Kwenye mkutano huo utakutana na Wazee wakulima wa Shayri kule Basutu Hanang, na kule Wheat Skim maneo ya Mbulumbulu Karatu.
Utakutana na wazee walio kuwa wazalishaji wakuu kabisa wa Kahawa Kule Moshi, Kule Marangu, Kibosho, Machame, Meru na Kwingineko.
Hawa wazee nguvu zimeisha na ukiwaukiza wanakuambia Watoto wao wako mjini wanasaka wanafanya kazi na hawapendi Kilimo ingawa walisomeshwa kwa Kilimo.
Ukijaribu kutembelea Maeneo mengi ya Nchi hasa yaliyo kuwa yanazarisha kwa wingi mazao hasa ya Biashara utakuta hari ni mbaya sana na na utakuta hata Aridhi isha badilishiwa matumizi.
Vijana wanapaswa kuingia kwenye Kilimo kuchukua nafasi za Wazee ambao kwa sasa umuri umeenda sana.
Na pia jitihada zinahitajika sana kuwafanya vijana wachukue nafasi za wazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitembelea kilimo cha Pamba kanda ya Ziwa habari ni hiyo hiyo shambani wapi wazee ambao nguvu zimeisha.
Siku moja nilibahatika kuhudhuria mkutano wa Wanahisa wa TFA Tanganyika Farmers Association kwa kweli inatia huruma sana kuona mkutano mzima wamo wazee tupu ambao ndo wanachama wa TFA na ndo walikuwa wakulima wakubwa wa Kahawa, Shayri, Pamba na kadhalika.
Kwenye mkutano huo utakutana na Wazee wakulima wa Shayri kule Basutu Hanang, na kule Wheat Skim maneo ya Mbulumbulu Karatu.
Utakutana na wazee walio kuwa wazalishaji wakuu kabisa wa Kahawa Kule Moshi, Kule Marangu, Kibosho, Machame, Meru na Kwingineko.
Hawa wazee nguvu zimeisha na ukiwaukiza wanakuambia Watoto wao wako mjini wanasaka wanafanya kazi na hawapendi Kilimo ingawa walisomeshwa kwa Kilimo.
Ukijaribu kutembelea Maeneo mengi ya Nchi hasa yaliyo kuwa yanazarisha kwa wingi mazao hasa ya Biashara utakuta hari ni mbaya sana na na utakuta hata Aridhi isha badilishiwa matumizi.
Vijana wanapaswa kuingia kwenye Kilimo kuchukua nafasi za Wazee ambao kwa sasa umuri umeenda sana.
Na pia jitihada zinahitajika sana kuwafanya vijana wachukue nafasi za wazee
Sent using Jamii Forums mobile app