Vijana kuwaogopa Wanawake

Vijana kuwaogopa Wanawake

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
909
Reaction score
1,717
Habari Wakubwa,

Naona kuna. Tukio sio la kawaida naanza kuona vijana tunaanza kuwaogopa Wanawake sijui kaka zetu walifanikiwa vipi.

Tena hawa kataa ndoa. Ndio wanatuharibu kabisa kisaikolojia kabisa.

TUNAKWAMA WAPI
🙏
 
Ngoja mi niseme
-Vijana wa kiume wa Sasa ni wajanja na wanaojitambua, wanaelewa tofauti kati ya majukumu halali na kujibebesha mzigo.

-Utandawazi umechangia kuharibu feminity ya wanawake wengi Kiasi Cha kupoteza Ile natural innocence waliokua nayo mama zao, wanawake kutumia uanamke wao kama kivuli Cha kukwepea majukumu Yao ya msingi... Vijana wa Sasa wanaliona Hilo

-Ugumu wa maisha + Kutokua na uhakika wa future + Majukumu ya kukomboa familia zao walikotokea inasababisha kijana ajipe likizo

-Wanawake wengi wamegeuka kuwa narcissists kwenye mahusiano, yaan mwanaume ndo injini ya mahusiano atoe kwanzia hela, show Kali etc wakati wao KAZI Yao ni kuleta drama and childish acts, vijana wanaona..

Kiufupi
Wanaume wa miaka Ile walikua wajinga na mapoyoyo, nahisi sababu ya elimu na utanda Giza. Hawakua majasiri mbele ya wanawake .. most were fools
Vijana wa Sasa ni smart and they learn fast from their mistakes and mistakes of others mostly
 
Ngoja mi niseme
-Vijana wa kiume wa Sasa ni wajanja na wanaojitambua, wanaelewa tofauti kati ya majukumu halali na kujibebesha mzigo.

-Utandawazi umechangia kuharibu feminity ya wanawake wengi Kiasi Cha kupoteza Ile natural innocence waliokua nayo mama zao, wanawake kutumia uanamke wao kama kivuli Cha kukwepea majukumu Yao ya msingi... Vijana wa Sasa wanaliona Hilo
Hapa unakubali kua wanawake wa sasa kitabia sio kama wanawake wa zamani,which it's true
-Ugumu wa maisha + Kutokua na uhakika wa future + Majukumu ya kukomboa familia zao walikotokea inasababisha kijana ajipe likizo
Hapa pia unakubali kua tatizo ni ugumu wa maisha,inaweza kua kweli,
-Wanawake wengi wamegeuka kuwa narcissists kwenye mahusiano, yaan mwanaume ndo injini ya mahusiano atoe kwanzia hela, show Kali etc wakati wao KAZI Yao ni kuleta drama and childish acts, vijana wanaona..
Ni kweli kabisa upo sahihi,
Kiufupi
Wanaume wa miaka Ile walikua wajinga na mapoyoyo, nahisi sababu ya elimu na utanda Giza. Hawakua majasiri mbele ya wanawake .. most were fools
Kutokana na maelezo yako hapo juu,hukutakiwa kuandika hizi lawama coz sababu kuu umesha ziandika tayari,huo ujinga unaodai wa wanaume wa miaka ile ni upi ikiwa umeshakubali kua wanawake wa zamani walikua ni watiifu? huoni kua unajipinga wewe mwenyewe kwa kauli zako zilizotangulia?
Vijana wa Sasa ni smart and they learn fast from there mistakes and mistakes of others mostly
Siku hizo sex inanunuliwa na inapatikana muda wowote ule,hii ni moja ya sababu ya Vijana kutokuoa,na hao waolewaji kwa mujibu wa maelezo yako,hawafai kitabia,sasa huo u smart unaouongelea hapa ni upi hasa?
 
Utandawazi,
i. wanawake skuiz wanatembea uchi, ukishamuona tuu hakuna Tena jipya unarizika,
ii.video za pono Kila kona watu wakishaangalia hawaoni Tena jipya Wala Cha ajabu wanarizika
iii. Mashoga wamechukua nafasi za wanawake wanatoa mapenzi motomoto kuliko madem wapenda vitonga.

Vijana wanaona kuoa ya nini.
 
Don't sacrifice your happiness for a woman.

Don't train any woman in school.

Don't give any woman a life that you have not given to yourself.

Dont pedestalize any woman.

Don't empower any woman unless you are 90x better than her.

Listen to me brothers: IF you know how fast women forget the good deeds and sacrifices you did for her, you will fear women.

The truth is, all the things you are doing for her means absolutely nothing to her and you will only discovers this when she finds your replacement and that is not difficult for her.

The only time women remember is the bad you did to them and not the good.

A woman's loyalty is not guaranteed.
Anything you are doing for a woman just count it as loss, never do for a woman what you can not let go.
Be wise.
 
Habari Wakubwa,

Naona kuna. Tukio sio la kawaida naanza kuona vijana tunaanza kuwaogopa Wanawake sijui kaka zetu walifanikiwa vipi.

Tena hawa kataa ndoa. Ndio wanatuharibu kabisa kisaikolojia kabisa.

TUNAKWAMA WAPI
🙏
Hamna kijana anaye muogopa mwanamke,ndio maana hamna kizazi kinacho fanya ngono kwa fujo kama hiki cha sasa,sababu kwa kizazi hiki ngono ni kitu rahisi sana kupatikana.

Watu wanaogopa kuoa,ila sio kuogopa kutongoza mwanamke,hayupo kijana huyo siku hizi vijana hawana uoga wanatongoza mpaka mijimama aka mishangazi.
 
Ngoja mi niseme
-Vijana wa kiume wa Sasa ni wajanja na wanaojitambua, wanaelewa tofauti kati ya majukumu halali na kujibebesha mzigo.

-Utandawazi umechangia kuharibu feminity ya wanawake wengi Kiasi Cha kupoteza Ile natural innocence waliokua nayo mama zao, wanawake kutumia uanamke wao kama kivuli Cha kukwepea majukumu Yao ya msingi... Vijana wa Sasa wanaliona Hilo

-Ugumu wa maisha + Kutokua na uhakika wa future + Majukumu ya kukomboa familia zao walikotokea inasababisha kijana ajipe likizo

-Wanawake wengi wamegeuka kuwa narcissists kwenye mahusiano, yaan mwanaume ndo injini ya mahusiano atoe kwanzia hela, show Kali etc wakati wao KAZI Yao ni kuleta drama and childish acts, vijana wanaona..

Kiufupi
Wanaume wa miaka Ile walikua wajinga na mapoyoyo, nahisi sababu ya elimu na utanda Giza. Hawakua majasiri mbele ya wanawake .. most were fools
Vijana wa Sasa ni smart and they learn fast from their mistakes and mistakes of others mostly
Naunga mkono hoja. Halafu hizi fiber skin za kisasa zinafanya wanawake waonekane vituko kabisa. Haiwezekani leo nikuone hamisa, kesho zuwena keshokutwa Beyonce. Definitely siwezi kukupatikia. Mimi kama sehemu ya vijana wa zamani tunawapongeza nyie vijana wa sasa. Endeleeni, mko njia sahihi. Wekeni jitihada kwenye kuijenga nchi yenu sio kiwajenga hao, hawashibagi chochote.
 
Hapa unakubali kua wanawake wa sasa kitabia sio kama wanawake wa zamani,which it's true

Hapa pia unakubali kua tatizo ni ugumu wa maisha,inaweza kua kweli,

Ni kweli kabisa upo sahihi,

Kutokana na maelezo yako hapo juu,hukutakiwa kuandika hizi lawama coz sababu kuu umesha ziandika tayari,huo ujinga unaodai wa wanaume wa miaka ile ni upi ikiwa umeshakubali kua wanawake wa zamani walikua ni watiifu? huoni kua unajipinga wewe mwenyewe kwa kauli zako zilizotangulia?

Siku hizo sex inanunuliwa na inapatikana muda wowote ule,hii ni moja ya sababu ya Vijana kutokuoa,na hao waolewaji kwa mujibu wa maelezo yako,hawafai kitabia,sasa huo u smart unaouongelea hapa ni upi hasa?
Umefanya uchambuzi vizuri sana, wakati nna present his facts nilikua nna freestyle tu sikuzingatia mpangilio wa hoja
Nikujibu hivi;
Why most men back then were bunch of fools ni
- Walioa bila kuzingatia sababu "KUU" ya ndoa ambayo ni "Mutual love" wengi Walioa Kwa sababu tofauti na hiyo i.e Starehe, Mila, kuonyesha urijali kwenye jamii zao , kumtumia mwanamke as means of production

  • Walitanguliza sana Ngono na starehe kuliko maslahi Yao binafsi, yaan kipindi kile kuoa kwanza ndo utafute maisha lilikua jambo la kawaida, waliishia kuwatesa wanawake waliobahatika kuwa nao na mwisho wa Siku wanawake nao wakaanza kutafuta namna ya kujikomboa na matunda yake ndo haya mnayopambana nao leo
  • They were inconsiderate fools, hawakujali hisia za wanawake na ndomana forced marriage zilikuepo na zikapelekea kuwepo Kwa failed marriages nyingi na kuanguka wa msingi Mkuu wa Taifa ambao ni familia
Watoto kulelewa na mzazi Mmoja, mayatima etc na hii loop inazidi kuharibu taasisi ya Ndoa na mahusiano hadi Leo.

- Mostly walikua wapenda Ngono tu, they didn't do much for their country na ndomana unaona vijana wa Sasa wanabebeshwa mzigo wa Kodi lukuki kukimbizana na maendeleo ya kidunia baada ya Utandawazi na watu kuona wengine walichofanya kwenye mataifa Yao

Niishie tu hapo though sababu ni nyingi mnoo
 
Habari Wakubwa,

Naona kuna. Tukio sio la kawaida naanza kuona vijana tunaanza kuwaogopa Wanawake sijui kaka zetu walifanikiwa vipi.

Tena hawa kataa ndoa. Ndio wanatuharibu kabisa kisaikolojia kabisa.

TUNAKWAMA WAPI
🙏
Nimekuja kugundua sisi wanaume wengi humu JF tunateseka sana na mapenzi. Na inaonesha jinsi tulivyo wadhaifu kihisia. Wanawake wengi kihisia wako very strong. Lakini sisi midume tuko unsecured kupita maelezo. Nyuzi na comment nyingi kutoka kwetu sisi midume uchwara ni malalamiko tu ya mapenzi na hii inakisia wazi hali halis ya sisi midume siyo hapa tu JF bali hata kwenye jamii kwa jumla. Silaumu ni forces of nature ila ni vizuri kucontrol. Kwa upande wangu nikionaga wanandoa wanapigana na kutofautiana nafurahigi sana.

Faak love maamaee
 
Shida ni moja tu uchumi siwezi kuwa na kipato Cha elfu 10 kwa siku nikaanza kuudumia mwanamke never !!
Kipato cha kuanza kuishi na mwanamke kinatakiwa kisipungue 25000 tena kiwe kina weza kuingia hata bila ya wewe kwenda kazini unapokuwa mgonjwa..na uwe na akiba isiyo pungua sh mil moja benki
 
Back
Top Bottom