Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Katika kusherehekea siku ya wazee duniani, nimefanikiwa kuwaona baadhi yao wananyuso za furaha, na wengine wana nyuso za huzuni; ikiashiria vijana wameshindwa kufanya nyuso za wazee wao kuwa na furaha.
Unakuta mzee bado anapambana kutafuta mkate wa kila siku, na wengine bado wanalea wajukuu waliotelekezwa na vijana wao; ikimaanisha wazee hawajapata muda wa kupumzika na kutumia kiinua mgongo chao.
Kwa mazingira haya, tunawaasa vijana kwenda kuwalea wazee wao, kwa sababu vijana pia ni wazee watarajiwa.
Unakuta mzee bado anapambana kutafuta mkate wa kila siku, na wengine bado wanalea wajukuu waliotelekezwa na vijana wao; ikimaanisha wazee hawajapata muda wa kupumzika na kutumia kiinua mgongo chao.
Kwa mazingira haya, tunawaasa vijana kwenda kuwalea wazee wao, kwa sababu vijana pia ni wazee watarajiwa.