Vijana mlio dhulumiwa pesa na TFF gomeni, ikiwezekana chomesheni mechi

Vijana mlio dhulumiwa pesa na TFF gomeni, ikiwezekana chomesheni mechi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna vukundi vya wahuni wachache wao wakisikia hela wanatetemeka na kugeuka kuwa mashetani.

Nimesoma sehemu mbalimbali madogo wakilalamikia kupewa buku 20, msiwe wajinga waonyesheni hamjaenda kunyonyesha watoto maziwa kama wanavyowachukulia.

Muwe pamoja, onyesheni umoja kama mnamechi karibuni.

Amueni hamchezi.

Na kama mkichezaa chomesheni hata magoli saba plus wajue mnajua wanachofanya.

Dunia imekuwa na mashetani wengisanaaaaasanaaaahasaapalekarumeee.
 
Unashangaa Kalia tumbo linazidi kuwa kubwa.

.........Kumbe wanawapiga hadi hawa madogo aibu sana....!!!!
 
Back
Top Bottom