Vijana mliofaulu Form six nashauri nendeni VETA kuliko kwenda vyuo vikuu kupoteza muda na gharama zisizo za lazima

Vijana mliofaulu Form six nashauri nendeni VETA kuliko kwenda vyuo vikuu kupoteza muda na gharama zisizo za lazima

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Habr wanjf.

Kwa upendo kabisa naomba kuwashauri wazazi wenzangu, ni vyema kuwa na maono ya mbali kuhusa safari ya maisha ya vijana wetu,kama kijana amefaulu form six au form four ni vyema aende VETA akapate ujuzi utakaomfanya Aishi kuliko kutafuta Sifa kwamba Nina Degree isiyo na faida, Huku umepoteza rasilimali mda na fedha.

Washaurini vijana wenu waone mifano halisi kwa vijana walioko mtaani na wengine bodaboda, mwambie Ili baadae asije kulaumu mtu. Ni maoni yangu.
 
Habr wanjf.

Kwa upendo kabisa naomba kuwashauri wazazi wenzangu, ni vyema kuwa na maono ya mbali kuhusa safari ya maisha ya vijana wetu,kama kijana amefaulu form six au form four ni vyema aende VETA akapate ujuzi utakaomfanya Aishi kuliko kutafuta Sifa kwamba Nina Degree isiyo na faida, Huku umepoteza rasilimali mda na fedha.

Washaurini vijana wenu waone mifano halisi kwa vijana walioko mtaani na wengine bodaboda, mwambie Ili baadae asije kulaumu mtu. Ni maoni yangu.
Hapana usipotoshe...acha waende Univ VETA zipo tu hata akimaluza vyuo ataenda tuuu
 
Vijana tumewashauri hawataki.
Wazazi wanataka sifa
Na watoto wanataka sifa.
Kwahiyo ngoja maisha yawanyooshe.
Kama maskini kwenye form chaguo namba 1 linapaswa kuwa middle college hizi technical college unasoma miaka 3 kwa ufadhili wa serikali. Ukimaliza ajira 85% na mshahara mzuri.
Kijana anakwenda kusoma degree of literature, mara philosophy, mara ualimu kama tahira hivi.
 
Habr wanjf.

Kwa upendo kabisa naomba kuwashauri wazazi wenzangu, ni vyema kuwa na maono ya mbali kuhusa safari ya maisha ya vijana wetu,kama kijana amefaulu form six au form four ni vyema aende VETA akapate ujuzi utakaomfanya Aishi kuliko kutafuta Sifa kwamba Nina Degree isiyo na faida, Huku umepoteza rasilimali mda na fedha.

Washaurini vijana wenu waone mifano halisi kwa vijana walioko mtaani na wengine bodaboda, mwambie Ili baadae asije kulaumu mtu. Ni maoni yangu.
Ingawa wamechelewa, ila bado VETA ni sehemu sahihi zaidi kwao.
 
Waache tu waende wakakue na pia kuifaidi hela ya serikali. Ila una hoja ya msingi, hata kama kuna baadhi ya vichwa panzi wataamua kukukejeli.

Ila kusema ule ukweli, elimu ya chuo kikuu kwa sass inawanufaisha wahitimu wachace tu. Wengi wanataabika mtaani, na wamekata tamaa.
 
Graduate wa darasa sio Graduate wa Maisha...
Hata huko pia Mambo ni yake Yale siku hizi hakuna pakukimbilia Cha msing kwenye kutoboa lazma ujitoe ufahamu kwanza

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
VETA ni nafuu mara nyingi sana kwasababu kijana akipata kamtaji anaweza hata kujiajiri...

Ninawajua kadhaa wamejiajiri na maisha yanaenda...mmoja ni fundi welding na ana ofisi 2, na mwingine ni Carpenter

Anaweza kupata tenda moja ya wiki tu akapata mshahara wa Daktari au Mwalimu au akawazidi...je akipata tenda 3 au 4 kwa mwezi?
 
Vijana tumewashauri hawataki.
Wazazi wanataka sifa
Na watoto wanataka sifa.
Kwahiyo ngoja maisha yawanyooshe.
Kama maskini kwenye form chaguo namba 1 linapaswa kuwa middle college hizi technical college unasoma miaka 3 kwa ufadhili wa serikali. Ukimaliza ajira 85% na mshahara mzuri.
Kijana anakwenda kusoma degree of literature, mara philosophy, mara ualimu kama tahira hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waache tu waende wakakue na pia kuifaidi hela ya serikali. Ila una hoja ya msingi, hata kama kuna baadhi ya vichwa panzi wataamua kukukejeli.

Ila kusema ule ukweli, elimu ya chuo kikuu kwa sass inawanufaisha wahitimu wachace tu. Wengi wanataabika mtaani, na wamekata tamaa.
Kula hela ya mkopo ndio. Ukijumlisha na ugali wa bure waliokula form six wanakuwa wamefidia.
 
Back
Top Bottom