Kunywa maji taratibu. Okay, aya vuta pumzi moja nzito. Hapo sawa eeh.Ni mambo ya kusikitisha sana ukisikia Vijana wameajiriwa ili watumike kwenye mambo ya kihuni ili tu mabosi wao wapate raha.
Vijana hawa wemefikia kulewa mapenzi hasa baada ya kuhongwa simu macho matatu na kuanza kuwaita wazazi wao maandazi.
Hivi hamna familia mtokako kiasi mnajiuza wazi wazi kwa mabosi wenu?
nakaziaWtf?
Mke wa boss huyo, hiyo i4n aliinunua mumewe, rais aliitoa kuzingatia itifakii tyuuh.Kumbe Al Komwe kahongwa simu macho matatu ndiyo anamkosea Mgunda kiasi kile? Tuamini tu kuwa naye ni afande wa kizenji Msomali hawezi kumuacha hivi hivi.
ukikaidi utapigwa2 naona umegonga like kwenye hii commentVijana nawashauri ktk harakat zenu za kupambana na wanaume wenzako usithubutu kumtumia Mkeo au Mama yako kama kinga... Utafedheheshwa wewe na huyo mama yako au mkeo... Ktk maisha usitafute jamii ikuonee huruma kwa kumtumia mama au mke kama kinga...
By the way wanaume marijali ukimleta mama yako au mkeo mbele ktk mapambano wanakuacha wewe wanamvua chupi uliyemleta mbele,
Hua sijadili watu mimi, sina evidence hata kama nnazo it's non of my businessukikaidi utapigwa2 naona umegonga like kwenye hii comment
That means unasapoti haya maneno hususani hizo lines mbili za mwisho.
Hasara, tumepoteza mwanaume mwingine hapaMke wa boss huyo, hiyo i4n aliinunua mumewe, rais aliitoa kuzingatia itifakii tyuuh.
Hahahaha, mnajuana wenyewe, eehMke wa boss huyo, hiyo i4n aliinunua mumewe, rais aliitoa kuzingatia itifakii tyuuh.
Kinachowauma Simba ni hiki.Ni mambo ya kusikitisha sana ukisikia Vijana wameajiriwa ili watumike kwenye mambo ya kihuni ili tu mabosi wao wapate raha.
Vijana hawa wemefikia kulewa mapenzi hasa baada ya kuhongwa simu macho matatu na kuanza kuwaita wazazi wao maandazi.
Hivi hamna familia mtokako kiasi mnajiuza wazi wazi kwa mabosi wenu?
Fedheha kubwa hiiNdo mana wanaweka rehani marinda.
Kilichoandikwa na yule mdau umekisoma vizuri?Hua sijadili watu mimi, sina evidence hata kama nnazo it's non of my businessView attachment 2643002
Unamzungumzia Fei toto au ally komweNi mambo ya kusikitisha sana ukisikia Vijana wameajiriwa ili watumike kwenye mambo ya kihuni ili tu mabosi wao wapate raha.
Vijana hawa wemefikia kulewa mapenzi hasa baada ya kuhongwa simu macho matatu na kuanza kuwaita wazazi wao maandazi.
Hivi hamna familia mtokako kiasi mnajiuza wazi wazi kwa mabosi wenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hasara, tumepoteza mwanaume mwingine hapa